Sugu: Serikali iondoe kodi vifaa tiba mbadala
MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (CHADEMA), amesema kuna haja kwa Serikali kungalia namna ya kuondoa ushuru katika vifaa vinavyoingia nchini kwa ajili ya masuala ya tiba mbadala, kwani wanaonufaika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Serikali iondoe kodi vifaa vya ujenzi — Bunge
KAMATI ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, imeitaka serikali kuondoa kodi kwenye vifaa vya ujenzi wa nyumba za gharama nafuu unaoendeshwa na Shirika la Nyumba Tanzania (NHC). Kuondolewa kwa...
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Serikali yashtukia vifaa tiba asili, mbadala
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Taboa yataka Serikali iondoe kodi zote
9 years ago
Michuzi24 Dec
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Lembeli: Serikali iondoe VAT vifaa vya mradi
MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli, ameishauri serikali kuondoa kodi kwenye vifaa vya mradi wa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu unaoendeshwa...
9 years ago
Habarileo30 Dec
Serikali yashikilia msimamo tiba mbadala
TAMKO la Serikali kuhusu matangazo ya Tiba Asili na Tiba Mbadala, limesisitizwa kwamba liko palepale kwa kuwa lengo ni kuboresha huduma hiyo.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OGr1Tn__XZ8/VoFCVoPuMKI/AAAAAAAIPBs/19KJDCnzPvw/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
SERIKALI YASEMA TAMKO LAKE LA TIBA ASILI NA MBADALA LIKO PALEPALE
![](http://2.bp.blogspot.com/-OGr1Tn__XZ8/VoFCVoPuMKI/AAAAAAAIPBs/19KJDCnzPvw/s400/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
Serikali imesema kwamba tamko lake lilitolewa hivi karibuni kuhusu matangazo ya Tiba Asili na Tiba Mbadala palepale kwa kuwa lengo lake ni kuboresha huduma hiyo. Hivyo kama kuna mtoa huduma ambaye amekwazika na tangazo hilo ipo tayari kuzungumza naye.
Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu tamko hilo kwenye ukumbi wa mikutano wa wizara hiyo jijini Dar...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-gAeegCq5D4c/XlaivzbC0mI/AAAAAAACzg4/CSfqTNKV9HgeuoBwJbJIhqIMdkKNaqsbQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2BA.jpg)
KIWANDA CHA VIFAA TIBA SIMIYU KUIPUNGUZIA MSD UAGIZAJI WA VIFAA TIBA NJE YA NCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-gAeegCq5D4c/XlaivzbC0mI/AAAAAAACzg4/CSfqTNKV9HgeuoBwJbJIhqIMdkKNaqsbQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2BA.jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Apr
Waganga wa tiba mbadala Singida wanaotumia nyara za Serikali kupigia ramli chonganishi watakiwa kuzisalimisha Polisi
![SAM_2029](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/SAM_2029.jpg)
![SAM_2027](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/SAM_2027.jpg)
![SAM_2024](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/SAM_2024.jpg)