Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taboa yataka Serikali iondoe kodi zote

Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa) kimepongeza hatua ya Serikali ya kupunguza kodi kwenye mabasi kutoka asilimia 25 hadi 10 kwa mabasi yanayobeba abiria 25 lakini ikataka kodi hiyo iondolewe kabisa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Sugu: Serikali iondoe kodi vifaa tiba mbadala

MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (CHADEMA), amesema kuna haja kwa Serikali kungalia namna ya kuondoa ushuru katika vifaa vinavyoingia nchini kwa ajili ya masuala ya tiba mbadala, kwani wanaonufaika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali iondoe kodi vifaa vya ujenzi — Bunge

KAMATI ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, imeitaka serikali kuondoa kodi kwenye vifaa vya ujenzi wa nyumba za gharama nafuu unaoendeshwa na Shirika la Nyumba Tanzania (NHC). Kuondolewa kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TLS: Serikali iondoe vikwazo utoaji habari

CHAMA cha Wanasheria Tanganyika (TLS), kimetaka serikali kuondoa vikwazo vya kisheria na kanuni zinazozuia uwazi na utoaji wa habari. Wito huo ulitolewa jijini Dar es Salaam juzi na Rais wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lembeli: Serikali iondoe VAT vifaa vya mradi

MWENYEKITI  wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya  Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli, ameishauri serikali kuondoa kodi  kwenye vifaa vya  mradi wa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu unaoendeshwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TABOA: Serikali iruhusu huduma saa 24

CHAMA cha Wasafirishaji Abiria mikoani na nchi jirani (TABOA), kimeshauri serikali kuruhusu mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani kusafirisha abiria saa 24. Mwenyekiti mstaafu wa chama hicho, Mohammed Abdullah, alieleza...

 

9 years ago

Mwananchi

Bakwata yataka ufafanuzi msamaha wa kodi

Baraza Kuu la Waislam Tanzania (Bakwata) pamoja na taasisi zake limeiomba Serikali kutoa ufafanuzi masuala ya misamaha ya kodi kwa taasisi za dini ili kuondoa changamoto zinazoweza kusababisha upendeleo.

 

10 years ago

Mwananchi

Wizara yalia na kodi ya vinyago, yataka isitishwe

Wizara ya Maliasili na Utalii, imetaka kusitishwa kwa kodi mpya ya vinyago ambayo imeanza kukusanywa hivi karibuni katika viwanja vya ndege kwa watalii wanaoondoka nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TRA yataka elimu ya ulipaji kodi itolewe shuleni

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari nchini wakiandaliwa vizuri kwa kuwapati elimu ya kodi, taifa litapata walipakodi walio waadilifu. Mkurugenzi wa Huduma na...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yaipa Taboa wiki mbili, mgomo wasitishwa rasmi

Dar es Salaam. Serikali imewapa Wamiliki wa Mabasi (Taboa) wiki mbili za kutafakari namna gani watapata hasara, iwapo watatumia nauli mpya zilizopendekezwa na Mamlaka ya Udhibiti na Usimamizi wa Usafiri wa Nchikavu na Majini (Sumatra).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani