Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wizara yalia na kodi ya vinyago, yataka isitishwe

Wizara ya Maliasili na Utalii, imetaka kusitishwa kwa kodi mpya ya vinyago ambayo imeanza kukusanywa hivi karibuni katika viwanja vya ndege kwa watalii wanaoondoka nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kodi inavyokwamisha biashara ya vinyago kimataifa

Vinyago ni moja ya biashara zinazochangia ukuaji wa sekta ya utalii nchini na hata kutangaza utamaduni wa Tanzania kitaifa na kimataifa.

 

10 years ago

Mwananchi

TRA yalia na misamaha ya kodi

>Misamaha ya kodi imekuwa ikilikosesha taifa zaidi ya Sh100 bilioni kwa mwezi, hatua ambayo Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) inaona ni kikwazo katika kufikia malengo ya ukusanyaji kodi.

 

9 years ago

Mwananchi

Bakwata yataka ufafanuzi msamaha wa kodi

Baraza Kuu la Waislam Tanzania (Bakwata) pamoja na taasisi zake limeiomba Serikali kutoa ufafanuzi masuala ya misamaha ya kodi kwa taasisi za dini ili kuondoa changamoto zinazoweza kusababisha upendeleo.

 

11 years ago

Mwananchi

Taboa yataka Serikali iondoe kodi zote

Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa) kimepongeza hatua ya Serikali ya kupunguza kodi kwenye mabasi kutoka asilimia 25 hadi 10 kwa mabasi yanayobeba abiria 25 lakini ikataka kodi hiyo iondolewe kabisa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

TRA yataka elimu ya ulipaji kodi itolewe shuleni

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari nchini wakiandaliwa vizuri kwa kuwapati elimu ya kodi, taifa litapata walipakodi walio waadilifu. Mkurugenzi wa Huduma na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wizara yataka vyama vijisajili upya

WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi, imetoa miezi mitatu kuanzia sasa kwa Vyama vya Kijamii kujisajili upya katika Daftari la Msajili wa vyama hivyo. Akizungumza na wandishi wa habari...

 

9 years ago

Mwananchi

Wizara ya Afya yataka nyaraka za watoa tiba asili

Wizara ya Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewataka watoa huduma za tiba asili na tiba mbadala nchini kote kuhakikisha wanawasilisha, katika muda wa siku 14 kuanzia jana, nyaraka zote muhimu kuhusu huduma zao.

 

11 years ago

Habarileo

Wenje ataka operesheni machinga isitishwe

MBUNGE wa Nyamagana, Hezekia Wenje (Chadema) ameitaka Serikali isitishe operesheni ya kuondoa wafanyabiashara wadogo (machinga) wa eneo la Makoroboi jijini Mwanza.

 

9 years ago

Habarileo

MaDC wakwepa vinyago vya kushidwa

WAKUU wa wilaya za Bukoba na Muleba mkoani Kagera wamekwepa kupokea zawadi ya vinyago kutoka kwa Mkuu wa Mkoa huo, John Mongella baada ya halmashauri zao kufanya vibaya katika matokeo ya mtihani wa taifa wa kuhitimu darasa la saba mwaka 2015 na kidato cha nne mwaka jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani