Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kodi inavyokwamisha biashara ya vinyago kimataifa

Vinyago ni moja ya biashara zinazochangia ukuaji wa sekta ya utalii nchini na hata kutangaza utamaduni wa Tanzania kitaifa na kimataifa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wizara yalia na kodi ya vinyago, yataka isitishwe

Wizara ya Maliasili na Utalii, imetaka kusitishwa kwa kodi mpya ya vinyago ambayo imeanza kukusanywa hivi karibuni katika viwanja vya ndege kwa watalii wanaoondoka nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Uboreshaji mfumo wa kodi utakuza biashara, uchumi

Hotuba ya awali ya Bajeti ya Waziri wa Fedha Zanzibar, Omar Yussuf Mzee imeshindwa kuwakuna wadau wa utalii kutokana na kuanzisha kodi ya miundombinu ya Dola moja ya Marekani kwa usiku mmoja kwa kila mgeni atakayelala katika hoteli visiwani humo.

 

10 years ago

Mwananchi

JK: Serikali kuondoa urasimu katika kodi za biashara

Rais Jakaya Kikwete amesema Serikali imedhamiria kuondoa urasimu, rushwa na matatizo kwenye kodi katika biashara, ili kupunguza idadi ya watu laki nane wapya wanaotafuta ajira kila mwaka nchini.

 

11 years ago

Zitto Kabwe, MB

PAC imeanza uchunguzi kuhusu ukwepaji kodi unaofanywa na makampuni ya Kimataifa

PAC imeanza uchunguzi kuhusu ukwepaji kodi unaofanywa na makampuni ya kimataifa.

Leo tarehe 30 Machi 2014, kamati ya BUNGE ya PAC imeanza rasmi uchunguzi kuhusu ukubwa wa tatizo la ukwepaji kodi na utoroshwaji wa fedha unaofanywa na makampuni ya kimataifa ( multinational corporations). Uchunguzi huu unatokana azimio la umoja wa kamati za PAC za nchi za SADCOPAC lilioamuliwa Arusha, Tanzania mwezi Septemba mwaka 2013 ( Azimio lilisomeka – PACs should initiate investigations on the extent of...

 

10 years ago

Vijimambo

MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA NDOLA

Tarehe 1 hadi 7 Julai 2015 kulikuwako maonyesho ya kibiashara yaliyofanyika mji wa Ndola. Kama ilivyo ada kwa Watanzania, walishiriki maonesho hayo. Kikundi cha Wajasiriamali kinachojulikana HOT kutoka Dar es Salaam kilishiriki kama kinvyoonekana kwenye picha mbali mbali wakiwa wamepiga picha na Balozi wetu wa Tanzania nchini Zambia Mhe. Grace J. Mujuma. Balozi alikwenda Ndola kuwaunga mkono.Tarehe 1 hadi 7 Julai 2015 kulikuwako maonyesho ya kibiashara yaliyofanyika mji wa Ndola. Kama ilivyo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Maonyesho ya biashara ya kimataifa kufanyika Mbeya

ZAIDI ya wafanyabishara 200 na kampuni mbalimbali kutoka maeneo mbalimbali duniani wanatarajia kushiriki maonyesho ya biashara ya kimataifa katika kituo cha Mikutano cha Mkapa eneo la Sokomatola jijini Mbeya. Mwenyekiti...

 

10 years ago

GPL

MAONYESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA YAZINDULIWA DAR

Mwenyekiti wa TCCAI, Francis Likwaro akijaribu ladha ya kahawa katika maonyesho hayo. …Akipewa maelezo na wafanyabiashara wa kigeni.…

 

11 years ago

GPL

VIDEO: MAONYESHO YA 38 YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA DAR (SABASABA)

Baadhi ya matukio yaliyojiri katika Maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) kwenye Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam yaliyoanza Juni 28 na kufika tamati Julai 10,…

 

11 years ago

Michuzi

NSSF YASHIRIKI MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA-TANGA

 Muuguzi, Elionora Mmasi akiwapima wanachama wa NSFF waliotembelea banda lao wakati wa maonesho ya pili ya kibiashara yanayofanyika mkoani Tanga.

Baadhi ya watu waliofika katika banda la NSSF wakipata maelezo kutoka kwa maofisa wa Shirika hilo kuhusu Fao la Matibabu wakati wa maonesho ya pili wa kibiashara yanayofanyika mkoani Tanga.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani