MaDC wakwepa vinyago vya kushidwa
WAKUU wa wilaya za Bukoba na Muleba mkoani Kagera wamekwepa kupokea zawadi ya vinyago kutoka kwa Mkuu wa Mkoa huo, John Mongella baada ya halmashauri zao kufanya vibaya katika matokeo ya mtihani wa taifa wa kuhitimu darasa la saba mwaka 2015 na kidato cha nne mwaka jana.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo19 Feb
MaDC wapanguliwa
RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko ya wakuu wa wilaya kwa kutengua uteuzi wa wakuu wa wilaya 12, kuteua wapya 27 na wengine 64 kubadilishwa vituo vyao.
11 years ago
Habarileo17 Dec
Naibu mawaziri, maDC lawamani
WABUNGE wametuhumu baadhi ya viongozi wa Serikali, wakiwamo naibu mawaziri, wakuu wa wilaya na mabaraza ya ulinzi na usalama ya wilaya, kuwa wachochezi na vyanzo vya migogoro na uvunjifu wa amani katika baadhi ya maeneo nchini.
9 years ago
Mwananchi03 Sep
Kodi inavyokwamisha biashara ya vinyago kimataifa
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Wizara yalia na kodi ya vinyago, yataka isitishwe
11 years ago
Bongo525 Jul
Exclusive Pics: Damu, Minyororo na Vinyago — Video ya ‘Mr Nay’ inatisha
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
UKAWA wakwepa mtego wa CCM
KITENDAWILI cha iwapo wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) watarejea bungeni jana kilishindwa kuteguliwa baada ya mkutano wa mwisho wa kutafuta maridhiano kukwama. Kikao hicho kilichoitishwa na Msajili...
11 years ago
BBCSwahili07 Jul
Wasichana 60 wakwepa Boko Haram
9 years ago
Mtanzania12 Dec
Wakwepa kodi walipa bilioni 10/-
NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM
MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA) imekusanya Sh bilioni 10.75 kati ya Sh bilioni 80 zinazodaiwa kutoka kwa wafanyabiashara waliokwepa kodi kwa kupitisha makontena 329 bila kulipa ushuru.
Fedha hizo zimekusanywa ndani ya siku sita baada ya Rais John Magufuli kukutana na wafanyabiashara Ikulu jijini Dar es Salaam na kuwapa siku saba kulipa fedha hizo kabla ya kuchukuliwa hatua za kisheria.
Akizungumza na MTANZANIA Jumamosi, Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa...
10 years ago
Uhuru Newspaper13 Nov
Wakwepa kodi sasa kuanikwa
NA THEODOS MGOMBA NA NJUMAI NGOTA
SERIKALI imewasilisha Bungeni muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Kodi, ambao pamoja na mambo mengine, utaweka utaratibu wa kuwatangaza kwenye vyombo vya habari wakwepa kodi wote.
Akiwasilisha muswada huo bungeni jana, Waziri Fedha, Saada Mkuya Salum, alisema madhumuni ya muswada huo ni kuweka mfumo wa kisasa.
Waziri alisema nia ya kuwatangaza wakwepa kodi hao, ambao watathibitika kufanya hivyo, kutapunguza makosa sugu na ya makusudi.
Alisema mfumo huo wa kodi...