MaDC wapanguliwa
RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko ya wakuu wa wilaya kwa kutengua uteuzi wa wakuu wa wilaya 12, kuteua wapya 27 na wengine 64 kubadilishwa vituo vyao.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo17 Dec
Naibu mawaziri, maDC lawamani
WABUNGE wametuhumu baadhi ya viongozi wa Serikali, wakiwamo naibu mawaziri, wakuu wa wilaya na mabaraza ya ulinzi na usalama ya wilaya, kuwa wachochezi na vyanzo vya migogoro na uvunjifu wa amani katika baadhi ya maeneo nchini.
9 years ago
Habarileo22 Dec
MaDC wakwepa vinyago vya kushidwa
WAKUU wa wilaya za Bukoba na Muleba mkoani Kagera wamekwepa kupokea zawadi ya vinyago kutoka kwa Mkuu wa Mkoa huo, John Mongella baada ya halmashauri zao kufanya vibaya katika matokeo ya mtihani wa taifa wa kuhitimu darasa la saba mwaka 2015 na kidato cha nne mwaka jana.