Wizara ya Afya yataka nyaraka za watoa tiba asili
Wizara ya Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewataka watoa huduma za tiba asili na tiba mbadala nchini kote kuhakikisha wanawasilisha, katika muda wa siku 14 kuanzia jana, nyaraka zote muhimu kuhusu huduma zao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2bx2a0H6Spc/VPS9Sbk79BI/AAAAAAAHHNg/OpM4tZjCh8k/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
WAGANGA WA TIBA ASILI ZANZIBAR WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA MADAKTARI WA WIZARA YA AFYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-2bx2a0H6Spc/VPS9Sbk79BI/AAAAAAAHHNg/OpM4tZjCh8k/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-eOUr-pszGP8/VPS9SYwLldI/AAAAAAAHHNc/2rR7-S5se-0/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ugHb9t1tiNY/XuIvGNkNsiI/AAAAAAAEHws/4X2aVxgATicnZGwIwyqm_htZCqO4U7BxACLcBGAsYHQ/s72-c/12.jpg)
Rais Magufuli aitaka Wizara ya Afya kuongeza bajeti katika dawa za asili
![](https://1.bp.blogspot.com/-ugHb9t1tiNY/XuIvGNkNsiI/AAAAAAAEHws/4X2aVxgATicnZGwIwyqm_htZCqO4U7BxACLcBGAsYHQ/s640/12.jpg)
Rais Magufuli ametoa kauli hiyo leo jijini Dodoma wakati akizindua Jengo la Ofisi za TARURA zilizojengwa kwenye mji wa Mtumba.
"Nimeshatoa maelekezo kwa Wizara ya Afya, kile kitengo cha dawa asili kiendelezwe kwa nguvu zote na bajeti iongezwe ili watu...
5 years ago
MichuziWORLD VISION TANZANIA YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA NA KINGA KUWAKINGA NA CORONA WATOA HUDUMA ZA AFYA SHINYANGA
Shirika la World Vision Tanzania limetoa msaada wa vifaa tiba na kinga vyenye thamani ya shilingi milioni 29 kwa ajili ya kusaidia watumishi wa sekta ya afya katika mkoa wa Shinyanga kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya Corona ‘Covid 19’ wanapohudumia wagonjwa.
Vifaa hivyo vimekabidhiwa leo Ijumaa Mei 8, 2020 na Meneja wa World Vision Tanzania Kanda ya Ziwa John Massenza kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Shinyanga.
Massenza alisema wao kama...
10 years ago
GPLBARAZA LA TIBA ASILI, MBADALA LAPIGA MARUFUKU MATANGAZO NA VIPINDI VYA TIBA HIYO
9 years ago
MichuziWIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII WATOA TAARIFA YA UGONJWA WA KIPINDUPINDU
10 years ago
Dewji Blog23 Apr
Wizara ya afya yafuta vibali vilivyotolewa na maafisa utamaduni kwa waganga wa tiba mbadala
Mkuu wa kituo kidogo cha polisi Ndago, Bw.Richard Kimolo (kushoto), Diwani wa kata ya Mbelekese, Bi Monica Samweli (wa pili kutoka kushoto), Katibu mkuu CHAWAMAMU Mkoa wa Singida, Dk.Tano Mika Likapakapa wakiwa kwenye semina ya operesheni tomomeza mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) na vikongwe inayoendelea tarafa ya Ndago, wilayani Iramba.(Picha zote na Jumbe Ismailly).
Na Mwandishi wetu, Iramba
WIZARA ya Afya na Ustawi wa jamii imefuta vibali vyote vilivyotolewa na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gu-i5AZYvlQ/VWXKOXtf2lI/AAAAAAAHaGY/rhBLgXG6l7U/s72-c/20150526_103105.jpg)
WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII YASAINI MKATABA WA KUBORESHA HUDUMA ZA UFUNDI WA VIFAA TIBA
Pia kuwapa vitendea kazi(tools kits, measuring and calibration equipment) vyenye kuwezesha mafundi kuhakiki ubora wa ufanyaji kazi kwa baadhi ya vifaa tiba...
9 years ago
Michuzi24 Dec
11 years ago
Dewji Blog22 May
Asilimia 60 ya watanzania kutumia tiba asili-WHO
Mlezi wa Chama Cha Utabibu wa Dawa Asilia Tanzania (ATME), Kingunge Ngombale (kushoto), akifungua mafunzo kwa wahariri na waandishi wa vyombo vya habari kuhusu tiba asilia, katika ukumbi wa mikutano NIMR jijini Dar es Salaam,ambapo amewataka Watanzania kuondokana na imani potofu dhidi ya tiba asili na badala yake watumie ili kupona maradhi mbalimbali yanayowakabili (kulia),Mwenyekiti wa Chama cha Utabibu wa Dawa Asili Tanzania (ATME), Bw.Simba Abdulrahmani.
Na Damas Makangale, MOblog...