TABOA: Serikali iruhusu huduma saa 24
CHAMA cha Wasafirishaji Abiria mikoani na nchi jirani (TABOA), kimeshauri serikali kuruhusu mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani kusafirisha abiria saa 24. Mwenyekiti mstaafu wa chama hicho, Mohammed Abdullah, alieleza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Serikali iruhusu sekondari rasmi za jioni, usiku
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Taboa yataka Serikali iondoe kodi zote
10 years ago
Mwananchi30 Apr
Serikali yaipa Taboa wiki mbili, mgomo wasitishwa rasmi
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Mpango wa huduma saa 24 bandarini kukamilika karibuni
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Bandari ya D’ Salaam kuanza kutoa huduma saa 24 kesho
9 years ago
StarTV06 Oct
Wakazi Manispaa ya Morogoro wakosa huduma kwa saa 8
Wakazi wa Manispaa ya Morogoro wamekosa huduma ya Usafiri wa daladala kwa muda wa saa saba baada ya madereva wanaotoa huduma hiyo kugoma wakishinikiza kuachiwa kwa wenzao waliokamatwa kwa kutuhumiwa kubeba mafuta ya petrol kwenye gari zao pamoja na kero ya faini zisizo na msingi kutoka SUMATRA.
Madereva hao wamesema wamechoshwa na vitendo vinavyofanywa na maafisa kutoka mamlaka ya Udhibiti usafiri wa majini na nchi kavu (SUMTRA) pamoja na manyanyaso kutoka jeshi la Polisi kitengo cha...
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Tanesco kusitisha huduma za kununua Luku kwa saa 24
9 years ago
Dewji Blog30 Nov
Hospitali za Apollo kutoa huduma za kiafya saa 24 kila siku ulimwenguni kote
![](http://2.bp.blogspot.com/-3JZvsorUO9E/Vld4HZh5TrI/AAAAAAAAIPE/BHC6BibJMx0/s640/Ms%2BSangita%2BReddy.jpg)
Bi. Sangita Reddy, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali za Apollo.
Na Mwandishi Wetu ,
Kurahisisha huduma za afya ulimwengu kote, watojia wakubwa wa huduma za afya kundi la hospitali za Apollo limebuni njia mpya madhubuti ya utoaji wa huduma za afya inayoitwa; Ask Apollo, njia bora mpya mahususi kwa wagonjwa walio mbali. Hii inathibitisha kupiga hatua zaidi kwa hospitali za Apollo na katika uwanja wa afya ulimwenguni.
Jitihada hizi kutoka hospitali za Apollo zitajenga mahusiano rahisi ya...
11 years ago
Habarileo17 Jul
Wataka sheria iruhusu wazazi wachapwe
BAADHI ya wazazi wa kata ya Lusaka wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa wametaka sheria ndogo itakayowapatia uwezo wa kisheria walimu wa shule za msingi na sekondari kuwapiga viboko baadhi ya wazazi wanaokataa kugharamia mahitaji ya watoto wao shuleni ikiwemo kutolipa ada za shule.