Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TABOA: Serikali iruhusu huduma saa 24

CHAMA cha Wasafirishaji Abiria mikoani na nchi jirani (TABOA), kimeshauri serikali kuruhusu mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani kusafirisha abiria saa 24. Mwenyekiti mstaafu wa chama hicho, Mohammed Abdullah, alieleza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Serikali iruhusu sekondari rasmi za jioni, usiku

Kwa mujibu wa mfumo uliopo, elimu ya sekondari inapaswa kutolewa kwa muda wa miaka minne

 

11 years ago

Mwananchi

Taboa yataka Serikali iondoe kodi zote

Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa) kimepongeza hatua ya Serikali ya kupunguza kodi kwenye mabasi kutoka asilimia 25 hadi 10 kwa mabasi yanayobeba abiria 25 lakini ikataka kodi hiyo iondolewe kabisa.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yaipa Taboa wiki mbili, mgomo wasitishwa rasmi

Dar es Salaam. Serikali imewapa Wamiliki wa Mabasi (Taboa) wiki mbili za kutafakari namna gani watapata hasara, iwapo watatumia nauli mpya zilizopendekezwa na Mamlaka ya Udhibiti na Usimamizi wa Usafiri wa Nchikavu na Majini (Sumatra).

 

11 years ago

Mwananchi

Mpango wa huduma saa 24 bandarini kukamilika karibuni

Mamlaka ya Bandari (TPA),ipo katika hatua za mwisho kabla ya kuanza kutekeleza mpango wa huduma wa saa 24 baada ya kukamilisha mambo ya msingi na wadau ambao ni pamoja na Mamlaka ya Mapato (TRA) na mabenki.

 

11 years ago

Mwananchi

Bandari ya D’ Salaam kuanza kutoa huduma saa 24 kesho

Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) ikishirikiana na wadau wake kuanzia kesho wanatarajia kuanza kutoa huduma kwa saa 24, siku saba za wiki, mwaka mzima bila kupumzika.

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Manispaa ya Morogoro wakosa huduma kwa saa 8

Wakazi wa Manispaa ya Morogoro wamekosa huduma ya Usafiri wa daladala  kwa muda wa saa saba baada ya madereva wanaotoa huduma hiyo kugoma  wakishinikiza kuachiwa kwa wenzao waliokamatwa kwa kutuhumiwa kubeba mafuta ya petrol kwenye gari zao  pamoja na kero ya faini zisizo na msingi  kutoka SUMATRA.

Madereva hao wamesema wamechoshwa na vitendo vinavyofanywa na maafisa kutoka mamlaka ya Udhibiti usafiri wa majini na nchi kavu (SUMTRA) pamoja na manyanyaso kutoka jeshi la Polisi  kitengo cha...

 

10 years ago

Mwananchi

Tanesco kusitisha huduma za kununua Luku kwa saa 24

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Felchesmi Mramba amesema kesho na keshokutwa hakutakuwa na huduma ya ununuzi wa umeme kupitia Luku nchi nzima.

 

9 years ago

Dewji Blog

Hospitali za Apollo kutoa huduma za kiafya saa 24 kila siku ulimwenguni kote

Bi. Sangita Reddy, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali za Apollo.

Na Mwandishi Wetu ,

Kurahisisha huduma za afya ulimwengu kote, watojia wakubwa wa huduma za afya kundi la hospitali za Apollo limebuni njia mpya madhubuti ya utoaji wa huduma za afya inayoitwa; Ask Apollo, njia bora mpya mahususi kwa wagonjwa walio mbali. Hii inathibitisha kupiga hatua zaidi kwa hospitali za Apollo na katika uwanja wa afya ulimwenguni.

Jitihada hizi kutoka hospitali za Apollo zitajenga mahusiano rahisi ya...

 

11 years ago

Habarileo

Wataka sheria iruhusu wazazi wachapwe

BAADHI ya wazazi wa kata ya Lusaka wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa wametaka sheria ndogo itakayowapatia uwezo wa kisheria walimu wa shule za msingi na sekondari kuwapiga viboko baadhi ya wazazi wanaokataa kugharamia mahitaji ya watoto wao shuleni ikiwemo kutolipa ada za shule.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani