Wakazi Manispaa ya Morogoro wakosa huduma kwa saa 8
Wakazi wa Manispaa ya Morogoro wamekosa huduma ya Usafiri wa daladala kwa muda wa saa saba baada ya madereva wanaotoa huduma hiyo kugoma wakishinikiza kuachiwa kwa wenzao waliokamatwa kwa kutuhumiwa kubeba mafuta ya petrol kwenye gari zao pamoja na kero ya faini zisizo na msingi kutoka SUMATRA.
Madereva hao wamesema wamechoshwa na vitendo vinavyofanywa na maafisa kutoka mamlaka ya Udhibiti usafiri wa majini na nchi kavu (SUMTRA) pamoja na manyanyaso kutoka jeshi la Polisi kitengo cha...
StarTV
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8N5V38AdjTA/XoNfF6AYaVI/AAAAAAALlt4/fmOemhT0O14HGcLfWZ7cRSfP4Yn4hjQIACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-01-6.jpg)
MANISPAA YA MOROGORO YANUNUA PIKIPIKI 7 KWA AJILI YA KATA ZA PEMBEZONI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-8N5V38AdjTA/XoNfF6AYaVI/AAAAAAALlt4/fmOemhT0O14HGcLfWZ7cRSfP4Yn4hjQIACLcBGAsYHQ/s640/PIX-01-6.jpg)
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Morogoro, Mhe. Pascal Kihanga, akiwasha Pikipiki katika hafla fupi ya makabidhiano ya Pikipiki kwa Kata zilizopo Pembezoni mwa Manispaa ya Morogoro.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/pix-02-4.jpg)
Afisa Utumishi wa Manispaa ya Morogoro , Waziri Kombo,(kushoto), akisoma taarifa fupi ya Manunuzi ya Pikipiki kwa ajili ya Kata zilizopo pembezoni wa Manispaa ya Morogoro, (kulia), Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro, Sheilla Lukuba, (katikati), Mstahiki Meya wa Manispaa ya Morogoro, Mhe. Pascal Kihanga.
NA FARIDA...
10 years ago
Vijimambo02 Mar
SELCOM KUIWEZESHA MANISPAA YA MOROGORO KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO KWA NJIA ZA KIELEKTRONIC
9 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAZINDUA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA NA KUTOA VIFAA TIBA KWA MANISPAA YA KONONDONI
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Chalinze wakosa huduma ya maji
WAKAZI wa Chalinze na vitongoji vyake wanaotegemea kupata maji kutoka chanzo cha Mto Wami, wako katika kipindi kigumu kutokana na kukosekana kwa huduma hiyo kwa zaidi ya wiki moja. Wakazi...
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Tanesco kusitisha huduma za kununua Luku kwa saa 24
10 years ago
MichuziWAKAZI WA MKOA WA MOROGORO WAIPOKEA KAMPENI YA "M-PAWA TUMEKUFIKIA" KWA KISHINDO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-v3lfYbSW0a0/VH3WMmnctGI/AAAAAAAG01E/NQd5sHzhmJI/s72-c/Untitled1.png)
DAWASCO yawaomba radhi wakazi wote wa jiji la Dar na mji wa Bagamoyo kwa kukosekana kwa huduma ya maji
![](http://1.bp.blogspot.com/-v3lfYbSW0a0/VH3WMmnctGI/AAAAAAAG01E/NQd5sHzhmJI/s1600/Untitled1.png)
Kukosekana kwa huduma hii kulitokana na kazi ya mkandarasi (Sino-hydro Corporation ltd) kuunganisha bomba la zamani na bomba jipya (cross-connection) katika mtambo wa Ruvu Chini eneo la Mpiji, Bagamoyo na eneo la Chuo Kikuu Ardhi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xv998xSCcLM/Uw5Z5fhtg6I/AAAAAAAFP4E/vrgpP5_CS0M/s72-c/unnamed+(36).jpg)
NMB YASOGEZA HUDUMA KARIBU ZAIDI KWA WAKAZI WA BARABARA YA MANDELA, yatoa msaada kwa hospitali za amana na muhimbili·
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iRuGUSEgAzE/Uylftz0KLVI/AAAAAAAFU0g/JZmgEZ4dtKA/s72-c/unnamed+(14).jpg)
Vodacom yasogeza huduma zake kwa wakazi wa Tegeta
![](http://1.bp.blogspot.com/-iRuGUSEgAzE/Uylftz0KLVI/AAAAAAAFU0g/JZmgEZ4dtKA/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hLvopxK8rus/UylfuWbGYVI/AAAAAAAFU0k/it3g6FJOn5I/s1600/unnamed+(15).jpg)