Chalinze wakosa huduma ya maji
WAKAZI wa Chalinze na vitongoji vyake wanaotegemea kupata maji kutoka chanzo cha Mto Wami, wako katika kipindi kigumu kutokana na kukosekana kwa huduma hiyo kwa zaidi ya wiki moja. Wakazi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
Hanang’ wakosa maji safi
WANANCHI zaidi ya 3,000 wa Kijiji cha Hedet, Wilaya ya Hanang mkoani Manyara, kwa zaidi ya miaka miwili sasa hawana huduma ya maji safi na salama kutokana na baadhi yao...
9 years ago
StarTV06 Oct
Wakazi Manispaa ya Morogoro wakosa huduma kwa saa 8
Wakazi wa Manispaa ya Morogoro wamekosa huduma ya Usafiri wa daladala kwa muda wa saa saba baada ya madereva wanaotoa huduma hiyo kugoma wakishinikiza kuachiwa kwa wenzao waliokamatwa kwa kutuhumiwa kubeba mafuta ya petrol kwenye gari zao pamoja na kero ya faini zisizo na msingi kutoka SUMATRA.
Madereva hao wamesema wamechoshwa na vitendo vinavyofanywa na maafisa kutoka mamlaka ya Udhibiti usafiri wa majini na nchi kavu (SUMTRA) pamoja na manyanyaso kutoka jeshi la Polisi kitengo cha...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HVBebG1pzFE/VUth3OffLlI/AAAAAAAHV_A/_l8cspxbrBk/s72-c/IMG_8042.jpg)
DAR YAFUNIKWA NA MAJI KUTOKANA NA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA, WANANCHI WAKOSA MAKAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-HVBebG1pzFE/VUth3OffLlI/AAAAAAAHV_A/_l8cspxbrBk/s640/IMG_8042.jpg)
MAFURIKO,Mafuriko,Mafuriko .! Jiji la Dar limejaa maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha wengine kukosa makazi.
Maeneo yaliyokumbwa kwa mafuriko ni Mnyamani (Ilala),Bonde la Mpunga (Kinondoni) ,Kigogo (Kinondoni),Mikocheni ( Kinondoni),Vingunguti (Ilala) Tabata Kisiwani (Ilala)na Kurasini (Temeke) na maeneo mengine ambayo hayajawahi kupata mafuriko yamefika.
Mvua hizo zimeharibu miundombinu katika barabara ya Morogoro kwa kujaa...
9 years ago
StarTV22 Dec
Sera Ya Afya Kutotungiwa Sheria yasababisha  Wazee nchini wakosa huduma bora za afya
Kukosekana kwa huduma bora katika sekta ya afya inayowatambua wazee kupata matibabu bora na bure kunatokana na sera ya wazee kutotungiwa sheria tangu mwaka 2003 inayotoa muongozo kwa watendaji wa Serikali na taasisi mbalimbali kuwahudumia.
Licha ya sera hiyo kutoa mwongozo kwa kila zahanati, kituo cha afya na hospitali za wilaya na mkoa kuwa na chumba maalumu kwa ajili ya matibabu ya wazee ikiwemo daktari anayetambua magonjwa yao lakini bado sera hiyo haitekelezwi.
Naibu Mkurugenzi wa...
10 years ago
Habarileo09 Jan
Ndoo ya maji Chalinze yafikia Sh 700
UONGOZI wa Mradi wa Maji wa Wami Chalinze wilayani Bagamoyo, umetakiwa kutoa taarifa juu ya ukosefu wa maji, uliodumu takribani mwezi mzima sasa.
10 years ago
Habarileo18 Dec
Bilioni 800/- kukabili uhaba wa maji Chalinze
CHANGAMOTO ya maji wilayani Bagamoyo mkoani Pwani huenda ikawa historia baada ya serikali ya India kutoa kiasi cha Sh bilioni 800 kwa ajili ya mradi wa maji wa Wami Chalinze.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gWMtCEMY_Ak/VIdoiofDakI/AAAAAAAG2Rs/EcqKlGw1wFk/s72-c/IMG-20141209-WA0016.jpg)
Shida ya Maji Jimbo la Chalinze kuanza kusahaulika
![](http://3.bp.blogspot.com/-gWMtCEMY_Ak/VIdoiofDakI/AAAAAAAG2Rs/EcqKlGw1wFk/s1600/IMG-20141209-WA0016.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iyfiEyHEamE/VIdolxBrQFI/AAAAAAAG2R0/SEtqHijHEtU/s1600/IMG-20141209-WA0009.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3YNrDWoiXuM/VoP1KqaTRaI/AAAAAAAA81Q/-j8DOxWxQE8/s72-c/IMG-20151230-WA0103.jpg)
JK,WAZIRI LWENGE WAKAGUA MITAMBO YA MAJI WAMI,CHALINZE
![](http://3.bp.blogspot.com/-3YNrDWoiXuM/VoP1KqaTRaI/AAAAAAAA81Q/-j8DOxWxQE8/s640/IMG-20151230-WA0103.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qX_nTWWBDIU/VoP1NPZgC6I/AAAAAAAA81Y/3sNLZEx0if0/s640/IMG-20151230-WA0101.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ia_lV5hEYP8/VoP2G84RNqI/AAAAAAAA81s/g_xuS6HhBv4/s640/IMG-20151230-WA0096.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Bbczq98gvhQ/VoP2SpGYBkI/AAAAAAAA810/5wEUVOx0dMg/s640/IMG-20151230-WA0102.jpg)
10 years ago
Dewji Blog09 Jan
Ridhiwani kikwete aahidi kutatua tatizo la umeme, maji Kiwangwa,Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete (kulia), akipata maelezo kutoka kwa Msimamizi wa ujenzi kutoka Kambi ya Mzinga ya JWTZ, Aloyce Mayunga (kushoto) alipokwenda kukagua ujenzi wa maabara ya Shule ya Sekondari ya Kiwangwa wakati wa ziara ya kikazi ya katika Kata ya Kiwangwa, wilayani Chalinze, Pwani jana Aliwataka wajenzi hao kujenga maabara hayo kwa kuzingatia viwango. Katikati ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Bagamoyo, Saleh Mpimbwi.
Ridhiwani Kikwete...