Shida ya Maji Jimbo la Chalinze kuanza kusahaulika
![](http://3.bp.blogspot.com/-gWMtCEMY_Ak/VIdoiofDakI/AAAAAAAG2Rs/EcqKlGw1wFk/s72-c/IMG-20141209-WA0016.jpg)
Wataalam wa uchimbaji wa visima virefu vya maji,wakiendela na shughuli hiyo katika eneo la Shule ya Msingi Kwamsanja iliopo katika kijiji cha Kwamsanja ndani ya Jimbo la Chalinze, Bagamoyo mkoani Pwani.Hatua hiyo imekuwa kutokana na ahadi ya iliyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Mh. Ridhiwani Kikwete wakati wa Kampeni za Kuwania Ubunge katika Jimbo hilo.
Shughuli ya upatikanaji wa Maji sasa imekamilika na kinachofuata ni ujengaji wa Tanki kubwa la kuhifadhi maji hayo,ambayo yatatatua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLJIMBO LA KOROGWE; MTO UMEPITA JIMBONI, MAJI NI SHIDA
11 years ago
Michuzi05 Aug
MBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE AZINDUA MAKTABA YA KISASA SHULE YA SEKONDARI CHALINZE
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/08/112.jpg)
Mbunge huyo pia ameahidi kujenga jiko katika shule hiyo na kuongeza kompyuta ili wanafunzi wajengewe mzingira mazuri zaidi ya kujisomea lakini...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/08/112.jpg?width=650)
MBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE AZINDUA MAKTABA YA KISASA SHULE YA SEKONDARI CHALINZE
11 years ago
MichuziTume ya Uchaguzi yavitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kuwatumia mawakala kutoka ndani ya jimbo hilo
Akizungumza katika mkutano baina ya vyama vya siasa na tume hiyo,Mwenyekiti wa Tume hiyo,Jaji mstaafu Damiani Lubuva amesema kuwa pamoja na kuwa sheria haikatazi kwa vyama kuteua mawakala wa vyama kutoka majimbo mengine ya...
10 years ago
Habarileo25 Aug
Dawasco yajipanga kumaliza shida ya maji Dar
SERIKALI imesema inafanya kila liwezekanalo kuhakikisha huduma ya maji katika Jiji la Dar es Salaam inaimarika na kufikia wananchi wengi kadiri inavyowezekana. Viongozi wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji taka Dar es Salaam (Dawasa) wamesema wanahakikisha miradi inayoendelea ya kuimarisha huduma ya maji inakamilika haraka na kwa muda uliopangwa kufanikisha lengo hilo.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xnYZp_a4pg0/VgD_bGg5h2I/AAAAAAAH6wg/cOCtZwBtpyw/s72-c/unnamed.jpg)
KAMPENI JIMBO LA CHALINZE ZAENDELEA
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xSW3MOal_2Q/VgYnBBSi0mI/AAAAAAAH7OE/1f9qS-DnCHg/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
KAMAPENI ZA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE ZAENDELEA
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Chalinze wakosa huduma ya maji
WAKAZI wa Chalinze na vitongoji vyake wanaotegemea kupata maji kutoka chanzo cha Mto Wami, wako katika kipindi kigumu kutokana na kukosekana kwa huduma hiyo kwa zaidi ya wiki moja. Wakazi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqz-zlEb89GHXio-A21O3cA3wHdSbd9iLe3-rRQUjuVivZn7tVAsTsqkSbO5utWSnLeU9J1khKLlvmj*YdzjAe9c/BREAKINGNEWS.gif)
RIDHIWANI KIKWETE NDIYE MBUNGE JIMBO LA CHALINZE