JIMBO LA KOROGWE; MTO UMEPITA JIMBONI, MAJI NI SHIDA
Mbunge wa Korogwe Nasir akichangia hoja ya mafuta bungeni. Makala:Mwandishi Wetu, BAADA ya wiki iliyopita safu hii kutembelea Jimbo la Temeke, wiki hii tupo Jimbo la Korogwe Mjini linaloongozwa na mbunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Yusuph Abdallah Nassir. Baadhi ya wapiga kura waliozungumza na safu hii walisema matatizo mengi ya Jimbo la Korogwe yanatokana na usimamizi mbovu wa viongozi wa ngazi za juu. Wapiga kura wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gWMtCEMY_Ak/VIdoiofDakI/AAAAAAAG2Rs/EcqKlGw1wFk/s72-c/IMG-20141209-WA0016.jpg)
Shida ya Maji Jimbo la Chalinze kuanza kusahaulika
![](http://3.bp.blogspot.com/-gWMtCEMY_Ak/VIdoiofDakI/AAAAAAAG2Rs/EcqKlGw1wFk/s1600/IMG-20141209-WA0016.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iyfiEyHEamE/VIdolxBrQFI/AAAAAAAG2R0/SEtqHijHEtU/s1600/IMG-20141209-WA0009.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/pLF-wX4MuXo/default.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/bBE8eiH8od4/default.jpg)
GARI LATUMBUKIA MTO WAMI, DEREVA BADO YUPO CHINI YA MAJI. MTO UNA VIBOKO NA MAMBA (+ VIDEO)
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/06/james-660x400.jpg)
10 years ago
MichuziMUWSA YASAMBAZA BOMBA ZA MAJI MRADI MKUBWA WA MAJI MTO KARANGA
TATIZO la upungufu wa maji katika Manispaa ya Moshi linaelekea kuwa historia ifikapo mwezi Desemba mwaka huu kufuatia kukamilika kwa utekelezaji wa mradi mkubwa wa maji uliopo katika chemchem ya Mto Karanga ambao umegharimu kiasi cha shilingi milioni 382.
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira ( MUWSA), Mhandisi Cyprian Luhemeja amefafanua kuwa, mradi huo utakapokamilika utahudumia maeneo ya Bomambuzi, Pasua ,...
10 years ago
GPLMUWSA YASAMBAZA BOMBA LA MAJI KATIKA MRADI MKUBWA WA MAJI MTO KARANGA
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAJI AMOSI MAKALA ATEMBELEA ENEO LA MRADI MKUBWA WA MAJI WA MWANGA/KOROGWE.
PICHA ZAIDI...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DeSq9uLgLqI/VQaOE7-PNTI/AAAAAAAB5nc/I6DOKUaprNM/s72-c/2G2A4865.jpg)
FILIKUNJOME ATIMIZA AHADI YA UJENZI WA DARAJA MTO KITEWAKA JIMBONI KWAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-DeSq9uLgLqI/VQaOE7-PNTI/AAAAAAAB5nc/I6DOKUaprNM/s1600/2G2A4865.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IiQiNy84WPo/VQaN_P9R3TI/AAAAAAAB5nU/inMKj4V172s/s1600/2G2A4891.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YnSvuCJ9I8M/VQaQTgUev2I/AAAAAAAB5n0/BZHdU0hlKJI/s1600/2G2A4747.jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qf2kJrf2ApE/U_TMnJwScBI/AAAAAAAGA9w/PQH5wIenR2g/s72-c/unnamed%2B(49).jpg)
Mbunge wa Ludewa,Mh. Deo Filikunjombe akizindua mradi wa maji Jimboni kwake kwa kunywa maji ya Mtoni
![](http://2.bp.blogspot.com/-qf2kJrf2ApE/U_TMnJwScBI/AAAAAAAGA9w/PQH5wIenR2g/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Xm1XeshQta4/U_TMnTV5pEI/AAAAAAAGA9s/XI0MMyay-dk/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
9 years ago
StarTV23 Nov
Uharibifu Vyanzo Vya Maji Mto Zigi vya waweza kusababisha tatizo la maji Tanga
Mamlaka ya majisafi na majitaka Tanga UWASA imesema uharibifu wa mazingira katika vyanzo vya maji vya mto Zigi unaweza kusababisha jiji hilo kuingia kwenye tatizo la maji.
Tayari Mamlaka hiyo imeanzisha Umoja wa Wakulima hifadhi Mazingira Kihuwhi Zigi, UWAMAKIZI kama harakati ya kukabiliana na uchimbaji wa madini, kilimo na ukataji wa miti kwa ajili ya mbao.
Jiji la Tanga hutegemea maji ya mto zigi kama chanzo pekee cha maji na shughuli za kibinadamu kwenye vyanzo vya mto huo huenda...