KAMAPENI ZA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE ZAENDELEA
![](http://1.bp.blogspot.com/-xSW3MOal_2Q/VgYnBBSi0mI/AAAAAAAH7OE/1f9qS-DnCHg/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
Na John Gagarini, Chalinze HALMASHAURI ya wilaya ya Bagamoyo imeshauriwa kuisitisha mikata ya umiliki wa ardhi iliyochukuliwa na wawawkezaji ambao hawajaiendeleza ardhi hiyo kwa kipindi cha zaidi ya miaka 15 wairejeshe kwenye serikali za vijiji kwa ajili ya matumizi ya umma. Hayo yalisemwa na mgombea Ubunge Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ridhiwani Kikwete wakati wa mikutano ya hadhara ya kampeni kwenye Vijiji vya Makombe na Kinzagu kwenye kata ya Lugoba na kusema...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xnYZp_a4pg0/VgD_bGg5h2I/AAAAAAAH6wg/cOCtZwBtpyw/s72-c/unnamed.jpg)
KAMPENI JIMBO LA CHALINZE ZAENDELEA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZGg2hs00iTs/UzG3NFf-Y4I/AAAAAAAFWUU/rt7eKFXoJoc/s72-c/28.jpg)
KAMPENI ZA CCM JIMBO LA CHALINZE,ZAENDELEA LEO KATA YA LUGOBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZGg2hs00iTs/UzG3NFf-Y4I/AAAAAAAFWUU/rt7eKFXoJoc/s1600/28.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-L_6noeGffbU/UzG3Irumt5I/AAAAAAAFWUM/jxsXerFAqX4/s1600/30.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EkjFZ7sCDAo/UzG3qx242sI/AAAAAAAFWUw/75TlenNrfbw/s1600/43.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oa-wUKujyK4/UzsMUUh9NgI/AAAAAAAFXo0/Dg2zRCHYscY/s72-c/1.jpg)
KAMPENI ZA CCM JIMBO LA CHALINZE ZAENDELEA KWA KASI KATIKA HATUA ZA LALA SALAMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-oa-wUKujyK4/UzsMUUh9NgI/AAAAAAAFXo0/Dg2zRCHYscY/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jNpgFU7PFZM/UzsNxF0j-CI/AAAAAAAFXrk/GYJgALzszdc/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3gNCgFm96TU/UzsNUWD_zFI/AAAAAAAFXqc/6o9JcbDBGlk/s1600/21.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6QzVEOciBno/Uyr6tv8tyaI/AAAAAAACdDE/QrPusb8lDRs/s72-c/UB+4.jpg)
KAMPENI ZA CCM JIMBO LA CHALINZE ZAENDELEA KIJIJI KWA KIJIJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-6QzVEOciBno/Uyr6tv8tyaI/AAAAAAACdDE/QrPusb8lDRs/s1600/UB+4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9QZDqllaCHE/Uyr6t8geP2I/AAAAAAACdDI/utbvAvqj7B4/s1600/UB+5.jpg)
11 years ago
Michuzi12 Mar
watano wachukua fomu kugombea ubunge jimbo la chalinze
Jumla ya wagombea watano wamechukua fomu za kuwania Kiti cha Ubunge katika Jimbo la Chalinze, Bagamoyo, Zoezi litafungwa rasmi tarehe 12 Machi 2014 saa kumi kamili alasiri, kwa mujibu wa taarifa ya Afisa Uchaguzi wa Jimbo la Bagamoyo, David Shija.
Wagombea hao ni:-
Mathayo Torongey (CHADEMA) Phabian Skauki wa (CUF) Vuniru Hussein (NRA) Ramadhan Mgaya (ASP) Ridhiwani Kikwete (CCM)
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-a8GewX63DL0/U0Eb8bCu1lI/AAAAAAAAM8M/83iYJIMCB3s/s1600/8.jpg)
WAGOMBEA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE WAPIGA KURA ZAO
11 years ago
Michuzi07 Apr
RIDHIWANI KIKWETE ASHINDA KWA KISHINDO UBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE
![](https://2.bp.blogspot.com/-K7hEfHq8qac/U0GqM21QUPI/AAAAAAABeag/fu28H1wc3cE/s1600/IMG_7134.jpg)
Na John Bukuku Ridhiwani Kikwete aliyekuwa mgombea ubunge uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani kupitia CCM ameibuka kidedea kwa asilimia 86.61 katika uchaguzi huo kwa kuwamwaga wagombea wengine kutoka vyama vinne vya upinzani.
Matokeo hayo rasmi yametangazwa usiku wa kuamkia leo April 7, 2014 majira ya saa nane usiku katika shule ya sekondari Chalinze na Msimamizi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhk5UnKluLgVgIGUEU3kQFW92R8hCumRhItevvfdkNzos1Kbwc42R-M7jYiYvD13B2WoQkJOQXNVLnH*2fsULw5c/13.gif)
MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE (CUF) AMUWEKEA PINGAMIZI WA CHADEMA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Wkt_3nche0Y/UzcMvvMurFI/AAAAAAAFXRo/JjSVjGSl3tY/s72-c/1.jpg)
MSAFARA WA MGOMBEA UBUNGE WA CCM JIMBO LA CHALINZE ULIVYOKABILIWA CHANGAMOTO YA BARABARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Wkt_3nche0Y/UzcMvvMurFI/AAAAAAAFXRo/JjSVjGSl3tY/s1600/1.jpg)