KAMPENI ZA CCM JIMBO LA CHALINZE,ZAENDELEA LEO KATA YA LUGOBA

Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi (CCM),Nape Nnauye akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Makombe,Kata ya Lugoba leo Machi 25,2014,wakati wa muendelezo wa Kampeni za Kumnadi Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete (hayupo pichani).
Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete akinadi sera zake kwa wananchi wa kijiji cha Makombe,Kata ya Lugoba leo Machi 25,2014,ikiwa ni muendelezo wa Kampeni zake.
Mgombea Ubunge...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
KAMPENI ZA CCM KATIKA KATA YA KIWANGWA NDANI YA JIMBO LA CHALINZE LEO


11 years ago
Michuzi
KAMPENI ZA CCM JIMBO LA CHALINZE ZAENDELEA KWA KASI KATIKA HATUA ZA LALA SALAMA



11 years ago
Michuzi
KAMPENI ZA CCM JIMBO LA CHALINZE ZAENDELEA KIJIJI KWA KIJIJI


10 years ago
Michuzi
KAMPENI JIMBO LA CHALINZE ZAENDELEA
11 years ago
Michuzi
RIDHIWANI KIKWETE AUNGURUMA KATA YA BWILINGU NDANI YA JIMBO LA CHALINZE LEO



11 years ago
Michuzi
CCM YAENDELEA NA KAMPENI ZAKE JIMBO LA CHALINZE


10 years ago
Michuzi
KAMAPENI ZA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE ZAENDELEA
11 years ago
Michuzi
CCM YAZINDUA KAMPENI ZAKE KWA KISHINDO JIMBO LA CHALINZE

