Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanesco kusitisha huduma za kununua Luku kwa saa 24

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Felchesmi Mramba amesema kesho na keshokutwa hakutakuwa na huduma ya ununuzi wa umeme kupitia Luku nchi nzima.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Israel kusitisha vita kwa saa 24 zaidi

Serikali ya Israel imekubali kusitisha vita katika eneo la Gaza kwa sababu za kibinaadamu kufuatia ombi la umoja wa mataifa.

 

10 years ago

Vijimambo

TANESCO YAKUBALI KUWEPO MADUDU KWENYE LUKU NI BAADA YA WATEJA KUWA KIZANI KWA SIKU 3

Shirika la Ugavi na Usambazaji wa Umeme nchini (TANESCO), limekiri kuwepo na matatizo ya mfumo wa kununua Lipa Umeme Kadiri Utumiavyo (LUKU), ulioanza Ijumaa jioni wiki iliyopita hadi jana na kuwa matatizo hayo yanatokana na mfumo wa kuuza umeme wa LUKU.Akizungumza na mwandishi jijini Dar es Salaam jana, Meneja Mawasiliano wa TANESCO, Adrian Shogholo alisema ni kweli kuwa tatizo hilo lipo na limetokana na mfumo wa manunuzi wa umeme wa LUKU.
“Ni kweli tunaomba radhi wateja wetu kwamba kuanzia...

 

10 years ago

Habarileo

Tanesco yaja na Luku mpya

Meneja Uhusiano wa Tanesco, Adrian SeverinShirika la Umeme nchini (TANESCO) linatarajia kubadilisha mfumo wa huduma ya Lipia Umeme Kadri Utumiavyo (Luku) na kuuweka wa kisasa ili kuwaondolea usumbufu wateja wake.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

TANESCO sasa mambo shwari Luku




NA EMMANUEL MOHAMEDSHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO), limesema tatizo la mfumo wa kununua umeme kwa njia ya mtandao limeshatafutiwa ufumbuzi na kwamba wateja wataendelea kupata huduma hiyo. Imeelezwa kuwa  licha ya kupatikana kwa ufumbuzi huo, bado mfumo huo utakuwa na kasi ndogo ya kuwahudumia wateja, ukilinganisha  na awali. Ofisa Uhusiano wa TANESCO, Adrian Mvungi, alisema tatizo hilo linatokana na kutokea kwa hitilafu ya mfumo huo na kusababisha  usumbufu mkubwa kwa wateja o...

 

10 years ago

TheCitizen

We’ll fix Luku by day’s end: Tanesco

>The management of Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) has assured its clients that the pre-paid (Luku) service will get back to normal by the close of business today.

 

10 years ago

Habarileo

Tanesco kufunga Luku taasisi za serikali

Waziri wa Nishati na Madini, George SimbachaweneWAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene amesema kuwa Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) lina mpango wa kufunga mita za LUKU katika ofisi za taasisi zote za serikali kama moja ya mikakati yake katika ukusanyaji wa mapato.

 

10 years ago

Habarileo

Tanesco yakiri matata mfumo wa kuuza Luku

SHIRIKA la Ugavi na Usambazaji wa Umeme nchini (TANESCO), limekiri kuwepo na matatizo ya mfumo wa kununua Luku, ulioanza Ijumaa jioni wiki iliyopita hadi jana na kuwa matatizo hayo yanatokana na mfumo wa kuuza umeme wa Luku.

 

10 years ago

Habarileo

Tanesco yakiri madudu kwenye ununuzi wa Luku

Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco Decklan MhaikiSHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limekiri kuwa na tatizo la huduma ya ununuzi ya Luku na kuomba radhi kwa wateja wake.

 

10 years ago

TheCitizen

Drop Luku supplier, minister tells Tanesco

>Energy and Minerals minister George Simbachawene has directed Tanesco to revoke its contract with Selcom Wireless Limited for its alleged failure in supplying pre-paid power (Luku) service to its customers and breach of tax obligations.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani