Tanesco yakiri matata mfumo wa kuuza Luku
SHIRIKA la Ugavi na Usambazaji wa Umeme nchini (TANESCO), limekiri kuwepo na matatizo ya mfumo wa kununua Luku, ulioanza Ijumaa jioni wiki iliyopita hadi jana na kuwa matatizo hayo yanatokana na mfumo wa kuuza umeme wa Luku.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 Jan
Tanesco yakiri madudu kwenye ununuzi wa Luku
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limekiri kuwa na tatizo la huduma ya ununuzi ya Luku na kuomba radhi kwa wateja wake.
10 years ago
Mwananchi01 May
UKIUKAJI WA SHERIA: Selcom yazuiwa kuuza Luku
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-87lL65vXbcw/VUOIciX9CvI/AAAAAAAAtCI/mnd0524qdUY/s72-c/bembeleza.jpg)
Selcom Yapigwa Marufuku Kuuza Umeme wa LUKU
![](http://1.bp.blogspot.com/-87lL65vXbcw/VUOIciX9CvI/AAAAAAAAtCI/mnd0524qdUY/s640/bembeleza.jpg)
Serikali imefuta mkataba wake na kampuni ya Selcom iliyokuwa inauza umeme wa Luku kwa kile kilichodaiwa kuwa ni ubabaishaji katika kutoa huduma hiyo.
Pia kampuni hiyo, ambayo imekuwa ikinunua umeme wa jumla kutoka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) imesitishiwa mkataba huo kutokana na kukiuka sheria na taratibu za ulipaji wa kodi.Hata hivyo, mkurugenzi mtendaji wa Selcom, Sameer Hirji hakuwa tayari kuzungumzia suala hilo.
“Siwezi kuzungumzia chochote kuhusu hilo (mkataba). Tutakuwa na mkutano...
10 years ago
Habarileo08 Apr
Tanesco yaja na Luku mpya
Shirika la Umeme nchini (TANESCO) linatarajia kubadilisha mfumo wa huduma ya Lipia Umeme Kadri Utumiavyo (Luku) na kuuweka wa kisasa ili kuwaondolea usumbufu wateja wake.
10 years ago
Habarileo12 Apr
Tanesco kufunga Luku taasisi za serikali
WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene amesema kuwa Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) lina mpango wa kufunga mita za LUKU katika ofisi za taasisi zote za serikali kama moja ya mikakati yake katika ukusanyaji wa mapato.
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-87QU_E9iSEc/VPXg50kNfRI/AAAAAAAAB2c/1Uo21Q4Q5Rw/s72-c/Mita.jpg)
TANESCO sasa mambo shwari Luku
![](http://4.bp.blogspot.com/-87QU_E9iSEc/VPXg50kNfRI/AAAAAAAAB2c/1Uo21Q4Q5Rw/s1600/Mita.jpg)
10 years ago
TheCitizen14 Jan
We’ll fix Luku by day’s end: Tanesco
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Tanesco: Kuna tatizo la upatikanaji umeme wa Luku
10 years ago
TheCitizen01 May
Drop Luku supplier, minister tells Tanesco