Serikali iondoe kodi vifaa vya ujenzi — Bunge
KAMATI ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, imeitaka serikali kuondoa kodi kwenye vifaa vya ujenzi wa nyumba za gharama nafuu unaoendeshwa na Shirika la Nyumba Tanzania (NHC). Kuondolewa kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
Sugu: Serikali iondoe kodi vifaa tiba mbadala
MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (CHADEMA), amesema kuna haja kwa Serikali kungalia namna ya kuondoa ushuru katika vifaa vinavyoingia nchini kwa ajili ya masuala ya tiba mbadala, kwani wanaonufaika...
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Lembeli: Serikali iondoe VAT vifaa vya mradi
MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli, ameishauri serikali kuondoa kodi kwenye vifaa vya mradi wa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu unaoendeshwa...
10 years ago
Mwananchi09 Mar
‘Kodi vifaa vya ujenzi ipunguzwe’
11 years ago
Mwananchi06 May
Waziri Tibaijuka alalamikia kodi kubwa vifaa vya ujenzi
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Taboa yataka Serikali iondoe kodi zote
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
‘Serikali ishushe bei vifaa vya ujenzi’
MBUNGE wa Viti Maalumu, Rebecca Mngodo (CHADEMA), ameitaka serikali kushusha bei ya vifaa vya ujenzi ili wananchi waishio vijijini waweze kufaidika na huduma ya umeme. Kauli hiyo aliitoa jana bungeni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JBH6EnXHHYI/Xm8F2FS6SsI/AAAAAAALj20/iguVWyX29LgIJ5XvZqI9T4WSKX_Y2bdhwCLcBGAsYHQ/s72-c/04.jpg)
KAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YATOA USHAURI KWA SERIKALI KUHUSU KUVILINDA VIWANDA VYA VIFAA VYA UMEME
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeishauri Serikali kuvilinda viwanda vya uzalishaji wa vifaa vya umeme vilivyopo nchini ili kuongeza tija na ufanisi wa viwanda hivyo vilivyopewa jukumu la kuzalishaji vifaa hivyo kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya umeme inayoendelea nchini.
Akizungumza wakati wa ziara ya Kamati hiyo kutembelea kiwanda cha uzalishaji wa vifaa vya umeme na Transfoma cha AFRICAB kilichopo Kurasini jijini...
9 years ago
Dewji Blog02 Sep
Dk Magufuli akishinda Urais aahidi Serikali kujenga reli kutoka Mtwara hadii Mbamba Bay Ruvuma, kupunguza bei ya vifaa vya ujenzi
Wananchi wakishangilia wakati wa mkutano wa kampeni wa CCM kumnadi mgombea urais Dk John Magufuli wilayani Masasi jana. Dk Magufuli amesema kuwa CCM ikishinda Serikali itajenga Reli kuanzia Mtwara hadi Mbamba Bay Ruvuma.
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akijinadi katika mkutano wa kampeni mjini Masasi, mkoani Mtwara jana.
Mfuasi wa CCM akiwa amejichora usoni huku kidevuni akiwa aqmeandika jina la Mgombea Urais wa Tanzania kuptia CCM, Dk Magufuli.
Wananchi...
9 years ago
VijimamboDK MAGUFULI AKISHINDA URAIS AAHIDI SERIKALI KUJENGA RELI KUTOKA MTWARA HADI MBAMBA BAY RUVUMA, KUPUNGUZA BEI YA VIFAA VYA UJENZI