Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali iondoe kodi vifaa vya ujenzi — Bunge

KAMATI ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, imeitaka serikali kuondoa kodi kwenye vifaa vya ujenzi wa nyumba za gharama nafuu unaoendeshwa na Shirika la Nyumba Tanzania (NHC). Kuondolewa kwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Sugu: Serikali iondoe kodi vifaa tiba mbadala

MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (CHADEMA), amesema kuna haja kwa Serikali kungalia namna ya kuondoa ushuru katika vifaa vinavyoingia nchini kwa ajili ya masuala ya tiba mbadala, kwani wanaonufaika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lembeli: Serikali iondoe VAT vifaa vya mradi

MWENYEKITI  wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya  Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli, ameishauri serikali kuondoa kodi  kwenye vifaa vya  mradi wa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu unaoendeshwa...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Kodi vifaa vya ujenzi ipunguzwe’

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge, Ardhi, Maliasili na Mazingira, Abdulkarim Shah amesema watapambana kuhakikisha kodi katika vifaa vya ujenzi inapunguzwa ili kila mwananchi aweze kumiliki nyumba bora.

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri Tibaijuka alalamikia kodi kubwa vifaa vya ujenzi

Waziri wa wa Ardhi, Nyumba, Maendeleo na Makazi, Profesa Anna Tibaijuka ameshauri kupunguzwa kodi ya vifaa vya ujenzi nchini ili Watanzania walio wengi waweze kumudu bei ya vifaa hivyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Taboa yataka Serikali iondoe kodi zote

Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa) kimepongeza hatua ya Serikali ya kupunguza kodi kwenye mabasi kutoka asilimia 25 hadi 10 kwa mabasi yanayobeba abiria 25 lakini ikataka kodi hiyo iondolewe kabisa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali ishushe bei vifaa vya ujenzi’

MBUNGE wa Viti Maalumu, Rebecca Mngodo (CHADEMA), ameitaka serikali kushusha bei ya vifaa vya ujenzi ili wananchi waishio vijijini waweze kufaidika na huduma ya umeme. Kauli hiyo aliitoa jana bungeni...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YATOA USHAURI KWA SERIKALI KUHUSU KUVILINDA VIWANDA VYA VIFAA VYA UMEME

Na Mwandishi Wetu, Michuzi Globu ya jamii

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeishauri Serikali kuvilinda viwanda vya uzalishaji wa vifaa vya umeme vilivyopo nchini ili kuongeza tija na ufanisi wa viwanda hivyo vilivyopewa jukumu la kuzalishaji vifaa hivyo kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya umeme inayoendelea nchini.

Akizungumza wakati wa ziara ya Kamati hiyo kutembelea kiwanda cha uzalishaji wa vifaa vya umeme na Transfoma cha AFRICAB kilichopo Kurasini jijini...

 

9 years ago

Dewji Blog

Dk Magufuli akishinda Urais aahidi Serikali kujenga reli kutoka Mtwara hadii Mbamba Bay Ruvuma, kupunguza bei ya vifaa vya ujenzi

 Wananchi wakishangilia wakati wa mkutano wa kampeni wa CCM kumnadi mgombea urais Dk John Magufuli  wilayani Masasi jana. Dk Magufuli amesema kuwa CCM ikishinda Serikali  itajenga Reli kuanzia Mtwara hadi Mbamba Bay Ruvuma.

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akijinadi katika mkutano wa kampeni mjini Masasi, mkoani Mtwara jana.

 Mfuasi wa CCM  akiwa amejichora usoni huku kidevuni akiwa aqmeandika jina la Mgombea Urais wa Tanzania kuptia CCM, Dk Magufuli.

 Wananchi...

 

9 years ago

Vijimambo

DK MAGUFULI AKISHINDA URAIS AAHIDI SERIKALI KUJENGA RELI KUTOKA MTWARA HADI MBAMBA BAY RUVUMA, KUPUNGUZA BEI YA VIFAA VYA UJENZI

 Wananchi wakishangilia wakati wa mkutano wa kampeni wa CCM kumnadi mgombea urais Dk John Magufuli  wilayani Masasi leo. Dk Magufuli amesema kuwa CCM ikishinda Serikali  itajenga Reli kuanzia Mtwara hadi Mbamba Bay Ruvuma  Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akijinadi katika mkutano wa kampeni mjini Masasi, mkoani Mtwara leo. Mfuasi wa CCM  akiwa amejichora usoni huku kidevuni akiwa aqmeandika jina la Mgombea Urais wa Tanzania kuptia CCM, Dk Magufuli.
 Wananchi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani