SERIKALI KUWEKEZA KATIKA UTAFITI WA TIBA ASILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-FGLkIUJRvFA/VR1JIkgOZuI/AAAAAAAHO8o/cmsKCz4CWm4/s72-c/DSC_0573.jpg)
Mkurugenzi wa Tasisi ya Utafiti ya Ifakara,Salim Abdullah akisaini makubaliano ya kuendeleza utafiti tasisi hiyo kulia ni Mkuu wa Taasisi ya Kinga na wa China,Dk.Ning Xiao katika hafla iliypfanyika leo jijin Dar es Salaam.(Picha Emmanuel Massaka).
WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dk.Seif Rashid akizungumza hafla ya makubaliano na Serikali ya watu wa China ( Kulia),Naibu Waziri na Kamisheni ya Taifa ya Afya na Uzazi wa Mpango,na Usimamizi wa Tiba Asili iliyofanyika leo jijini Dar es...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi24 Dec
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Serikali yashtukia vifaa tiba asili, mbadala
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Serikali yasitisha vibali vya matangazo ya tiba asili
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Serikali yapiga marufuku matangazo yanayohusu Tiba asili
![](http://1.bp.blogspot.com/-iqJ-Kq7M9_E/Vny93ECcrxI/AAAAAAAAsfE/GYq5Ag0wppo/s1600/1.jpg)
Taarifa kutoka Wizara ya Afya kuanzia tarehe 24 Desemba 2015 imepiga marufuku matangazo yote yanayohusu tiba asili na tiba mbadala kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii. Wale wote wenye vibali wanatakiwa kuviwasilisha vibali na matangazo yao kwenye Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala ili vifanyiwe mapitio. Utoaji wa elimu ya afya kwa umma unaofanywa na...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OGr1Tn__XZ8/VoFCVoPuMKI/AAAAAAAIPBs/19KJDCnzPvw/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
SERIKALI YASEMA TAMKO LAKE LA TIBA ASILI NA MBADALA LIKO PALEPALE
![](http://2.bp.blogspot.com/-OGr1Tn__XZ8/VoFCVoPuMKI/AAAAAAAIPBs/19KJDCnzPvw/s400/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
Serikali imesema kwamba tamko lake lilitolewa hivi karibuni kuhusu matangazo ya Tiba Asili na Tiba Mbadala palepale kwa kuwa lengo lake ni kuboresha huduma hiyo. Hivyo kama kuna mtoa huduma ambaye amekwazika na tangazo hilo ipo tayari kuzungumza naye.
Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu tamko hilo kwenye ukumbi wa mikutano wa wizara hiyo jijini Dar...
9 years ago
StarTV01 Dec
Serikali yaombwa kutoa vifaa vya upimaji maradhi Wataalamu Wa Tiba Asili
Wataalamu wa tiba asili wameiomba Serikali kutoa usaidizi wa vifaa vya upimaji wa maradhi mbalimbali kwa lengo la kuwawezesha kutoa tiba kwa kiwango kinachokubalika.
Baadhi ya hospitali nchini zinadaiwa kuwa zimekuwa zikitoa masharti magumu kwa waganga wa tiba asili kupata vipimo kwa wagonjwa wao hali inayowafanya kujiingiza katika upigaji ramli chonganishi.
Wilaya ya Chato mkoani Geita iliyopo Magharibi mwa Tanzania baada ya kumtoa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,umaarufu wake...
10 years ago
GPLBARAZA LA TIBA ASILI, MBADALA LAPIGA MARUFUKU MATANGAZO NA VIPINDI VYA TIBA HIYO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mlGun7W10OY/XozCcOKnZsI/AAAAAAALmbI/dD9p6eLMtIQFRAJ6BArPMAeqLL5s5lXgACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0304-2048x1369.jpg)
RC Wangabo awataka Waganga wa tiba asili na machifu wa Mkoa kuwa mfano katika mapambano dhidi ya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-mlGun7W10OY/XozCcOKnZsI/AAAAAAALmbI/dD9p6eLMtIQFRAJ6BArPMAeqLL5s5lXgACLcBGAsYHQ/s640/DSC_0304-2048x1369.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akitoa maagizo kwa Machifu na Waganga wa Tiba asili wa mkoa wa Rukwa (hawapo pichani) katika kikao kifupi alichokutana nao ili kuwaelimisha juu ya ugonjwa wa Corona
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_0341-scaled.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_0336-scaled.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TY0YQRO00pA/VFH8r2VONQI/AAAAAAACuDM/MUnrvTusFGw/s72-c/BD1b.jpg)
Serikali yashauriwa kuwekeza katika sekta ya Filamu
![](http://2.bp.blogspot.com/-TY0YQRO00pA/VFH8r2VONQI/AAAAAAACuDM/MUnrvTusFGw/s1600/BD1b.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TNJ__dfKkd8/VFH8nFxlMcI/AAAAAAACuDE/KcDfQbTA5KA/s1600/BD2.jpg)