Serikali yashauriwa kuwekeza katika sekta ya Filamu
![](http://2.bp.blogspot.com/-TY0YQRO00pA/VFH8r2VONQI/AAAAAAACuDM/MUnrvTusFGw/s72-c/BD1b.jpg)
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo akiowaonyesha mabango ya filamu za Tanzania wageni kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Kenya (hawapo pichani) walipotembelea ofisi za Bodi hiyo ili kujifunza namna ya Uendeshwaji wa Bodi ya Filamu jana jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Kaimu Mwenyekiti wa Bodi hiyo Bw. Silyvester Sengerema.
Kutoka kushoto ni Afisa Mult Media kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Kenya (CA) Bi. Jacquline Kinyanjui, Afisa Mult Media kutoka Mamlaka ya Mawasiliano...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Serikali yashauriwa kuwekeza elimu ya awali
9 years ago
StarTV27 Nov
Serikali yashauriwa kuwekeza vya kutosha
Idadi ya watalii wanaoingia nchini inaongezeka mwaka hadi mwaka na endapo Serikali itawekeza vizuri kwenye sekta hiyo itaokoa takribani shilingi bilioni tano ambazo zimekuwa zikipotea kutokana na uwekezaji mdogo.
Mpaka sasa idadi ya watalii wanaoingia nchini ni zaidi ya milioni moja na endapo Serikali itaongeza uwekezaji katika sekta hiyo ifikapo mwaka 2020 watalii wanatarajiwa kuongezeka mara mbili zaidi.
Jijini Dar es salaam katika mkutano wa mwaka Wizara ya Maliasili na Utalii imekutana...
10 years ago
Mwananchi29 Jan
Dk Bilal ataka sekta binafsi kuwekeza katika kilimo
11 years ago
MichuziNORWAY YADHAMIRIA KUWEKEZA LINDI KATIKA SEKTA YA GESI NA UVUVI
10 years ago
MichuziKamati ya Maandalizi ya Tuzo za Filamu Tanzania yashauriwa kutangaza Tasnia ya Filamu kimataifa
9 years ago
StarTV06 Oct
Serikali yashauriwa kuongeza uwekezaji katika elimu
Rais wa Chama cha Waalimu Tanzania (CWT), Gratian Mukoba amesema Siku ya waalimu duniani imeadhimishwa huku Tanzania kukiwa na malalamiko mengi katika sekta ya elimu kutokana na uwekezaji mdogo.
Amesema ili kuweza kufikia malengo endelevu ya maendeleo ni lazima nchi ifanye uwekezaji wa kutosha kwa kuongeza fedhaa kwa ajili ya kuondoa malalamiko hayo.
Rais wa Chama cha Walimu Gratian Mukoba amesema ualimu ni taaluma muhimu na ni lazima ithaminiwe na kuheshimiwa kwa kuwa hatma ya taifa la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9nsL2uSKVQc/XrLOlxD4oZI/AAAAAAALpTU/J1B_Or4uIH0bBIdLWg-PelRq2yBQCijwgCLcBGAsYHQ/s72-c/Serengeti.jpg)
SERIKALI ,SEKTA BINAFSI WATAKIWA KUKAA NA KUBUNI MIKAKATI YA KUENDELEZA SEKTA MUHIMU KATIKA KIPINDI HIKI CHA UGONJWA WA CORONA
Na Woinde Shizza,ARUSHA
SERIKALI pamoja na sekta binafsi zimetakiwa kukaa pamoja ili kubuni mikakati ya namna ya kuendesha sekta muhimu za uchumi kama vile sekta ya utalii ,sekta ya usafirishaji ,sekta ya kilimo ,sekta ya nishati pamoja na ufugaji bila kungoja kuisha kwa janga la Corona 19.
Hayo yamebainishwa na Mtendaji mkuu wa marafiki wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Moses Adam wakati akizungumza na Michuzi Tv ambapo alisema wanatakiwa kuja na njia mbadala endelevu zitakazoendelea ...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-2pAXcpwDmFg/VI_3pijdZDI/AAAAAAADSF8/Jrj5-OzvLXY/s72-c/TSCM%2Btangazo.jpg)
FURSA YA WADAU KATIKA SEKTA YA TAMTHILIA NA FILAMU
![](http://1.bp.blogspot.com/-2pAXcpwDmFg/VI_3pijdZDI/AAAAAAADSF8/Jrj5-OzvLXY/s1600/TSCM%2Btangazo.jpg)
Hii ni fursa ya wadau katika sekta ya tamthilia na filamu, wakiwemo watayarishaji chipukizi na wakongwe kuongeza ujuzi wao.
Mafunzo hayo ni ya muda mfupi. Baadhi ya vitu vitakavyo fundishwa ni pamoja na
SCRIPT WRITING - WIKI 4
Uandishi wa filamu, Screenplay au script ni kazi inayoandikwa na screenwriters kwa ajili ya filamu, video game, au vipindi vya televisheni.
VIDEO EDITING - WIKI 4
ni mchakato wa kuhariri picha tofauti za video ili kukamilisha simulizi. Pia uweka special effects na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aQe6gJyu-co/Xm3DhK7kN0I/AAAAAAALjtU/yLV8NsLgUDY3kvG0dNYHf8oxEArcWNbGACLcBGAsYHQ/s72-c/5ea89720-16c0-4695-b7ce-6eb34b67a3d0.jpg)
SERIKALI YASHAURIWA KUONGEZA UWEKEZAJI KATIKA KUENDELEZA SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UBUNIFU
Ushauri huo umetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe Peter Serukamba wakati wa ziara ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Nelson Mandela...