Serikali yashauriwa kuwekeza vya kutosha
Idadi ya watalii wanaoingia nchini inaongezeka mwaka hadi mwaka na endapo Serikali itawekeza vizuri kwenye sekta hiyo itaokoa takribani shilingi bilioni tano ambazo zimekuwa zikipotea kutokana na uwekezaji mdogo.
Mpaka sasa idadi ya watalii wanaoingia nchini ni zaidi ya milioni moja na endapo Serikali itaongeza uwekezaji katika sekta hiyo ifikapo mwaka 2020 watalii wanatarajiwa kuongezeka mara mbili zaidi.
Jijini Dar es salaam katika mkutano wa mwaka Wizara ya Maliasili na Utalii imekutana...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Serikali yashauriwa kuwekeza elimu ya awali
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TY0YQRO00pA/VFH8r2VONQI/AAAAAAACuDM/MUnrvTusFGw/s72-c/BD1b.jpg)
Serikali yashauriwa kuwekeza katika sekta ya Filamu
![](http://2.bp.blogspot.com/-TY0YQRO00pA/VFH8r2VONQI/AAAAAAACuDM/MUnrvTusFGw/s1600/BD1b.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TNJ__dfKkd8/VFH8nFxlMcI/AAAAAAACuDE/KcDfQbTA5KA/s1600/BD2.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima15 Nov
Serikali yashauriwa kushirikisha vyombo vya habari
SERIKALI imeshauriwa kuvishirikisha vyombo vya habari katika mchakato mpya wa Malengo Endelevu ya Maendeleo (SDGs), ili viweze kuielimisha jamii kutokana na nafasi kubwa ilivyo navyo. Rai hiyo, ilitolewa jijini Dar...
9 years ago
StarTV30 Nov
Serikali yashauriwa kutenga bajeti ya kununua vifaa tiba ili Kupunguza Vifo Vya Watoto
SERIKALI imepewa changamoto ya kutenga fedha katika bajeti yake na kununua vifaa tiba pamoja na dawa zitakazosaidia kupunguza au kuondoa kabisa vifo vya watoto wachanga hapa nchini ambapo ripoti mbalimbali zinaonyesha mwaka jana pekee imefikia watoto elfu kumi na tatu.
Changamoto hiyo imetolewa na Taasisi ya Doris Mollel Foundation muda mfupi baada ya kukabidhi vifaa vitakavyosaidia kuokoa maisha ya watoto wachanga hususani watoto njiti katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Iringa.
Ndani ya...
5 years ago
BBCSwahili06 Mar
Coronavirus: White House yakiri Marekani haina vifaa vya kutosha vya kupima virusi vya corona
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vTz-F4DwlYU/Xp6DjK_HDVI/AAAAAAALnpw/V6vELiYQkOImsmA-hf2PVbGNkuojhaYFgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA AMETOA WITO KWA WAWEKEZAJI KUWEKEZA KWENYE VIWANDA VYA KUTENGEZA BARAKOA NA VITASA MKONO, SERIKALI KUTOA USHIRIKIANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-vTz-F4DwlYU/Xp6DjK_HDVI/AAAAAAALnpw/V6vELiYQkOImsmA-hf2PVbGNkuojhaYFgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-FbC164QI4Do/Xp6DizYcBGI/AAAAAAALnps/6ImHPyXN7SENZIV-B_Hx1AVXEEg8JEwyACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UdmsckREsOQ/Xp2207poT0I/AAAAAAALnlU/lgoyptQhoXcQiANH69uGXu7wS3xNGEtEQCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
SERIKALI YAJIPANGA KUZALISHA BARAKOA ZA KUTOSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-UdmsckREsOQ/Xp2207poT0I/AAAAAAALnlU/lgoyptQhoXcQiANH69uGXu7wS3xNGEtEQCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Innocent Bashungwa (kulia) akipata ufafanuzi kuhusu mtambo wa kutengeneza Barakoa kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Uchapishaji cha Five stars, Bw. Ashik Abbas Karim (kushoto), leo Aprili 20, 2020 alipokua katika ziara ya Jijini Dar es Salaam ya kutembelea Viwanda vinavyozalisha Barakoa na Vitakasa Mikono.
![](https://1.bp.blogspot.com/-yN0vC1c6OHs/Xp22119eWDI/AAAAAAALnlc/kSq_Os-Jas4jS5AyCv2ALT3n8-QEqn5QQCLcBGAsYHQ/s640/5.jpg)
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Innocent Bashungwa (katikati) akisikiliza kwa makini maelezo ya eneo la uzalishaji kutoka kwa Msimamizi...
10 years ago
Mtanzania27 Apr
Serikali yaombwa kutenga fedha za kutosha
Na Tunu Nassor, Dar es Salaam
TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) wameiomba Serikali kutenga fedha za kutosha kwa taasisi zote za Serikali zinazohusika na suala la kukomesha ukatili dhidi ya albino.
Lengo la kutekeleza programu za kuelimisha umma kuharakisha upelelezi na uendeshaji wa kesi za watu wanaodaiwa kufanya ukatili huo.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa tume hiyo, Bahame Nyanduga alisema tume pamoja na wadau walikubaliana kuwa...
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
Serikali yashauriwa kufunza ujasiriamali
ILI kuondoka na wimba la ukosefu wa ajiri kwa vijana, Serikali imeshauriwa kuingiza somo ya ujasiriamali katika mitaala yake katika ngazi za elimu ilitolewayo hapa nchini. Ushauri huo ulitolewa mwishoni...