Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yashauriwa kuwekeza elimu ya awali

Walimu wa Elimu ya Awali (Chekechea), Mkoa wa Tanga wamezidua tawi la chama chao, huku wakielekeza lawama kwa jamii na Serikali kwa kushindwa kuwapa kipaumbele.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Serikali yashauriwa kuwekeza vya kutosha

Idadi ya watalii wanaoingia nchini inaongezeka mwaka hadi mwaka na endapo Serikali itawekeza vizuri kwenye sekta hiyo itaokoa takribani shilingi bilioni tano ambazo zimekuwa zikipotea kutokana na uwekezaji mdogo.

Mpaka sasa idadi ya watalii wanaoingia nchini ni zaidi ya milioni moja na endapo Serikali itaongeza uwekezaji katika sekta hiyo ifikapo mwaka 2020 watalii wanatarajiwa kuongezeka mara mbili zaidi.

Jijini Dar es salaam katika mkutano wa mwaka Wizara ya Maliasili na Utalii imekutana...

 

10 years ago

Michuzi

Serikali yashauriwa kuwekeza katika sekta ya Filamu


 Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo akiowaonyesha mabango ya filamu za Tanzania wageni kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Kenya (hawapo pichani) walipotembelea ofisi za Bodi hiyo ili kujifunza namna ya Uendeshwaji wa Bodi ya Filamu jana jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Kaimu Mwenyekiti wa Bodi hiyo Bw. Silyvester Sengerema.  Kutoka kushoto ni Afisa Mult Media kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Kenya (CA) Bi. Jacquline Kinyanjui, Afisa Mult Media kutoka Mamlaka ya Mawasiliano...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yashauriwa kubadili mitaala ya elimu

SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imeshauriwa kubadili mitaala ya sekta hiyo kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali wa elimu ili kuleta mabadiliko makubwa ya kimaendeleo katika taifa na...

 

9 years ago

StarTV

Serikali yashauriwa kuongeza uwekezaji katika elimu

Rais wa Chama cha Waalimu Tanzania (CWT),  Gratian Mukoba amesema Siku ya waalimu duniani imeadhimishwa huku Tanzania kukiwa na malalamiko mengi katika sekta ya elimu kutokana na uwekezaji mdogo.

Amesema ili kuweza kufikia malengo endelevu ya maendeleo ni lazima nchi ifanye uwekezaji wa kutosha kwa kuongeza fedhaa kwa ajili ya kuondoa malalamiko hayo.

Rais wa Chama cha Walimu Gratian Mukoba amesema ualimu ni taaluma muhimu na ni lazima ithaminiwe na kuheshimiwa kwa kuwa hatma ya taifa la...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali ijayo ije na tiba ya elimu ya awali

Mwaka huu Watanzania tunafanya uamuzi wa kikatiba wa kuwachagua wawakilishi wetu katika ngazi mbalimbali

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAFURAHISHWA NA JITIHADA ZA WILAYA YA CHATO KATIKA KUWEKEZA KWENYE ELIMU

NAIBU Katibu Mkuu anayeshughulikia Elimu OR-TAMISEMI Gerald Mweli amesema ameridhishwa na kutambua jitihada zinazofanywa na viongozi wa Wilaya ya Chato katika kuwekeza kwenye miundombinu ya Elimu.

Mweli ameyasema hayo wakati alipotembelea Wilaya hiyo na kukutana na Menejimenti, Walimu pamoja na kukagua ujenzi wa shule mbalimbali zilizoboreshwa na zinazoendelea kuboreshwa Wilayani hapo.

Mweli amesema anatambua  jitihada kubwa zinazofanywa katika eneo hili la Elimu ikiwa ni pamoja na kuanzisha ...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Elimu ya awali msingi wa elimu Tanzania

WARIOBA IGOMBE

NYUMBA imara inahitaji msingi uliokamilika katika ujenzi, ikiwa yatatumika mawe, zege au udongo basi fundi asifikirie kulipua ili amalize.

Ikiwa utaratibu hautafuatwa katika kujenga msingi imara nyumba itaanguka wakati wowote, inawezekana ikaanguka wakati ujenzi ukiendelea au miaka michache baada ya kukamilika.

Katika mtiririko huo huo mwanafunzi anaandaliwa kwa kujengewa msingi mzuri, anapoanza elimu ya awali na baadaye shule ya msingi kabla ya kwenda sekondari...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wizara ya Elimu yashauriwa kutatua changamoto za walimu nchini

1

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Kawambwa akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2015/2016 bungeni mjini Dodoma leo.

2

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii Bi. Margaret Sitta akiwasilisha taarifa ya kamati hiyo kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kwa mwaka wa fedha 2014/2015 leo bungeni mjini Dodoma.

3

Mhadhiri Msaidizi Idara ya Mimea kutoka Chuo kikuu cha Dar es Salaam Bw. Heriel...

 

11 years ago

BBCSwahili

Elimu ya awali TZ,nani anawajibika?

Wiki hii katika Haba na Haba tunaangalia elimu ya awali nchini Tanzania. Je nani anawajibika?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani