FURSA YA WADAU KATIKA SEKTA YA TAMTHILIA NA FILAMU
![](http://1.bp.blogspot.com/-2pAXcpwDmFg/VI_3pijdZDI/AAAAAAADSF8/Jrj5-OzvLXY/s72-c/TSCM%2Btangazo.jpg)
Hii ni fursa ya wadau katika sekta ya tamthilia na filamu, wakiwemo watayarishaji chipukizi na wakongwe kuongeza ujuzi wao.
Mafunzo hayo ni ya muda mfupi. Baadhi ya vitu vitakavyo fundishwa ni pamoja na
SCRIPT WRITING - WIKI 4
Uandishi wa filamu, Screenplay au script ni kazi inayoandikwa na screenwriters kwa ajili ya filamu, video game, au vipindi vya televisheni.
VIDEO EDITING - WIKI 4
ni mchakato wa kuhariri picha tofauti za video ili kukamilisha simulizi. Pia uweka special effects na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s72-c/IMG_2076.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WA UBIA BAINA YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI (PPP) KATIKA SEKTA AFYA MKOANI RUKWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s1600/IMG_2076.jpg)
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Tamthilia inayoonyesha nguvu katika sekta ya sanaa ya maigizo
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
HDP yakutanisha wadau wa sekta ya utalii katika mkutano wa pili wa kukuza sekta ya ukarimu na utalii
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Shirika la Kimataifa la Ukarimu na Utalii (HDP) kwa kushirikiana na Wamiliki wa Hoteli Tanzania (HAT) wamefanya mkutano wa kukutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya utalii kujadili mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya sekta hiyo.
Akizungumzia mkutano huo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru amesema mashirika hayo yamefanya mkutano huo kwa awamu ya pili kwa ajili ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GvMxvlxOWag/VFBgXK1KM7I/AAAAAAACt3A/QSBzB9SaxGM/s72-c/001.jpg)
Wanawake waaswa kutumia fursa iliyopo katika sekta ya bahari.
![](http://4.bp.blogspot.com/-GvMxvlxOWag/VFBgXK1KM7I/AAAAAAACt3A/QSBzB9SaxGM/s1600/001.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-njGPDCr1ixQ/VFBggaV9HfI/AAAAAAACt3g/PITBHsZCDvA/s1600/005.jpg)
10 years ago
Dewji Blog29 Oct
Wanawake wameaswa kutumia fursa iliyopo katika sekta ya bahari
Na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Wanawake wameaswa kutumia fursa iliyopo katika sekta ya bahari kwa kupata elimu na mafunzo ya sekta hiyo ambayo ni msingi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TY0YQRO00pA/VFH8r2VONQI/AAAAAAACuDM/MUnrvTusFGw/s72-c/BD1b.jpg)
Serikali yashauriwa kuwekeza katika sekta ya Filamu
![](http://2.bp.blogspot.com/-TY0YQRO00pA/VFH8r2VONQI/AAAAAAACuDM/MUnrvTusFGw/s1600/BD1b.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TNJ__dfKkd8/VFH8nFxlMcI/AAAAAAACuDE/KcDfQbTA5KA/s1600/BD2.jpg)
10 years ago
MichuziBenki ya Exim yawaasa wateja wake kutumia fursa zilizopo katika sekta ya gesi nchini
Wito huo ulitolewa na Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa benki hiyo, Bw. Dinesh Arora wakati wa hafla fupi iliyoandaliwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam hivi karibuni...
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-B-KPQcpsgUQ/U6r4WLsnz2I/AAAAAAACkS4/mQXJtFSF9sU/s1600/13.jpg?width=650)
NHC YAENDESHA JUKWAA LA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA NYUMBA KWA WADAU WAKE
9 years ago
Mtanzania22 Sep
Filamu na tamthilia za Kichina zazinduliwa Dar
NA MWALI IBRAHIM
KAMPUNI ya Star Times Tanzania kwa kushirikiana na Mamlaka ya vyombo vya habari, uchapishaji, redio, filamu na runinga ya Beijing wamezindua maonyesho ya filamu na tamthilia za kusisimua za Kichina barani Afrika.
Kaimu mkurugenzi wa mamlaka hiyo, Yang Peili, akizindua maonyesho hayo jana katika ofisi za kampuni ya Star Times jijini Dar es Salaam, alisema Tanzania itabaki kuwa mshirika wake mkubwa na wataendelea kuimarisha uhusiano baina ya nchi hizi mbili.
“Kwa makadirio,...