Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KELVIN NYOMARI: Watanzania wanapenda starehe kuliko kazi

KUTOKANA na taifa kukabiliwa na changamoto ya ajira, vijana wengi hujiingiza kwenye biashara ya mihadarati. Vijana wamekuwa wakitumiwa na baadhi ya vigogo kusafirisha dawa hizo za kulevya nje ya nchi,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WENGI WANAPENDA HARUSI KULIKO NDOA

NI Jumanne nyingine njema na inayompendeza Mwenyezi Mungu katika uumbaji wake. Mimi niko mzima wa afya njema ndiyo maana namwagika tena kwenye safu hii. Mada yetu wiki iliyopita ilisema; Mwanamke wa kumuoa hana sifa ya kuwa mke. Wengi walinipigia simu wakipongeza, wengine wakinikandia kwamba si kweli. Akisha kuwa mpenzi anaweza kuwa mke na akaendelea kuwa mpenzi. Nilichobaini, kama mtu alisoma kwa umakini alinielewa vizuri, lakini...

 

9 years ago

Bongo5

Soggy Doggy adai mashabiki wa sasa wanapenda ‘kutazama kuliko kusikiliza’

Rapper mkongwe na mtangazaji wa redio, Soggy Doggy amesema wimbo wake ‘Nafunga Zipu’ ulishindwa kufanya vizuri kwakuwa ulikosa video. Soggy ameiambia Bongo5 kuwa mashabiki wa sasa wanapenda kuangalia kuliko kusikiliza. “Kwetu Studio ndio walikuwa na kazi yetu lakini baada ya kupata matatizo ya kuibiwa vifaa vyao vya studio, wakawa wameibiwa na material ya kazi yetu, […]

 

11 years ago

Mwananchi

‘Napenda kusaidia jamii kuliko starehe’

>Mwanamuziki maarufu nchini, Naseeb Abdul, ‘Diamond’, amesema anapenda kusaidia jamii kuliko kustarehe.

 

10 years ago

Habarileo

Utafiti: Watanzania wanapenda kubaki EAC

WANANCHI wanane kati ya 10 wanafikiri kuwa Tanzania inapaswa kubakia ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Aidha, wananchi tisa kati ya 10 wanakubali uwepo ushirikiano mkubwa zaidi na Kenya na Uganda.

 

9 years ago

Bongo Movies

Rose Ndauka: Nilithamini Mapenzi Kuliko Kazi

KAMA kawaida yetu mpenzi msomaji wa kolamu hii tumekuwa tukikukutanisha na mastaa mbalimbali na kuweza kuwauliza maswali yanayohusu kazi zao na maisha yao ya kawaida nje ya sanaa.

 

Wiki hii tunaye staa wa filamu za Kibongo, Rose Ndauka ambaye amefunguka mambo mbalimbali aliyoulizwa na wasomaji katika kolamu hii na kuyatolea ufafanuzi.

 

1.Msomaji: Nimekuwa nikisikia wasanii wengi wakilalamika kuwa, soko la filamu hapa Bongo bado halilipi wewe unalizungumziaje hilo na umenufaika vipi...

 

10 years ago

Bongo5

Fella asifia kazi mpya zijazo za Yamoto Band, ‘zikitoka utasema ni kali kuliko ulizowahi kuzisikia’

Mkurugenzi wa Yamoto Band amefunguka kwa kusema kuwa Yamoto Band hawabahatishi kwenye kazi zao, huku adai kuwa kazi mpya zinazokuja ndo zitadhihirisha uwezo mkubwa wa kuimba na kutunga. Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni Fella alisema kuna nyimbo ambzo zikitoka watanzania watahisi Yamoto Band ndo inaanza upya. “Tuna nyimbo nyingi ambazo zipo tayari na zikitoka leo […]

 

11 years ago

GPL

Kelvin Yondani atoweka Taifa Stars

Beki wa Yanga, Kelvin Yondani. Na Hans Mloli
WACHEZAJI wawili wa timu ya taifa, Taifa Stars inayojiandaa na mchezo dhidi ya Burundi, Kelvin Yondani na Juma Luizio hawapo kambini huku sababu mbalimbali zikitajwa kuwaondoa kikosini humo.
Stars inatarajiwa kuvaana na Burundi, leo Jumamosi katika mchezo wa kirafiki utakaopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar. Imeelezwa kuwa wachezaji hao hawakuwepo na hawakuwahi kujiunga na...

 

9 years ago

TheCitizen

Kelvin Friday joins St George of Ethiopia

Azam Football club striker, Kelvin Friday has finally managed to get his first international break after signing for Ethiopia first runners, St George.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waziri:Waganda wanapenda ngono mchana

Matamshi ya waziri wa maadili nchini Uganda kuwa Waganda wengi hujihusisha na vitendo vya kufanya mapenzi hasa wakati wa kipindi cha mlo wa mchana yamezua gumzo katika vyombo vya habari nchini humo na katika mitandao ya kijamii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani