Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kelvin Friday joins St George of Ethiopia

Azam Football club striker, Kelvin Friday has finally managed to get his first international break after signing for Ethiopia first runners, St George.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBC

Ethiopia joins Somalia AU force

More than 4,000 Ethiopian troops are formally absorbed into the African Union force in Somalia, where it is fighting al-Qaeda-aligned militants.

 

11 years ago

GPL

Kelvin Yondani atoweka Taifa Stars

Beki wa Yanga, Kelvin Yondani. Na Hans Mloli
WACHEZAJI wawili wa timu ya taifa, Taifa Stars inayojiandaa na mchezo dhidi ya Burundi, Kelvin Yondani na Juma Luizio hawapo kambini huku sababu mbalimbali zikitajwa kuwaondoa kikosini humo.
Stars inatarajiwa kuvaana na Burundi, leo Jumamosi katika mchezo wa kirafiki utakaopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar. Imeelezwa kuwa wachezaji hao hawakuwepo na hawakuwahi kujiunga na...

 

11 years ago

Habarileo

Rais Kikwete amuaga Meja Jenerali Kelvin Msemwa

Rais Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Kamishna wa Utafiti na Maendeleo ya Jeshi katika Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Meja Jenerali Kevin Gerald Msemwa wakati wa hafla ya kuaga mwili wake iliyofanyika katika uwanja wa makao makuu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi Upanga jijini Dar es Salaam jana. (Picha na Ikulu).MWILI wa aliyekuwa Meja Jenerali Kelvin Msemwa (59) umeagwa jana Dar es Salaam kwa taratibu za kijeshi ambapo Rais Jakaya Kikwete aliongoza waombolezaji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

KELVIN NYOMARI: Watanzania wanapenda starehe kuliko kazi

KUTOKANA na taifa kukabiliwa na changamoto ya ajira, vijana wengi hujiingiza kwenye biashara ya mihadarati. Vijana wamekuwa wakitumiwa na baadhi ya vigogo kusafirisha dawa hizo za kulevya nje ya nchi,...

 

11 years ago

Bongo5

Video ya ‘Mfalme’ ya Mwana FA imeongozwa na Kelvin Bosco, aliyeongoza ‘Asante’ ya AY

Msanii wa Hip Hop, Hamis Mwinjuma aka Mwana FA anatarajia kuachia video ya wimbo wake ‘Mfalme’ aliomshirikisha G-Nako baada ya kushoot video hiyo nchini Kenya. Akiongea na Bongo5, jana, G-Nako, alisema kuwa Mwana FA alikuwa na idea ya video hali ambayo ilisaidia video hiyo kufanyika kwa muda mfupi. “Director ambaye tumefanya naye video ni yule […]

 

11 years ago

Michuzi

heshima za mwisho kwa marehemu Meja Jenerali Kelvin Gabriel Msemwa

Hafla ya kuaga mwili wa aliyekuwa Kamishna wa Jeshi wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Marehemu Meja Jenerali Kelvin Msemwa iliyofanyika uwanja wa makao makuu ya Jeshi, Upanga, Dar es salaam, April 6, 2014. Marehemu alifariki dunia April 3, 2014 katika hospitali ya Jeshi ya Lugalo. Mwili wake unasafirishwa kuelekea Songea kwa mazishi Jumatatu April 7, 2014

 

10 years ago

Michuzi

RAIS JAKAYA KIKWETE ALIPOONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MBUNGE WA GEITA MAREHEMU DONALD KELVIN MAX VIWANJA VYA KARIMJEE, DAR ES SALAAM

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisaini katika kitabu cha maombolezo ya msiba wa aliyekuwa Mbunge wa Geita, kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, marehemu Donald Kelvin Max, wakati wa shughuli za kuaga mwili zilizofanyika  Jumamosi  kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es SalaamMama Salma  Kikwete akisaini katika kitabu cha maombolezo ya msiba wa aliyekuwa Mbunge wa Geita, kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, marehemu Donald Kelvin Max, wakati wa shughuli za kuaga mwili zilizofanyika  Jumamosi  kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani