heshima za mwisho kwa marehemu Meja Jenerali Kelvin Gabriel Msemwa
Hafla ya kuaga mwili wa aliyekuwa Kamishna wa Jeshi wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Marehemu Meja Jenerali Kelvin Msemwa iliyofanyika uwanja wa makao makuu ya Jeshi, Upanga, Dar es salaam, April 6, 2014. Marehemu alifariki dunia April 3, 2014 katika hospitali ya Jeshi ya Lugalo. Mwili wake unasafirishwa kuelekea Songea kwa mazishi Jumatatu April 7, 2014
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo07 Apr
Rais Kikwete amuaga Meja Jenerali Kelvin Msemwa
MWILI wa aliyekuwa Meja Jenerali Kelvin Msemwa (59) umeagwa jana Dar es Salaam kwa taratibu za kijeshi ambapo Rais Jakaya Kikwete aliongoza waombolezaji.
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Meja Jenerali Msemwa kuzikwa leo
MWILI wa aliyekuwa Meja Jenerali wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Kevin Msemwa, umewasili mjini Songea na kupokewa na viongozi mbalimbali wa serikali akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tdKD-4P-V10/VUDfq6rX43I/AAAAAAAHUBQ/QKu0pA_ufmU/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
Rais Kikwete atoa heshima za Mwisho kwa Brigedia Jenerali Hashim Mbita
![](http://2.bp.blogspot.com/-tdKD-4P-V10/VUDfq6rX43I/AAAAAAAHUBQ/QKu0pA_ufmU/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NzuEqHKXgZc/VUDftii9sCI/AAAAAAAHUBY/fq5FPSRFWNk/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oxr0ohxBulo/VDaKr8g6RbI/AAAAAAAGo0c/DckHUUPM3MI/s72-c/a4.jpg)
Taarifa ya Kuaga mwili wa Marehemu Meja Jenerali Muhidini Mfaume Kimario
![](http://3.bp.blogspot.com/-oxr0ohxBulo/VDaKr8g6RbI/AAAAAAAGo0c/DckHUUPM3MI/s1600/a4.jpg)
Mwili wa marehemu utaagwa kesho tarehe 10 Oktoba, 2014 saa 4:00 asubuhi katika viwanja vya hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo na baadaye mwili utasafirishwa kwenda kwao Moshi, Mkoa wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QvwTzNsr0EU/VETsex_LK0I/AAAAAAAGsCo/Ax8VLRnTZK8/s72-c/New%2BPicture.png)
TAARIFA YA KUAGA MWILI WA MAREHEMU MEJA JENERALI (MSTAAFU) ROLAND MAKUNDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-QvwTzNsr0EU/VETsex_LK0I/AAAAAAAGsCo/Ax8VLRnTZK8/s1600/New%2BPicture.png)
JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIAKURUGENZI YA HABARI NA UHUSIANO Simu ya Upepo : “N G O M E” Makao Makuu ya Jeshi,Simu ya Mdomo : DSM 22150463 Sanduku la Posta 9203,Telex : 41051 DAR ES SALAAM, 20, October, 2014Tele Fax : 2153426Barua pepe : ulinzimagazine@yahoo.co.ukTovuti : www.tpdf.mil.tz Taarifa kwa Vyombo vya Habari Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania linapenda...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/y39xTR5a6g6fKLFdA3-yW3aTO-eJeK8*purfMAerzMHy8NL6I3HMDUlXI44-p7UstJL9JoQ6IfqxtuTBdcx3gAGDpezJ16p5/0L7C3019.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA MAREHEMU MEJA JENERALI AIDAN ISIDORE MFUSE
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Ia3yN9zwyFg/VFUb7GwkjfI/AAAAAAADMCo/CRpjkk4w-_k/s72-c/0L7C3019.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA MAREHEMU MEJA JENERALI AIDAN ISIDORE MFUSE LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ia3yN9zwyFg/VFUb7GwkjfI/AAAAAAADMCo/CRpjkk4w-_k/s1600/0L7C3019.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rPDpGKwWRcg/VFUb7z9z8AI/AAAAAAADMCw/dedQ-QOkElE/s1600/0L7C3060.jpg)
11 years ago
Michuzi12 May
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UZT9WLJf9xE/UxyW_Mmf-ZI/AAAAAAAFSaw/yheGNpxsmd0/s72-c/TA1A6413.jpg)
MAPOKEZI YA MWILI WA MAREHEMU MEJA JENERALI BAKARI SHAABANI KATIKA UWANJA WA NDEGE WA ABEID AMANI KARUME,ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-UZT9WLJf9xE/UxyW_Mmf-ZI/AAAAAAAFSaw/yheGNpxsmd0/s1600/TA1A6413.jpg)