Meja Jenerali Msemwa kuzikwa leo
MWILI wa aliyekuwa Meja Jenerali wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Kevin Msemwa, umewasili mjini Songea na kupokewa na viongozi mbalimbali wa serikali akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo07 Apr
Rais Kikwete amuaga Meja Jenerali Kelvin Msemwa
MWILI wa aliyekuwa Meja Jenerali Kelvin Msemwa (59) umeagwa jana Dar es Salaam kwa taratibu za kijeshi ambapo Rais Jakaya Kikwete aliongoza waombolezaji.
11 years ago
Michuzi07 Apr
heshima za mwisho kwa marehemu Meja Jenerali Kelvin Gabriel Msemwa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-99HEHm0ZvM0/XtevPQgzmTI/AAAAAAALshk/5ELLomRu-SI5EU2yx-2uhE1OqLszJjSBwCLcBGAsYHQ/s72-c/fa1a6d32-476f-4aa3-931d-bc28043d47dd.jpg)
CGP SULEIMAN MZEE APANDISHWA CHEO NA RAIS MAGUFULI TOKA BREGEDIA JENERALI KUWA MEJA JENERALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-99HEHm0ZvM0/XtevPQgzmTI/AAAAAAALshk/5ELLomRu-SI5EU2yx-2uhE1OqLszJjSBwCLcBGAsYHQ/s640/fa1a6d32-476f-4aa3-931d-bc28043d47dd.jpg)
Meja Jenerali Suleiman Mzee ambaye pia ni Kamishna Jenerali wa Magereza, akizungumza na Maafisa na askari wa Makao Makuu ya Jeshi la Magereza(hawapo pichani) mapema leo Juni 3, 2020 katika hafla fupi ya kumpongeza iliyofanyika Ofisi za Makao Makuu ya Magereza leo Juni 3, 2020, jijini Dodoma. Meja Jenerali Mzee amepandishwa cheo hicho na Rais na...
10 years ago
Habarileo07 Oct
Brigedia Jenerali Mtezo kuzikwa leo
BRIGEDIA Jenerali mstaafu, Hashimu Said Mtezo (69) wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ambaye alifariki mwishoni mwa wiki, anatarajiwa kuzikwa leo Mbezi Louis jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Mtanzania29 Apr
Brigedia Jenerali Mbita kuzikwa leo
Adam Mkwepu na Easther Mnyika, Dar es Salaam
ALIYEKUWA Katibu Mtendaji wa Kamati ya Ukombozi ya uliokuwa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU), Brigedia Jenerali mstaafu Hashim Mbita (82), anatarajiwa kuzikwa leo jijini Dar es Salaam.
Mbita aliyefariki dunia Mei 26, mwaka huu katika Hospitali ya Jeshi Lugalo, anatarajiwa kuzikwa leo alasiri katika makaburi ya Kisutu.
Kifo cha mpigania uhuru huyo wa nchi za Afrika kimewagusa viongozi mbalimbali wa vyama na Serikali ambapo Katibu Mkuu wa Chama...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UQ3VlBF5bh4/UxyWjLz7i8I/AAAAAAAFSZY/VyZ95s-pHTo/s72-c/unnamed+(25).jpg)
mwili wa meja jenerali mstaafu bakari shaabani wawasili zanzibar tayari kwa maziko leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-UQ3VlBF5bh4/UxyWjLz7i8I/AAAAAAAFSZY/VyZ95s-pHTo/s1600/unnamed+(25).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZXEGnOZaZdM/UxyWnBiBjjI/AAAAAAAFSZg/yblD98CGtLA/s1600/unnamed+(18).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VGkW4H3jUBA/UxyWnSto6wI/AAAAAAAFSZo/PMQMBATyZxE/s1600/unnamed+(19).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Ia3yN9zwyFg/VFUb7GwkjfI/AAAAAAADMCo/CRpjkk4w-_k/s72-c/0L7C3019.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA MAREHEMU MEJA JENERALI AIDAN ISIDORE MFUSE LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ia3yN9zwyFg/VFUb7GwkjfI/AAAAAAADMCo/CRpjkk4w-_k/s1600/0L7C3019.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rPDpGKwWRcg/VFUb7z9z8AI/AAAAAAADMCw/dedQ-QOkElE/s1600/0L7C3060.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
JK aongoza mazishi ya Meja Jenerali Kimario
RAIS Jakaya Kikwete ameongoza maelfu ya wakazi wa mji wa Moshi na mikoa ya jirani katika mazishi ya Meja Jenerali mstaafu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Muhidin Mfaume Kimario...