Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WENGI WANAPENDA HARUSI KULIKO NDOA

NI Jumanne nyingine njema na inayompendeza Mwenyezi Mungu katika uumbaji wake. Mimi niko mzima wa afya njema ndiyo maana namwagika tena kwenye safu hii. Mada yetu wiki iliyopita ilisema; Mwanamke wa kumuoa hana sifa ya kuwa mke. Wengi walinipigia simu wakipongeza, wengine wakinikandia kwamba si kweli. Akisha kuwa mpenzi anaweza kuwa mke na akaendelea kuwa mpenzi. Nilichobaini, kama mtu alisoma kwa umakini alinielewa vizuri, lakini...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Vijimambo

NDOA! WANAOTAKA KUTOKA NI WENGI KULIKO WANAOINGIA, SI KWELI!


NDOA ni mpango wa Muumba ulio wazi kabisa kwamba, wakati wa uumbaji wa Adam na Eva, ndiyo ndoa ya kwanza ilifungwa kwenye Bustani ya Eden.

Ndoa hiyo ilifungwa pale Mungu aliposema; ‘si vizuri kumwacha peke yake mtu huyu (Adam) tumfanyie msaidizi (Eva)’. Baada ya Mungu kumuumba Eva, akawaweka pamoja na kuwa mke na mume! MPANGO WA NDOA

Kwa hiyo kumbe, mpango wa ndoa kwa binadamu ni matakwa ya Mungu si ubunifu wa binadamu kama wengi wanavyofikiri.

Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na msemo kwamba,...

 

11 years ago

GPL

NDOA! WANAOTAKA KUTOKA NI WENGI KULIKO WANAOINGIA, SI KWELI!

NDOA ni mpango wa Muumba ulio wazi kabisa kwamba,  wakati wa uumbaji wa Adam na Eva, ndiyo ndoa ya kwanza ilifungwa kwenye Bustani ya Eden. Ndoa hiyo ilifungwa pale Mungu aliposema; ‘si vizuri kumwacha peke yake mtu huyu (Adam) tumfanyie msaidizi (Eva)’. Baada ya Mungu kumuumba Eva, akawaweka pamoja na kuwa mke na mume! MPANGO WA NDOA Kwa hiyo kumbe, mpango wa ndoa kwa binadamu ni matakwa ya Mungu si ubunifu wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

KELVIN NYOMARI: Watanzania wanapenda starehe kuliko kazi

KUTOKANA na taifa kukabiliwa na changamoto ya ajira, vijana wengi hujiingiza kwenye biashara ya mihadarati. Vijana wamekuwa wakitumiwa na baadhi ya vigogo kusafirisha dawa hizo za kulevya nje ya nchi,...

 

10 years ago

Bongo5

Soggy Doggy adai mashabiki wa sasa wanapenda ‘kutazama kuliko kusikiliza’

Rapper mkongwe na mtangazaji wa redio, Soggy Doggy amesema wimbo wake ‘Nafunga Zipu’ ulishindwa kufanya vizuri kwakuwa ulikosa video. Soggy ameiambia Bongo5 kuwa mashabiki wa sasa wanapenda kuangalia kuliko kusikiliza. “Kwetu Studio ndio walikuwa na kazi yetu lakini baada ya kupata matatizo ya kuibiwa vifaa vyao vya studio, wakawa wameibiwa na material ya kazi yetu, […]

 

10 years ago

GPL

BI HARUSI AFUNGA NDOA, ATOROKA

SHANI RAMADHANI AIBU ya mwaka! Mwanadada aliyefahamika kwa jina la Tatu Ally  (26), mkazi wa Kongowe, Mbagala, Dar amejikuta akiifedhehesha familia yake kufuatia kutoroka kwa mumewe siku moja tu baada ta kufunga ndoa, Amani lina picha kamili. Mwanadada Tatu Ally anayedaiwa kutoroka baada ya kufunga ndoa. Kwa mujibu wa chanzo, ndoa hiyo ilifungwa Aprili 4, mwaka huu Mbagala jijini Dar kisha bi harusi huyo kwenda kwa mumewe...

 

10 years ago

GPL

BI. HARUSI ATOWEKA SIKU 4 KABLA YA NDOA

Deogratius mongela
MTU mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Juma Mwinyivue maarufu kama ‘Tabambwa’ (28) mkazi wa Zogowale, Visiga mkoani Pwani, alijikuta katika wakati mgumu baada ya mwanamke aliyetaraji kumuoa, aliyetajwa kwa jina moja la Manka (20) kumzimia simu na kuingia mitini siku chache kabla ya ndoa yao, tukio lililotokea Mei 23, mwaka huu. Juma Mwinyivue maarufu kama ‘Tabambwa' anayedaiwa kutorokwa na...

 

11 years ago

Bongo5

Jaguar aweka wazi ukweli wa picha za ‘harusi’ yake zilizowashtua wengi

Wiki iliyopita mwimbaji wa ‘Kioo’, Jaguar kutoka Kenya alitawala vichwa vingi vya habari nchini Kenya baada ya baadhi ya picha zake zikimuonesha yuko kanisani akitimiza moja ya hatua muhimu katika maisha ya mwanadamu (ndoa). Baadhi ya vichwa vya habari hiyo vilisomeka ‘Jaguar holds secret wedding in South Africa?’, ‘Jaguar weds in South Africa’. Hata hivyo […]

 

11 years ago

Bongo5

Kwa Uingereza Alikiba ana mashabiki wengi kuliko Diamond — Promota

Promota wa muziki na filamu anayefanyia kazi nchini Uingereza, Hadija Seif maarufu kama Dida Fashion amesema wapenzi wa muziki nchini Uingereza wanampenda zaidi Alikiba kuliko Diamond. Dida alisema hayo kwenye mahojiano na Bongo5 hivi karibuni. “Sio sasa hivi tu, tangu zamani to be honest kwa UK Alikiba yupo juu zaidi,” alisema. “Sijui kwanini lakini kwa […]

 

10 years ago

GPL

JAMANI! NDOA ISISHIKILIWE KAMA GAUNI LA HARUSI

NIAlhamisi tena ambayo huwa nakutana na nyie wasomaji wangu ninaowapenda sana.Leo nataka kuzungumza na wanandoa. Ndiyo maana nimeanza kwa kusema hapo juu kuwa, ndoa isishikiliwe kama gauni la harusi. Katika ndoa kuna raha na karaha au shida. Kumbuka kuwa wewe mwanandoa uliapa utaishi na mwenzako katika maisha yote. Hicho kiapo ulikitoa kanisani au msikitini tena kwa kuulizwa mara tatu. Ndoa ni daraja. Kama zima unatakiwa kulivuka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani