Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Napenda kusaidia jamii kuliko starehe’

>Mwanamuziki maarufu nchini, Naseeb Abdul, ‘Diamond’, amesema anapenda kusaidia jamii kuliko kustarehe.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

KELVIN NYOMARI: Watanzania wanapenda starehe kuliko kazi

KUTOKANA na taifa kukabiliwa na changamoto ya ajira, vijana wengi hujiingiza kwenye biashara ya mihadarati. Vijana wamekuwa wakitumiwa na baadhi ya vigogo kusafirisha dawa hizo za kulevya nje ya nchi,...

 

10 years ago

Michuzi

FISA USTAWI WA JAMII NA MAENDELEO YA JAMII AKITEMBELEA MRADI WA SHIRIKA LA KUSAIDIA WATOTO WA MITAANI JIJINI ARUSHA

 Afisa ustawi wa jamii na Maendeleo ya jamii jijini Arusha  Mwantumu Dossi akitembelea mradi wa shamba la mahindi unaoendeshwa na taasisi ya Gola Foundation jana katika kituo cha Kufikia watoto wa mitaani,katikati ni Mkurugenzi wa shirika hilo  Elisha Maghembe.Picha na Mahmoud Ahmad
.

 

10 years ago

Raia Tanzania

TBL yajivunia kusaidia jamii

KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), ni miongoni mwa zinazojikita katika kusaidia jamii kuondokana na matatizo mbalimbali, yakiwemo ya maji.

Kila mwaka kuna fedha maalumu hutengwa kwa ajili ya kukamilisha miradi ya maendeleo katika sekta za maji, afya, elimu, kilimo na kuwawezesha wajasiriamali chini ya mpango wa ‘Wezesha na Safari Lager.’

Mpango mwingine wa kampuni hii wa ‘Bila maji hakuna uhai’ umesaidia kuchimbwa visima vya majisafi na salama katika maeneo mengi yaliyokuwa na shida ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jamii yahimizwa kusaidia yatima

MKURUGENZI wa Masoko na Mauzo wa Hoteli ya Serena, Seraphin Lusala, ameiomba jamii iongeze juhudi katika kusaidia watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu. Lusala alitoa kauli hiyo jijini Dar...

 

9 years ago

Dewji Blog

Insignia kusaidia jamii katika elimu

INSIGNIA_LOGO-page1

Kitendo cha kampuni au taasisi kuisaidia jamii kinageuka kuwa cha kisheria katika baadhi ya nchi na kwa nchi mbalimbali bado ni jambo la uamuzi. Watafiti wamegundua, kampuni tatu kati ya kila kampuni nne tayari wanaisaidia jamii au wana mpango wa kuisaidia jamii, miaka michache ijayo. Asilimia 58 ya makampuni yamethibitika kuwa na bajeti kila mwaka kwa ajili ya uendelezaji wa shughuli hizi.

Tafiti pia zimeonesha kuwa kwa kiasi kikubwa; Zaidi ya asilimia 80 ya kampuni zinachagua elimu kama...

 

11 years ago

GPL

GLOBAL YAPONGEZWA KWA KUSAIDIA JAMII

Zimepita wiki tatu na siku kadhaa tangu ichapishwe habari inayomuhusu mtoto Aloyce Mhagama, mlemavu wa viungo katika Gazeti la Risasi Jumamosi Toleo namba 1087, Aprili 12 mwaka huu lenye kichwa cha habari kinachosema Mtoto: LICHA YA ULEMAVU WANGU HUU, IPO SIKU TU NITAKUWA RAIS, Kampuni ya Global Publishers inayochapisha magazeti pendwa imepongezwa kwa kusaidia jamii. Mtoto Neema Joseph aliyekuwa anasumbuliwa na jicho. ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtaka ataka jamii kusaidia wenye uhitaji

MKUU wa Wilaya (DC) ya Mvomero, Anthony Mtaka, ameitaka jamii kubadilika na kuwasaidia watu wenye kuhitaji misaada mbalimbali badala ya kujinufaisha wenyewe kwa mambo yasiyo na tija. Mtaka alitoa kauli...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jamii yatakiwa kutenga fedha kusaidia walemavu

WAKAZI wa Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha na maeneo jirani wameombwa kutenga sh 1,500 katika matumizi yao ya siku kwa ajili ya kuchangia gharama za uendeshaji wa kituo cha kulelea...

 

11 years ago

GPL

BENKI YA KCB YAJIKITA ZAIDI KUSAIDIA JAMII

Mganga mfawidhi wa hospitali ya Rufaa ya mkoa, Mawenzi, Dkt. Lwezaula Fredrick(katikati) akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhiwa misaada ya vifaa vya hospitali vyenye thamani ya shilingi milioni 15 kutoka kwa benki ya KCB Tanzania mjini Moshi, mkoa wa Kilimanjaro. Wakisikiliza kwa makini ni meneja wa tawi la Moshi benki ya KCB Tanzania, Oforo Erasmo(kushoto), Kaimu katibu tawala mkoa wa Kilimanjaro, Mhandisi Alfred...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani