‘Napenda kusaidia jamii kuliko starehe’
>Mwanamuziki maarufu nchini, Naseeb Abdul, ‘Diamond’, amesema anapenda kusaidia jamii kuliko kustarehe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
KELVIN NYOMARI: Watanzania wanapenda starehe kuliko kazi
KUTOKANA na taifa kukabiliwa na changamoto ya ajira, vijana wengi hujiingiza kwenye biashara ya mihadarati. Vijana wamekuwa wakitumiwa na baadhi ya vigogo kusafirisha dawa hizo za kulevya nje ya nchi,...
10 years ago
MichuziFISA USTAWI WA JAMII NA MAENDELEO YA JAMII AKITEMBELEA MRADI WA SHIRIKA LA KUSAIDIA WATOTO WA MITAANI JIJINI ARUSHA
.
10 years ago
Raia Tanzania15 Jul
TBL yajivunia kusaidia jamii
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), ni miongoni mwa zinazojikita katika kusaidia jamii kuondokana na matatizo mbalimbali, yakiwemo ya maji.
Kila mwaka kuna fedha maalumu hutengwa kwa ajili ya kukamilisha miradi ya maendeleo katika sekta za maji, afya, elimu, kilimo na kuwawezesha wajasiriamali chini ya mpango wa ‘Wezesha na Safari Lager.’
Mpango mwingine wa kampuni hii wa ‘Bila maji hakuna uhai’ umesaidia kuchimbwa visima vya majisafi na salama katika maeneo mengi yaliyokuwa na shida ya...
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Jamii yahimizwa kusaidia yatima
MKURUGENZI wa Masoko na Mauzo wa Hoteli ya Serena, Seraphin Lusala, ameiomba jamii iongeze juhudi katika kusaidia watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu. Lusala alitoa kauli hiyo jijini Dar...
9 years ago
Dewji Blog16 Sep
Insignia kusaidia jamii katika elimu
Kitendo cha kampuni au taasisi kuisaidia jamii kinageuka kuwa cha kisheria katika baadhi ya nchi na kwa nchi mbalimbali bado ni jambo la uamuzi. Watafiti wamegundua, kampuni tatu kati ya kila kampuni nne tayari wanaisaidia jamii au wana mpango wa kuisaidia jamii, miaka michache ijayo. Asilimia 58 ya makampuni yamethibitika kuwa na bajeti kila mwaka kwa ajili ya uendelezaji wa shughuli hizi.
Tafiti pia zimeonesha kuwa kwa kiasi kikubwa; Zaidi ya asilimia 80 ya kampuni zinachagua elimu kama...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3c7pQYFZ5DWKWcgsEauxCMtYIvIUiylHzgMu-9VXbBZbfIRviDk2xxiNTfiBLrPScDsKgzeDavEStQaRZwt1Swa/uwaznet.jpg?width=650)
GLOBAL YAPONGEZWA KWA KUSAIDIA JAMII
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Mtaka ataka jamii kusaidia wenye uhitaji
MKUU wa Wilaya (DC) ya Mvomero, Anthony Mtaka, ameitaka jamii kubadilika na kuwasaidia watu wenye kuhitaji misaada mbalimbali badala ya kujinufaisha wenyewe kwa mambo yasiyo na tija. Mtaka alitoa kauli...
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Jamii yatakiwa kutenga fedha kusaidia walemavu
WAKAZI wa Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha na maeneo jirani wameombwa kutenga sh 1,500 katika matumizi yao ya siku kwa ajili ya kuchangia gharama za uendeshaji wa kituo cha kulelea...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hlBnt738bkyfCv3zf7WqDOBvRiOdwdGzeg2u2lAB22L8MomAsEH2yYNS8Il69oWoh3eOqrQiax8yvPRdHqOflY2e9yL299pE/KCB1.jpg?width=650)
BENKI YA KCB YAJIKITA ZAIDI KUSAIDIA JAMII