TBL yajivunia kusaidia jamii
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), ni miongoni mwa zinazojikita katika kusaidia jamii kuondokana na matatizo mbalimbali, yakiwemo ya maji.
Kila mwaka kuna fedha maalumu hutengwa kwa ajili ya kukamilisha miradi ya maendeleo katika sekta za maji, afya, elimu, kilimo na kuwawezesha wajasiriamali chini ya mpango wa ‘Wezesha na Safari Lager.’
Mpango mwingine wa kampuni hii wa ‘Bila maji hakuna uhai’ umesaidia kuchimbwa visima vya majisafi na salama katika maeneo mengi yaliyokuwa na shida ya...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
TBL yajivunia msisimko mechi Nani Mtani Jembe
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL) iliyoratibu kampeni ya Nani Mtani Jembe iliyoanza Oktoba 6 na kuhitimishwa juzi kwa mechi ya Simba na Yanga kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam...
10 years ago
MichuziFISA USTAWI WA JAMII NA MAENDELEO YA JAMII AKITEMBELEA MRADI WA SHIRIKA LA KUSAIDIA WATOTO WA MITAANI JIJINI ARUSHA
.
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
TBL yatoa sh. mil 18 za kusaidia ukarabati wa miundombinu iliyoharibika soko la Machinga Ilala, Dar
Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (kulia) akimkabidhi hundi yenye thamani ya sh. mil. 18.9, kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Gotam General Traders, Winner Taluka (wa pili kushoto) kwa ajili ya kusaidia ukarabati wa miundombinu ya maji iliyoharibika baada ya Soko la Mchikichini Ilala kuteketea kwa moto. Wanaoshuhudia hafla hiyo iliyofanyika Dar es Salaam jana, kutoka kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa soko hilo, Rehema Matali, Mjumbe wa Kamati ya...
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Jamii yahimizwa kusaidia yatima
MKURUGENZI wa Masoko na Mauzo wa Hoteli ya Serena, Seraphin Lusala, ameiomba jamii iongeze juhudi katika kusaidia watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu. Lusala alitoa kauli hiyo jijini Dar...
11 years ago
Mwananchi21 Feb
‘Napenda kusaidia jamii kuliko starehe’
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3c7pQYFZ5DWKWcgsEauxCMtYIvIUiylHzgMu-9VXbBZbfIRviDk2xxiNTfiBLrPScDsKgzeDavEStQaRZwt1Swa/uwaznet.jpg?width=650)
GLOBAL YAPONGEZWA KWA KUSAIDIA JAMII
9 years ago
Dewji Blog16 Sep
Insignia kusaidia jamii katika elimu
Kitendo cha kampuni au taasisi kuisaidia jamii kinageuka kuwa cha kisheria katika baadhi ya nchi na kwa nchi mbalimbali bado ni jambo la uamuzi. Watafiti wamegundua, kampuni tatu kati ya kila kampuni nne tayari wanaisaidia jamii au wana mpango wa kuisaidia jamii, miaka michache ijayo. Asilimia 58 ya makampuni yamethibitika kuwa na bajeti kila mwaka kwa ajili ya uendelezaji wa shughuli hizi.
Tafiti pia zimeonesha kuwa kwa kiasi kikubwa; Zaidi ya asilimia 80 ya kampuni zinachagua elimu kama...
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Jamii yatakiwa kutenga fedha kusaidia walemavu
WAKAZI wa Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha na maeneo jirani wameombwa kutenga sh 1,500 katika matumizi yao ya siku kwa ajili ya kuchangia gharama za uendeshaji wa kituo cha kulelea...
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
PBZ: Tutaendelea kushirikiana na serikali kusaidia jamii
MAISHA tunayoishi yanakabiliwa na changamoto mbalimbali ambazo baadhi yake zimeweza kutatuliwa, lakini zingine zinashindakana hadi pale jamii inapopata msaada kutoka nje. Hali hii imekuwa ikijitokeza mara kwa mara kutokana na...