PBZ: Tutaendelea kushirikiana na serikali kusaidia jamii
MAISHA tunayoishi yanakabiliwa na changamoto mbalimbali ambazo baadhi yake zimeweza kutatuliwa, lakini zingine zinashindakana hadi pale jamii inapopata msaada kutoka nje. Hali hii imekuwa ikijitokeza mara kwa mara kutokana na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziTUTAENDELEA KUSHIRIKIANA NA WAWEKEZAJI-MAJALIWA
Amesema katika kuhakikisha inalinda viwanda vya ndani vya kuzalisha saruji Serikali imeamua kuzuia uingizwaji wa saruji kutoka nje ya nchi.
Waziri Mkuu aliyasema hayo leo(Jumanne, Machi 3, 2020) wakati akizungumza na watumishi wa kiwanda cha saruji cha Simba alipotembelea kiwanda hicho akiwa katika ziara ya kikazi mkoani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fWDLRbF_W5I/XklvU1P9-iI/AAAAAAALdmU/H34uhxdFOYoksrLlqhv24IuOFmefQ3WQgCLcBGAsYHQ/s72-c/da5aa1a1-9c7c-4e93-b9b7-284fa07da6c3.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA-TUTAENDELEA KUSHIRIKIANA NA MADHEHEBU YOTE NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-fWDLRbF_W5I/XklvU1P9-iI/AAAAAAALdmU/H34uhxdFOYoksrLlqhv24IuOFmefQ3WQgCLcBGAsYHQ/s640/da5aa1a1-9c7c-4e93-b9b7-284fa07da6c3.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Abubakar Zuberi Bin Ally (kulia) wakati aliposhiriki katika kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad S.A.W. , Mtaa wa Indira Ghandi jijini Dar es salaam, Februari 16, 2020. Wa pili kulia ni Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam, Al Hadi Musa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/feefbc8d-cb0a-495d-94a3-cdad8944668c.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Abubakar Zuberi Bin Ally katika kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Mohammad S.A.W , Mtaa wa Indira...
11 years ago
Tanzania Daima09 Jul
‘Tutaendelea na polisi jamii’
JESHI la Polisi limesema litaendelea na mkakati wa kutumia Polisi Jamii kutokana na umuhimu wake wa kuzuia uhalifu. Akizungumza katika banda la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi katika...
10 years ago
MichuziFISA USTAWI WA JAMII NA MAENDELEO YA JAMII AKITEMBELEA MRADI WA SHIRIKA LA KUSAIDIA WATOTO WA MITAANI JIJINI ARUSHA
.
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/IrdZUrmqRb4/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Pinda ahimiza jamii kushirikiana
11 years ago
Habarileo22 Jan
Kampuni ya Mantra kushirikiana na jamii
KAMPUNI ya Mantra Tanzania inayosimamia mradi wa uchimbaji urani eneo la mto Mkuju wilayani Namtumbo Mkoa wa Ruvuma, imesisitiza kushirikiana na jamii inayozunguka eneo la mradi kwa kusaidia shughuli mbalimbali, zikiwemo za kijamii. Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, Asa Mwaipopo alisema hayo jijini Dar es Salaam leo wakati akizungumza na waandishi wa habari.
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Mzumbe, jamii kushirikiana ujenzi wa miundombinu
CHUO Kikuu Mzumbe Kampasi Kuu kinatarajia kuishirikisha jamii kujenga miundombinu ya kufundishia ili kukidhi mahitaji halisi ya kutolea elimu ya juu kwa Watanzania. Naibu Makamu Mkuu wa Chuo hicho Utawala...
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Jamii yahimizwa kusaidia yatima
MKURUGENZI wa Masoko na Mauzo wa Hoteli ya Serena, Seraphin Lusala, ameiomba jamii iongeze juhudi katika kusaidia watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu. Lusala alitoa kauli hiyo jijini Dar...