Kampuni ya Mantra kushirikiana na jamii
KAMPUNI ya Mantra Tanzania inayosimamia mradi wa uchimbaji urani eneo la mto Mkuju wilayani Namtumbo Mkoa wa Ruvuma, imesisitiza kushirikiana na jamii inayozunguka eneo la mradi kwa kusaidia shughuli mbalimbali, zikiwemo za kijamii. Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, Asa Mwaipopo alisema hayo jijini Dar es Salaam leo wakati akizungumza na waandishi wa habari.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Pinda ahimiza jamii kushirikiana
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Mzumbe, jamii kushirikiana ujenzi wa miundombinu
CHUO Kikuu Mzumbe Kampasi Kuu kinatarajia kuishirikisha jamii kujenga miundombinu ya kufundishia ili kukidhi mahitaji halisi ya kutolea elimu ya juu kwa Watanzania. Naibu Makamu Mkuu wa Chuo hicho Utawala...
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
PBZ: Tutaendelea kushirikiana na serikali kusaidia jamii
MAISHA tunayoishi yanakabiliwa na changamoto mbalimbali ambazo baadhi yake zimeweza kutatuliwa, lakini zingine zinashindakana hadi pale jamii inapopata msaada kutoka nje. Hali hii imekuwa ikijitokeza mara kwa mara kutokana na...
10 years ago
GPLKIDOTI KUSHIRIKIANA NA KAMPUNI YA RAINBOW SHELL CRAFT YA CHINA
10 years ago
Bongo Movies20 Dec
Kidoti kushirikiana na kampuni ya china kutengeneza nywele na bidhaa nyingine
MWANADADA ambaye ni mwanamitindo, mwanamuziki na mtangazaji, Jokate Mwegelo, jana amesaini makubaliano ya kushirikiana kibiashara na Kampuni ya Rainbow Shell Craft ya China.
Kampuni hizo mbili zitashirikiana katika kuzalisha baadhi ya bidhaa kama nywele (wigi) , ndala, sendozi nakadhalika.
9 years ago
MichuziMFUKO WA GEPF KUSHIRIKIANA NA UMOJA WA VICOBA WA UYACODE KATIKA KUTOA KINGA YA HIFADHI YA JAMII KWA WANACHAMA WA VICOBA
10 years ago
MichuziKAMPUNI ZINAZOWAJIBIKA KWA JAMII KUTAMBULIWA MACHI, 2015
Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI mbali mbali zinazotoa huduma kwa jamii zinatarajiwa kutambuliwa na...
10 years ago
GPLKAMPUNI ZINAZOWAJIBIKA KWA JAMII KUTAMBULIWA MACHI, 2015
11 years ago
MichuziWASANII WA BONGO MOVIE KWA KUSHIRIKIANA NA KAMPUNI YA MABIBO BEER WATEMBELEA HOSPITALI YA MWANANYAMALA LEO NA KUTOA MISAADA KWA WAGONJWA.