Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda ahimiza jamii kushirikiana

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amezitaka taasisi zote za Serikali kushirikiana katika utekelezaji wa mikakati mbalimbali ya kupambana na mabadililiko ya tabianchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

DC ahimiza walimu kushirikiana na wazazi

MKUU wa Wilaya Tarime, Glorious Luoga amewahimiza walimu kushirikiana na wazazi ili kuinua kiwango cha elimu wilayani hapa, hatua aliyosema itasaidia kufikia malengo yaliyokusudiwa na serikali.

 

11 years ago

Habarileo

Bush ahimiza marais kushirikiana

RAIS wa zamani wa Marekani, George W. Bush ametaka marais kuungana kwa pamoja kuimarisha afya ya mama na wasichana.

 

11 years ago

Habarileo

Kampuni ya Mantra kushirikiana na jamii

KAMPUNI ya Mantra Tanzania inayosimamia mradi wa uchimbaji urani eneo la mto Mkuju wilayani Namtumbo Mkoa wa Ruvuma, imesisitiza kushirikiana na jamii inayozunguka eneo la mradi kwa kusaidia shughuli mbalimbali, zikiwemo za kijamii. Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, Asa Mwaipopo alisema hayo jijini Dar es Salaam leo wakati akizungumza na waandishi wa habari.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mzumbe, jamii kushirikiana ujenzi wa miundombinu

CHUO Kikuu Mzumbe Kampasi Kuu kinatarajia kuishirikisha jamii kujenga miundombinu ya kufundishia ili kukidhi mahitaji halisi ya kutolea elimu ya juu kwa Watanzania. Naibu Makamu Mkuu wa Chuo hicho Utawala...

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Nagu ahimiza jamii kukopa kwa maendeleo

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji), Dk Mary Nagu amewataka wajasiriamali kukopa kwenye taasisi za fedha, kwani ndiyo njia ya kuwanyanyua kiuchumi na wafanyabiashara wengi wamenufaika nayo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

PBZ: Tutaendelea kushirikiana na serikali kusaidia jamii

MAISHA  tunayoishi yanakabiliwa na changamoto mbalimbali ambazo baadhi yake  zimeweza kutatuliwa,  lakini zingine zinashindakana  hadi pale jamii inapopata msaada kutoka nje. Hali hii imekuwa ikijitokeza mara kwa mara  kutokana na...

 

10 years ago

Mwananchi

Pinda ahimiza kuchangia elimu

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ametoa rai kwa Watanzania kujenga utamaduni wa kuchangia maendeleo ya sekta ya elimu, badala ya kujikita kuchangia sherehe za harusi.

 

11 years ago

Mwananchi

Zitto ahimiza mifuko ya jamii kusaidia sekta zisizo rasmi

Sera ya Maendeleo ya Hifadhi ya jamii isipofanyiwa mikakati ya kujumuisha sekta sizizo rasmi nchini umaskini utaendelea kuwa mwiba mchungu na janga la kitaifa katika siku za usoni.

 

10 years ago

Habarileo

Pinda ahimiza elimu dawa za kulevya

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amewaomba viongozi wa dini nchini, waitumie mikutano yao ya mahubiri kutoa elimu juu ya athari za dawa za kulevya kwa waumini wao na Watanzania wote kwa ujumla.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani