Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda ahimiza elimu dawa za kulevya

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amewaomba viongozi wa dini nchini, waitumie mikutano yao ya mahubiri kutoa elimu juu ya athari za dawa za kulevya kwa waumini wao na Watanzania wote kwa ujumla.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

DC ahimiza vita dawa za kulevya

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana amezitaka asasi na mashirika yasiyo ya kiserikali kuongeza mapambano dhidi ya dawa za kulevya kwa vijana mkoani Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Pinda akerwa na ushirikina, dawa za kulevya

>Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amewaomba viongozi wa dini nchini kuitumia mikutano ya mahubiri kutoa elimu kwa waumini wao na wananchi kwa ujumla kuachana na imani za kishirikina za kukata viungo na  kuwaua walemavu wa ngozi (albino ).

 

10 years ago

Mtanzania

Pinda: Tuwalinde vijana na dawa za kulevya

Mizengo-PindaNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amewaomba viongozi wa dini nchini waitumie mikutano yao ya mahubiri kutoa elimu juu ya athari za dawa za kulevya kwa waumini wao na Watanzania wote kwa ujumla.
Wito huo ameutoa jana Dar es Salaaam, alipokuwa akizungumza na viongozi na waumini wa Kanisa la Moravian Tanzania kwenye ibada ya uzinduzi wa Jimbo la Mashariki la kanisa hilo uliofanyika makao makuu ya jimbo hilo, Mbagala Chamazi.
“Niwaombe sasa viongozi wa dini tuungane na...

 

10 years ago

Mwananchi

Pinda ahimiza kuchangia elimu

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ametoa rai kwa Watanzania kujenga utamaduni wa kuchangia maendeleo ya sekta ya elimu, badala ya kujikita kuchangia sherehe za harusi.

 

10 years ago

Habarileo

Pinda ahimiza usimamizi ubora wa elimu

Wanafunzi wa Shule za Msingi za Dodoma wakiimba wakati Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alipozindua Mpango wa Serikali wa Kukuza Stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) kwenye Chuo Kikuu cha Dodoma mwishoni mwa wiki. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameziagiza Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI) kusimamia ubora wa elimu nchini, kwa kufuatilia na kusimamia utendaji wa walimu shuleni ili kupunguza idadi ya wanafunzi wasiojua kusoma, kuandika na kuhesabu, ambalo limekuwa tatizo sugu.

 

5 years ago

Michuzi

Tanzania yashiriki Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) jijini Vienna, Austria

Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Madawa ya Kulevya Bw.james Kaji akiwasilisha hotuba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) kuhusu utekelezaji wa mikataba mbalimbali ya Kimataifa ya Madawa ya Kulevya. Tanzania katika mkutano huu, unaofanyika Vienna, Austria,imekuwa ni mfano bora wa namna ambavyo wameweza kujiimarisha katika Mapambano Dhidi ya...

 

9 years ago

GPL

TAASISI YA CARE AND HELP YATOA ELIMU DAWA ZA KULEVYA

Mwenyekiti wa Taasisi ya Care and Help, Karyn David akitoa mada mbalimbali kwenye kongamano hilo. Baadhi ya vijana na wadau wakifuatilia kongamano hilo. Waendeshaji wa…

 

9 years ago

StarTV

Vijana walioathirika na Dawa Za Kulevya waishauri Serikali kutoa elimu

Vijana walioathirika na dawa za Kulevya nchini wameishauri Serikali ianze kutoa elimu ya kutambua athari ya utumiaji wa dawa hizo ili kukabiliana na athari ambayo inaweza kujitokeza hapo baadae na kupoteza nguvu kazi ya Taifa.

Ushauri huo umetolewa na Vijana waliojitambua baada ya kutumia dawa za kulevya kwa muda mrefu ambazo zilisababisha baadhi yao kupoteza masomo, kazi na kutengwa na  jamii.

 Frank John ni Mkurugenzi wa kituo cha Ties that Bind Recovery ambaye pia ni muathirika wa dawa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014

PIX 1

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

PIX 2

Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani