Pinda ahimiza usimamizi ubora wa elimu
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameziagiza Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI) kusimamia ubora wa elimu nchini, kwa kufuatilia na kusimamia utendaji wa walimu shuleni ili kupunguza idadi ya wanafunzi wasiojua kusoma, kuandika na kuhesabu, ambalo limekuwa tatizo sugu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Pinda ahimiza kuchangia elimu
10 years ago
Habarileo04 May
Pinda ahimiza elimu dawa za kulevya
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amewaomba viongozi wa dini nchini, waitumie mikutano yao ya mahubiri kutoa elimu juu ya athari za dawa za kulevya kwa waumini wao na Watanzania wote kwa ujumla.
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Mbunge wa Jimbo la Manyoni Magharibi ahimiza ukusanyaji pamoja na usimamizi wa mapato ya Halmashauri ya Itigi
Mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi (CCM), Bwana Yahaya Masare (wa kwanza kutoka kulia) akiwa na Katibu wa CCM wilaya ya Manyoni, Dafrosa aliyekwenda kushuhudia sherehe za uzinduzi wa Halmashauri mpya ya Itigi.
Baadhi ya wananchi na watendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi,wilayani Manyoni waliohudhuria uzinduzi wa Halmashauri mpya ya Itigi, Mkoani Singida.
Mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi(CCM)Bwana Yahaya Masare(wa tatu kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi...
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Pinda ahimiza jamii kushirikiana
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
Mama Pinda ahimiza matumizi ya maziwa
MKE wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda amezihamasisha familia nchini kuhakikisha watoto wao wanatumia maziwa ili kusaidia ukuaji wao na kuimarisha ustawi mzuri wa afya zao. Wito huo ulitolewa jijini...
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Pinda ahimiza kilimo cha biashara
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amewataka watanzania kutumia kilimo cha biashara kwa umakini ili kukuza uchumi wa nchi. Pinda, aliyasema hayo jijini Dar es Salaam jana katika mkutano wa kujadili masuala...
10 years ago
Habarileo18 Feb
RC ahimiza elimu ya usalama barabarani
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe (pichani) amezishauri Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani na Mamlaka ya Udhibiti Usafirishaji wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), zishirikiane kukitumia kipindi cha ubadilishaji wa namba za pikipiki kutoa elimu ya usalama barabarani.
10 years ago
Raia Tanzania27 Jul
Ubora wa elimu unaanza kwa mwalimu
TAYARI matokeo ya kidato cha sita yametoka, na wasichana ndiyo wameibuka kidedea kwa kuwaacha mbali wavulana, hii ina maana gani kwa mdau wa elimu.
Ukifuatilia ile orodha ya washindi wa nafasi za juu katika matokeo hayo utagundua asilimia kubwa ya wanafunzi wanatoka katika shule za kulipia ‘Private.’
Kuna ubishani unaendelea nchini kuhusu uwiano wa ufaulu kwa shule za serikali na binafsi, zamani mwanafunzi akifaulu kuendelea na masomo katika shule za serikali ilikuwa sherehe mtaani...
10 years ago
Habarileo21 Sep
Dk Shein ahimiza ushirikiano wa elimu na Comoro
RAIS wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein amesema historia ya kuanzishwa vyuo vikuu Zanzibar na Muungano wa Comoro inafanana.