Pinda ahimiza kilimo cha biashara
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amewataka watanzania kutumia kilimo cha biashara kwa umakini ili kukuza uchumi wa nchi. Pinda, aliyasema hayo jijini Dar es Salaam jana katika mkutano wa kujadili masuala...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo23 Aug
Askofu Bundala ahimiza kilimo cha vitunguu
WAKULIMA wa Malembula Wilayani Kongwa wameshauriwa kuchangamkia fursa za kilimo cha vitunguu ili wajikwamue kiuchumi.
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
IPRCC wafundisha kilimo cha biashara
KITUO cha Kimataifa cha Watu wa China cha Kupunguza Umasikini (IPRCC), kwa kushirikiana na serikali wamefanikiwa kuendesha mradi wa miaka mitatu wa kufundisha wakulima wadogo kilimo cha biashara. Akizungumza jijini Dar es...
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
‘Watanzania changamkieni shindano kilimo cha biashara’
WATANZANIA wenye mawazo ya biashara katika sekta ya kilimo wamehamasishwa kushiriki shindano la awamu ya tatu ya dirisha la ufadhili wa kilimo cha biashara kwa ajili ya kuendeleza sekta hiyo...
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
AECF yapokea Bilioni 17 kuwezesha shindano la kilimo cha biashara
Mkurugenzi wa Mfuko wa Sekta Binafsi AECF, Hugh Scott akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo wakati akizungumzia shindano litakaloshirikisha kampuni za Tanzania zinazojishughulisha na shughuli za kilimo na biashara ambalo litafanyika hapa nchini, shirika hilo linalojishughulisha na mikopo ya shughuli za kilimo na biashara hapa nchini Tanzania.
Mkuu wa Huduma za Shirika la AECF, Bw.Sam Sang’ang’a akizungumzia kuhusu mashindao yatakavyofanyika katika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-R6h9pjfqn0Q/VVoJceBX4vI/AAAAAAAHYFc/76yHKpFb0YA/s72-c/1.jpg)
MKUU WA MKOA WA NJOMBE AFUNGUA KIKAO KAZI CHA BIASHARA YA KILIMO
![](http://3.bp.blogspot.com/-R6h9pjfqn0Q/VVoJceBX4vI/AAAAAAAHYFc/76yHKpFb0YA/s640/1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Feb
Watendaji, watumishi wa umma watakiwa kujikita kwenye kilimo cha biashara
Kaimu mkurugenzi mtendaji halmashauri ya Singida, Joseph Sabore, akitoa ufafanuzi wa ajenda zilizokuwa zikiwasilishwa mbele ya kikao cha kawaida cha baraza la madiwani.Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya Singida, Elia Didha na wa pili kulia ni Mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi na wa kwanza kulia ni katibu CCM wilaya ya Singida.
Na Nathaniel Limu, Singida
KAIMU mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya Singida, Elia Digha, amewahimiza watendaji kujenga utamaduni wa kujishughulisha...
10 years ago
Dewji Blog18 May
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mh. Dk. Rehema Nchimbi afungua kikao kazi cha biashara ya kilimo
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mh. Dk. Rehema Nchimbi akifungua kikao kazi cha biashara ya kilimo kwa kongani ya Ihemi iliyoandaliwa na SAGCOT (Southern Agricultural Growth Corridor of Tanzania) kwa ushirikiano na UONGOZI Institute (Taasisi ya Uongozi Afrika kwa Maendeleo Endelevu) mapema leo Iringa mjini. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Kilimo wa TCCIA Bi. Magadalena Mkocha, Mwenyikiti wa Bodi ya Agricultural Council of Tanzania Dk. Sinare Y. Sinare, DC wa Iringa Mh. Angeline Mabula,...
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Kamati ya fedha, biashara na kilimo ya baraza la wawakilishi Zanzibar yatembelea kiwanda cha Sukari Mahonda
Muonekano wa Kiwanda cha Sukari Mahonda kilivyo hivi sasa.
Mshauri muelekezi wa Kiwanda cha Sukari Mahonda Dk. Hamza Hussein Sabri (alie simama) akitoa maelezo na changamoto wanazozipata Kiwandani hapo, kwa Kamati ya Fedha, Biashara na Kilimo ya Baraza la wawakilishi walipoenda kutembelea Kiwanda hapo.
Makamo Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha, Biashara na Kilimo ya Baraza la wawakilishi Hija Hassan Hija akizunguza na uongozi wa Kiwanda cha Sukari na viongozi wa Wizara ya Biashara, Viwanda na...