Mbunge wa Jimbo la Manyoni Magharibi ahimiza ukusanyaji pamoja na usimamizi wa mapato ya Halmashauri ya Itigi
Mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi (CCM), Bwana Yahaya Masare (wa kwanza kutoka kulia) akiwa na Katibu wa CCM wilaya ya Manyoni, Dafrosa aliyekwenda kushuhudia sherehe za uzinduzi wa Halmashauri mpya ya Itigi.
Baadhi ya wananchi na watendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi,wilayani Manyoni waliohudhuria uzinduzi wa Halmashauri mpya ya Itigi, Mkoani Singida.
Mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi(CCM)Bwana Yahaya Masare(wa tatu kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-TlpXNSaGo1s/XqpvfhUGcII/AAAAAAALomI/mA9YQXfS1F4gJuNEs1D7W8bEAVj1ZpMQACLcBGAsYHQ/s72-c/C.png)
HALMASHAURI YA NJOMBE YAVUKA TENA MALENGO UKUSANYAJI MAPATO
Na Amiri kilagalila,NjombeHALMASHAURI ya wilaya ya Njombe ambayo asilimia 70 ya mapato yake inayapata kutoka kwenye mazao ya miti , imefanikiwa kuvuka tena lengo la makusanyo ya mwaka 2019/2020 katika kipindi cha robo tatu ya mwaka kwa kukusanya asilimia 108 ya mapato.Ripoti hiyo ya makusanyo imetolewa katika kikao cha baraza na mwenyekiti wa halmashauri Valentino Hongoli na kutolewa ufafanunuzi na mkurugenzi Ally Juma ambaye anasema siri ya mafanikio makubwa katika makusanyo yametokana na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k4UhbOT-b98/XmykzlPWr5I/AAAAAAALjNI/V38npJYZmoYX7cVuaib5aN-VDVA_rn7agCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-14%2Bat%2B5.10.15%2BAM.jpeg)
NAIBU KATIBU MKUU TAMISEMI AITAKA HALMASHAURI YA SHINYANGA KUBORESHA UKUSANYAJI WA MAPATO
![](https://1.bp.blogspot.com/-k4UhbOT-b98/XmykzlPWr5I/AAAAAAALjNI/V38npJYZmoYX7cVuaib5aN-VDVA_rn7agCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-14%2Bat%2B5.10.15%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Z6xn801Gmks/Xmykz9TkYJI/AAAAAAALjNQ/HgTuSyREKgouEImjVtLidalXhLaHjsyQgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-14%2Bat%2B5.11.38%2BAM.jpeg)
NAIBU Katibu Mkuu anayeshughulikia Elimu OR-TAMISEMI Gerald Mweli ametembelea halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga na kukagua eneo la...
10 years ago
Dewji Blog07 Feb
Dk. Magufuli akagua barabara yenye urefu wa km 89, Manyoni-Itigi Mkoani Singida
Na Nathaniel Limu, Itigi
Waziri wa ujenzi, Dk. John Pombe Joseph Magufuli, amewakumbusha wafanya biashara wanaosafirisha/mizigo kwa kutumia barabara, wahakikishe wanazingatia uzito uliowekwa kisheria, ili barabara zinazojengwa kwa gharama...
10 years ago
Mwananchi24 Apr
9 years ago
Dewji Blog20 Nov
Serikali za Mitaa zaongeza mapato kupitia mfumo wa ukusanyaji Mapato kwa njia ya Kielektroniki
Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI Bi. Rebecca Kwandu akifurahia jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani)leo jijini Dar es Salaam wakati akiwaeleza mafanikio ya mfumo wa ukusanyaji mapato kwa njia ya kielektroniki katika mamlaka za Serikali za Mitaa (LGRCIS). Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya TEHAMA wa ofisi hiyo Bw. Mtani Yangwe na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.
Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya...
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Mbunge mteule wa jimbo la Singida Magharibi aanza kutekeleza kwa vitendo ahadi zake jimboni!
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ajr9EHjRoFQ/Vk7pYKryX6I/AAAAAAAIG-A/zWIrW9aOWaE/s72-c/New%2BPicture.png)
SERIKALI YABORESHA MFUMO WA UKUSANYAJI WA MAPATO
![](http://1.bp.blogspot.com/-ajr9EHjRoFQ/Vk7pYKryX6I/AAAAAAAIG-A/zWIrW9aOWaE/s320/New%2BPicture.png)
Hayo yamesemwa na msemaji wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa (TAMISEMI) Bi. Rebecca Kwandu leo jijini Dar es salaam.
Bi Rebecca amesema kuwa TAMISEMI imekuwa ikiendelea kwa nyakati tofauti kufanya maboresho mbalimbali ili kurahisisha utoaji wa huduma kwa jamii na kuzisaidia mamlaka hizo katika kuongeza mapato ya ndani na...
9 years ago
Dewji Blog10 Oct
Serikali yaboresha mfumo wa ukusanyaji mapato
Mkurugenzi wa Huduma za Kibenki kutoka Benki Kuu ya Tanzania Bw. Martian Kobelo (wa pili kulia) akiwaeleza waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam kuhusu utunzaji sahihi wa fedha za noti na sarafu. Kulia ni Mkurugenzi wa Mifumo ya Malipo ya Taifa Bw. Bernard Dadi na kushoto ni Mshauri wa Huduma za Kibenki Bw. Hassan Jarufu.
Mkurugenzi wa Mifumo ya Malipo ya Taifa kutoka Benki Kuu ya Tanzania Bw. Bernard Dadi (kulia) akiwaeleza waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu mfumo...
9 years ago
Habarileo07 Jan
Waziri Mkuu aagiza kasi ukusanyaji mapato
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza halmashauri za wilaya, manispaa na majiji nchini, kuongeza kasi katika ukusanyaji wa mapato ya ndani, hatua itakayosaidia kuboresha huduma za afya na kuharakisha shughuli mbalimbali za maendeleo.