Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mama Pinda ahimiza matumizi ya maziwa

MKE wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda amezihamasisha familia nchini kuhakikisha watoto wao wanatumia maziwa ili kusaidia ukuaji wao na kuimarisha ustawi mzuri wa afya zao. Wito huo ulitolewa jijini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

RC Dodoma ahimiza matumizi ya maktaba

WANAFUNZI nchini wametakiwa kutumia muda mwingi kujisomea katika maktaba ili kuongeza kiwango cha elimu na ufaulu. Rai hiyo ilitolewa mjini hapa juzi na Mkuu wa Mkoa (RC) wa Dodoma, Dk....

 

5 years ago

Michuzi

KAIMU DHRA WA TAA AHIMIZA MATUMIZI YA TANEPs


Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi cha Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Josephat Msafiri (wa pili kulia) akiandika mambo mbalimbali yanayofundishwa na Mwezeshaji Kenneth Nnembuka kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA), katika mafunzo ya mfumo wa manunuzi kwa njia ya mtandao (TANePs), yanayoendelea kwenye ukumbi wa Mikutano wa Watu Mashuhuri wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (VIP -JNIA-TB2).
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani cha Mamlaka...

 

5 years ago

Michuzi

WORLD VISION YAHAMASISHA KLINIKI KWA WAJAWAZITO, MATUMIZI YA MAZIWA YA MBUZI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI



Kushoto ni Afisa Lishe Mradi wa ENRICH unaotekelezwa na Shirika la World Vision , Stella Mbuya na Afisa Jinsia na Utetezi wa Shirika la World Vision kupitia mradi wa ENRICH, Magreth Mambali wakionesha alama ya Usawa wa Kijinsia.


Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Wanawake wajawazito wamekumbushwa umuhimu wa kuhudhuria Kliniki angalau mara nne katika kipindi chote cha ujauzito ili waweze kupata huduma zote za msingi ili wajifungue salama kupunguza vifo vya uzazi vya mama na mtoto.

Rai hiyo...

 

11 years ago

Dewji Blog

Pinda ahudhuria mkutano wa Maziwa Makuu Nairobi

PG4A6130

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitia saini tamko la Mkutano  Maalum wa Nchi za  Maziwa Makuu (ICGLR) kuhusu mikakati ya kutatua tatizo la ajira kwa vijana kupitia Uendelezaji Miundombinu na uwekezaji, uliofanyika kwenye hoteli ya Kempinski jijini Nairobi Julai 24, 2014. Kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Batilda Burian na wapili kushoto ni Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudencia Kabaka. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 

10 years ago

Mwananchi

Pinda ahimiza kuchangia elimu

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ametoa rai kwa Watanzania kujenga utamaduni wa kuchangia maendeleo ya sekta ya elimu, badala ya kujikita kuchangia sherehe za harusi.

 

10 years ago

Mwananchi

Pinda ahimiza jamii kushirikiana

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amezitaka taasisi zote za Serikali kushirikiana katika utekelezaji wa mikakati mbalimbali ya kupambana na mabadililiko ya tabianchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa maziwa ya mama kwa mtoto

Maziwa ya mama yana viinilishe muhimu vinavyomsaidia mtoto kukabiliana kwa ufanisi mkubwa  maambukizi ya vimelea vinavyosababisha magonjwa. Watoto wanaonyonya maziwa ya mama pia hupunguza hatari ya kupata maradhi ya pumu na magonjwa ya ngozi yatokanayo na mzio.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ajikimu kwa kuuza maziwa ya mama

Rebecca Hudson, kutoka mjini Manchester,Uingereza amepata zaidi ya pauni 3,000 kwa kuuza maziwa ya mama kupitia Internet.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani