Ajikimu kwa kuuza maziwa ya mama
Rebecca Hudson, kutoka mjini Manchester,Uingereza amepata zaidi ya pauni 3,000 kwa kuuza maziwa ya mama kupitia Internet.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi14 Aug
Umuhimu wa maziwa ya mama kwa mtoto
Maziwa ya mama yana viinilishe muhimu vinavyomsaidia mtoto kukabiliana kwa ufanisi mkubwa maambukizi ya vimelea vinavyosababisha magonjwa. Watoto wanaonyonya maziwa ya mama pia hupunguza hatari ya kupata maradhi ya pumu na magonjwa ya ngozi yatokanayo na mzio.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eZvj5_SV0k8/XtPkDSVsHII/AAAAAAALsKg/C6QZwhQDGzAy3gHq1V4ut4P3qHC3fCwiACLcBGAsYHQ/s72-c/eb310d63-56b3-49ac-8c35-84c5f2a0675d.jpg)
DC KATAMBI, BODI YA MAZIWA WAGAWA MAZIWA KWA WATU WENYE UHITAJI JIJINI DODOMA
Charles James, Michuzi TV
WATANZANIA wametakiwa kujiwekea Utamaduni wa kunywa maziwa kwa wingi na siyo kusubiri mpaka waandikiwe na Daktari kwani unywaji wa maziwa hujenga afya.
Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi leo wakati wa ziara yake ya kugawa maziwa kwa watu wenye mahitaji kwa kushirikiana na Bodi ya Maziwa ambapo wamegawa maziwa Lita 1650 yenye thamani ya Sh Milioni Nane.
DC Katambi amesema Ofisi yake itaendelea kuhamasisha unywaji wa maziwa pamoja na kutoa...
WATANZANIA wametakiwa kujiwekea Utamaduni wa kunywa maziwa kwa wingi na siyo kusubiri mpaka waandikiwe na Daktari kwani unywaji wa maziwa hujenga afya.
Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi leo wakati wa ziara yake ya kugawa maziwa kwa watu wenye mahitaji kwa kushirikiana na Bodi ya Maziwa ambapo wamegawa maziwa Lita 1650 yenye thamani ya Sh Milioni Nane.
DC Katambi amesema Ofisi yake itaendelea kuhamasisha unywaji wa maziwa pamoja na kutoa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Bye6BgmhnSc/VNnD6TvsEcI/AAAAAAAHCuU/IJs0AJg-WlQ/s72-c/ki.jpg)
MAMA KIKWETE AWATAKA WAKAZI WA WILAYA YA LINDI KUTOKUBALI KUUZA MAENEO YA UFUKWE WA BAHARI KWA BEI YA CHINIYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Bye6BgmhnSc/VNnD6TvsEcI/AAAAAAAHCuU/IJs0AJg-WlQ/s1600/ki.jpg)
10/2/2015 Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete amewataka wakazi wa wilaya hiyo kutokubali kuuza maeneo ya ufukwe wa Bahari ya Hindi kwa kiasi kidogo cha fedha kwani thamani ya maeneo hayo ni kubwa.
Mama Kikwete ambaye ni Mke wa Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete alitoa rai hiyo jana wakati akiongea kwa nyakati tofauti na viongozi wa Halmashauri kuu ya tawi ya Chama hicho katika...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-AFbi7rHRE_w/VNnVtGRin0I/AAAAAAACW7g/m-wz5Mz9gmw/s72-c/salmakikwete.jpg)
MAMA KIKWETE AWATAKA WAKAZI WA WILAYA YA LINDI KUTOKUBALI KUUZA MAENEO YA UFUKWE WA BAHARI KWA BEI YA CHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-AFbi7rHRE_w/VNnVtGRin0I/AAAAAAACW7g/m-wz5Mz9gmw/s640/salmakikwete.jpg)
11 years ago
Michuzi08 Jun
MAZIWA YA ASAS DAIRIES LTD NDIO MAZIWA BORA TANZANIA YASHINDA TUZO YA UBORA KWA MIAKA MIWILI MFULULIZO ,MAKAMPUNI 30 YAACHWA MBALI
![](https://3.bp.blogspot.com/-aFc38PQQofU/U5Rerz75knI/AAAAAAABpDA/JzbQQ9hwuog/s640/IMG-20140608-WA0009.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-T70C-dEoBN8/U5RexZ66_CI/AAAAAAABpDI/PTmOVQhgpa0/s640/IMG-20140608-WA0017.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-2wihN_Rl-G8/U5Re0Fsrk8I/AAAAAAABpDQ/n7Juk5lQjs8/s640/IMG-20140608-WA0018.jpg)
Picha zaidi...
9 years ago
MichuziWASHIRIKI WA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 WAJIPATIA KIPATO KWA KUUZA BIDHAA WALIZOTENGENEZA WENYEWE KATIKA KIJIJI CHA KISANGA.
Ni siku ya 14 ambapo mampema kabisa washiriki wa shindano la Mama Shujaa wa Chakula Msimu wa nne 2015 linaloendeshwa na Oxfam kupitia kampeni yake ya Grow na yenye kauli yake ya Wekeza kwa wakulima wadogo wadogo wanawake inalipa , na Kipindi ambacho kinaruka katika Runinga yako kupitia Chanel ya ITV kuanzia saa 12:30 jioni na Marudio saa 11:30 za asubuhi , Katika siku hii Mama Shujaa wa Chakula wanatoka na kuelekea mabondeni kufuata udongo wa Mfinyanzi kwa ajili ya kuja kutengeneza vitu...
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
Mama Pinda ahimiza matumizi ya maziwa
MKE wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda amezihamasisha familia nchini kuhakikisha watoto wao wanatumia maziwa ili kusaidia ukuaji wao na kuimarisha ustawi mzuri wa afya zao. Wito huo ulitolewa jijini...
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Kutonyonyesha mtoto maziwa ya mama miezi 6 ni kumkatili
Agosti mosi hadi saba kila mwaka, Tanzania inaungana na nchi nyingine ulimwenguni kuadhimisha wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama. Ni wiki iliyoanza kuadhimishwa tangu 1992.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/mamalulu.jpg?width=650)
MADAI YA KUUZA NYUMBA, MAMA LULU AWAKA!
Mama mzazi wa staa grade one wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresia Karugila. Imelda Mtema
Acheni hizo! Mama mzazi wa staa grade one wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresia Karugila, amewaka kufuatia madai ya kuuza nyumba ya aliyozawadia na mtoto wake huyo iliyopo Kimara- Saranga jijini Dar akisema kamwe hawezi kuiuza. ....Akiwa na mwanaye. Akizungumza na gazeti namba moja la mastaa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania