Kutonyonyesha mtoto maziwa ya mama miezi 6 ni kumkatili
Agosti mosi hadi saba kila mwaka, Tanzania inaungana na nchi nyingine ulimwenguni kuadhimisha wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama. Ni wiki iliyoanza kuadhimishwa tangu 1992.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-49A13IAlirM/Vc4BfnjgFjI/AAAAAAAHwqo/rMDqA7ofCpI/s72-c/cow.jpg)
MTOTO CHINI YA MIEZI SITA HAWATAKIWI KUPEWA MAZIWA YA NG'OMBE-TFNC
![](http://4.bp.blogspot.com/-49A13IAlirM/Vc4BfnjgFjI/AAAAAAAHwqo/rMDqA7ofCpI/s640/cow.jpg)
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
IMEELEZWA kuwa Mtoto chini ya mwezi hatakiwi kunywa maziwa yeyote isipokuwa ya mama yake, kutokana na maziwa ya ng’ombe kuwa mazito na hayawezi kumsaidia mtoto katika kukua kwake.
Hayo ameyasema mtaalam wa lishe wa Taasisi ya Chakula lishe nchini (TFNC),Neema Joshua wakati wa semina ya waandishi wa habari ya kuwajengea uwezo wa masuala ya Lishe,amesema maziwa ya ng’ombe yanatumika tu pale hakuna namna ya kuweza kupata maziwa mengine.
Amesema watoto chini ya...
9 years ago
Mwananchi14 Aug
Umuhimu wa maziwa ya mama kwa mtoto
Maziwa ya mama yana viinilishe muhimu vinavyomsaidia mtoto kukabiliana kwa ufanisi mkubwa maambukizi ya vimelea vinavyosababisha magonjwa. Watoto wanaonyonya maziwa ya mama pia hupunguza hatari ya kupata maradhi ya pumu na magonjwa ya ngozi yatokanayo na mzio.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h9rCRLVIv1Y/Xs9ZDM2IQTI/AAAAAAALrzs/_-UQ2mHi5zk-tDtlqIkjlPu-KDJhJqtsACLcBGAsYHQ/s72-c/InShot_20200527_161214388.jpg)
SHEIKH KIPOOZEO AIKUMBUSHA JAMII KUWA NA HOFU YA MUNGU, AGUSIA UMUHIMU WA MAZIWA YA MAMA KULINDA AFYA YA MTOTO
Na Khadija Seif, Michuzi tv
SHEIKH Hillal Shaweji maarufu kwa jina la Sheikh Kipozeo amewaomba wazazi na walezi kuwa na hofu ya Mungu kwa lengo la kuimarisha na kuendesha familia zao katika misingi ya kiucha Mungu.
Akizungumza jijini Dar es Salaam Sheikh Kipozeo amesema wazazi na walezi wakiwa na misingi ya dini na hofu ya Mungu familia huwa na amani kubwa n kuishi maisha yenye furaha na kumpendeza Mwenyezi Mungu.
Sheikh Kipoozeo amefafanu wakati nwingine watoto wanakumbwa na mikasa mingi ya...
10 years ago
Mwananchi12 Sep
Mtoto afichwa chumbani miezi 4
Mtoto mdogo wa miezi 11 amekutwa akiwa amefichwa kwenye chumba kichafu kwa takriban miezi minne.
10 years ago
BBCSwahili13 Jul
Akamatwa akijaribu kuuza mtoto wa miezi 3
Mwanaume mmoja amekamatwa na polisi mjini Manchester kwa tuhuma za kutaka kuuza mtoto wa kike
9 years ago
BBCSwahili08 Sep
Mtoto aliyeibiwa apatikana baada ya miezi 4
Mahakama nchini El Salvador imeamuru mtoto aliyebadilishwa punde baada ya kuzaliwa kukutanishwa na wazazi wake halisi miezi minne baadaye
10 years ago
BBCSwahili08 Dec
Ajikimu kwa kuuza maziwa ya mama
Rebecca Hudson, kutoka mjini Manchester,Uingereza amepata zaidi ya pauni 3,000 kwa kuuza maziwa ya mama kupitia Internet.
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
Mama Pinda ahimiza matumizi ya maziwa
MKE wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda amezihamasisha familia nchini kuhakikisha watoto wao wanatumia maziwa ili kusaidia ukuaji wao na kuimarisha ustawi mzuri wa afya zao. Wito huo ulitolewa jijini...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania