Umuhimu wa maziwa ya mama kwa mtoto
Maziwa ya mama yana viinilishe muhimu vinavyomsaidia mtoto kukabiliana kwa ufanisi mkubwa maambukizi ya vimelea vinavyosababisha magonjwa. Watoto wanaonyonya maziwa ya mama pia hupunguza hatari ya kupata maradhi ya pumu na magonjwa ya ngozi yatokanayo na mzio.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h9rCRLVIv1Y/Xs9ZDM2IQTI/AAAAAAALrzs/_-UQ2mHi5zk-tDtlqIkjlPu-KDJhJqtsACLcBGAsYHQ/s72-c/InShot_20200527_161214388.jpg)
SHEIKH KIPOOZEO AIKUMBUSHA JAMII KUWA NA HOFU YA MUNGU, AGUSIA UMUHIMU WA MAZIWA YA MAMA KULINDA AFYA YA MTOTO
Na Khadija Seif, Michuzi tv
SHEIKH Hillal Shaweji maarufu kwa jina la Sheikh Kipozeo amewaomba wazazi na walezi kuwa na hofu ya Mungu kwa lengo la kuimarisha na kuendesha familia zao katika misingi ya kiucha Mungu.
Akizungumza jijini Dar es Salaam Sheikh Kipozeo amesema wazazi na walezi wakiwa na misingi ya dini na hofu ya Mungu familia huwa na amani kubwa n kuishi maisha yenye furaha na kumpendeza Mwenyezi Mungu.
Sheikh Kipoozeo amefafanu wakati nwingine watoto wanakumbwa na mikasa mingi ya...
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Kutonyonyesha mtoto maziwa ya mama miezi 6 ni kumkatili
Agosti mosi hadi saba kila mwaka, Tanzania inaungana na nchi nyingine ulimwenguni kuadhimisha wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama. Ni wiki iliyoanza kuadhimishwa tangu 1992.
10 years ago
BBCSwahili08 Dec
Ajikimu kwa kuuza maziwa ya mama
Rebecca Hudson, kutoka mjini Manchester,Uingereza amepata zaidi ya pauni 3,000 kwa kuuza maziwa ya mama kupitia Internet.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eZvj5_SV0k8/XtPkDSVsHII/AAAAAAALsKg/C6QZwhQDGzAy3gHq1V4ut4P3qHC3fCwiACLcBGAsYHQ/s72-c/eb310d63-56b3-49ac-8c35-84c5f2a0675d.jpg)
DC KATAMBI, BODI YA MAZIWA WAGAWA MAZIWA KWA WATU WENYE UHITAJI JIJINI DODOMA
Charles James, Michuzi TV
WATANZANIA wametakiwa kujiwekea Utamaduni wa kunywa maziwa kwa wingi na siyo kusubiri mpaka waandikiwe na Daktari kwani unywaji wa maziwa hujenga afya.
Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi leo wakati wa ziara yake ya kugawa maziwa kwa watu wenye mahitaji kwa kushirikiana na Bodi ya Maziwa ambapo wamegawa maziwa Lita 1650 yenye thamani ya Sh Milioni Nane.
DC Katambi amesema Ofisi yake itaendelea kuhamasisha unywaji wa maziwa pamoja na kutoa...
WATANZANIA wametakiwa kujiwekea Utamaduni wa kunywa maziwa kwa wingi na siyo kusubiri mpaka waandikiwe na Daktari kwani unywaji wa maziwa hujenga afya.
Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi leo wakati wa ziara yake ya kugawa maziwa kwa watu wenye mahitaji kwa kushirikiana na Bodi ya Maziwa ambapo wamegawa maziwa Lita 1650 yenye thamani ya Sh Milioni Nane.
DC Katambi amesema Ofisi yake itaendelea kuhamasisha unywaji wa maziwa pamoja na kutoa...
11 years ago
Michuzi08 Jun
MAZIWA YA ASAS DAIRIES LTD NDIO MAZIWA BORA TANZANIA YASHINDA TUZO YA UBORA KWA MIAKA MIWILI MFULULIZO ,MAKAMPUNI 30 YAACHWA MBALI
![](https://3.bp.blogspot.com/-aFc38PQQofU/U5Rerz75knI/AAAAAAABpDA/JzbQQ9hwuog/s640/IMG-20140608-WA0009.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-T70C-dEoBN8/U5RexZ66_CI/AAAAAAABpDI/PTmOVQhgpa0/s640/IMG-20140608-WA0017.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-2wihN_Rl-G8/U5Re0Fsrk8I/AAAAAAABpDQ/n7Juk5lQjs8/s640/IMG-20140608-WA0018.jpg)
Picha zaidi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania