DC KATAMBI, BODI YA MAZIWA WAGAWA MAZIWA KWA WATU WENYE UHITAJI JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-eZvj5_SV0k8/XtPkDSVsHII/AAAAAAALsKg/C6QZwhQDGzAy3gHq1V4ut4P3qHC3fCwiACLcBGAsYHQ/s72-c/eb310d63-56b3-49ac-8c35-84c5f2a0675d.jpg)
Charles James, Michuzi TV
WATANZANIA wametakiwa kujiwekea Utamaduni wa kunywa maziwa kwa wingi na siyo kusubiri mpaka waandikiwe na Daktari kwani unywaji wa maziwa hujenga afya.
Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi leo wakati wa ziara yake ya kugawa maziwa kwa watu wenye mahitaji kwa kushirikiana na Bodi ya Maziwa ambapo wamegawa maziwa Lita 1650 yenye thamani ya Sh Milioni Nane.
DC Katambi amesema Ofisi yake itaendelea kuhamasisha unywaji wa maziwa pamoja na kutoa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SiHdKbL_jnw/U4xG11RWjVI/AAAAAAAFnM0/NQczQCFkT1U/s72-c/unnamed+(17).jpg)
Bodi ya Maziwa na Heifer Internationl wahamasisha unywaji wa maziwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-SiHdKbL_jnw/U4xG11RWjVI/AAAAAAAFnM0/NQczQCFkT1U/s1600/unnamed+(17).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yDc_4X2Zon4/U4xG2z7oonI/AAAAAAAFnM8/khWTVoZxCZM/s1600/unnamed+(18).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jTHF2VJUw7k/U4xG32ev_dI/AAAAAAAFnNE/VvNFQPY4XOM/s1600/unnamed+(19).jpg)
11 years ago
Michuzi08 Jun
MAZIWA YA ASAS DAIRIES LTD NDIO MAZIWA BORA TANZANIA YASHINDA TUZO YA UBORA KWA MIAKA MIWILI MFULULIZO ,MAKAMPUNI 30 YAACHWA MBALI
![](https://3.bp.blogspot.com/-aFc38PQQofU/U5Rerz75knI/AAAAAAABpDA/JzbQQ9hwuog/s640/IMG-20140608-WA0009.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-T70C-dEoBN8/U5RexZ66_CI/AAAAAAABpDI/PTmOVQhgpa0/s640/IMG-20140608-WA0017.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-2wihN_Rl-G8/U5Re0Fsrk8I/AAAAAAABpDQ/n7Juk5lQjs8/s640/IMG-20140608-WA0018.jpg)
Picha zaidi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Hjnz7Ee4w20/XsfNnjNkDzI/AAAAAAALrRg/lV1NxFW_Vx0gXNUD2hoJZI0ww7y9pCiRQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-22%2Bat%2B3.08.29%2BPM.jpeg)
WIKI YA MAZIWA KUADHIMISHWA JUNI 1, JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Hjnz7Ee4w20/XsfNnjNkDzI/AAAAAAALrRg/lV1NxFW_Vx0gXNUD2hoJZI0ww7y9pCiRQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-22%2Bat%2B3.08.29%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Q_rAcW2GkYA/XsfNnnJ9QKI/AAAAAAALrRo/AQVkLPia-bAAwYRz06EAV0jco5avEVAcgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-22%2Bat%2B3.08.33%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-2s0ow1gNsRA/XsfNnoQIxdI/AAAAAAALrRk/qDfubZC6q1YN5JN-myxTRcJDRnLO5bW5gCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-22%2Bat%2B3.08.45%2BPM.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-W7ThP0v8F1o/Xs-sqnt2KQI/AAAAAAALr2s/veubRDlc9PUxmHNvh8TZsiP1uj3q4jMHwCLcBGAsYHQ/s72-c/a088403c-00ef-46e8-af77-a8f2fe34bad2.jpg)
NAIBU WAZIRI ULEGA AZINDUA WIKI YA MAZIWA, KUANZISHA KAMPENI YA KUKAGUA WANAOKUNYWA MAZIWA YA UNGA
SERIKALI imesema itaanzisha kampeni ya kukagua Ofisi za Umma na binafsi ambazo zinatumia maziwa ya unga badala ya maziwa halisi yanayotengenezwa nchini.
Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega leo jijini Dodoma wakati akizindua wiki ya maziwa nchini ambayo itafanyika hadi Juni 1.
Naibu Waziri Ulega amesema ni jambo la aibu kuona watanzania wakitumia maziwa ya unga na kuacha yale yanayotengenezwa na watanzania wenzao jambo ambalo amesema...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aJLGd3AdGYI/VZk0b_9tHRI/AAAAAAAC8RQ/9NVypqUsEGc/s72-c/IMG-20150704-WA0030.jpg)
WITO WATOLEWA KWA WATANZANIA KUJITOLEA KUWASAIDIA WATU WENYE UHITAJI IKIWEMO WATOTO WAISHIO MAZINGIRA MAGUMU
![](http://4.bp.blogspot.com/-aJLGd3AdGYI/VZk0b_9tHRI/AAAAAAAC8RQ/9NVypqUsEGc/s640/IMG-20150704-WA0030.jpg)
Baadhi ya wanalyalamo wakijumuika na watoto wa Kituo cha Yatima Group Trust Fund..
![](http://4.bp.blogspot.com/-rIjY5UMGz4Q/VZk0Ql0QpiI/AAAAAAAC8RE/iu5Ygu8kW2c/s640/IMG-20150704-WA0034.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-53mDpuylgNc/VZk0b3nplLI/AAAAAAAC8RM/o0tnve-XN1s/s640/IMG-20150704-WA0037.jpg)
baadhi ya wanalyamo family katika picha ya pamoja na mkurugenzi mtendaji wa kituo hicho, Winfrida Lubanza(mwenye miwani na blauzi nyeusi)
WITO umetolewa kwa Watanzania nchini kujitolea kwa hali na mali usaidia watu wenye uhitaji ikiwemo watoto yatima wanaolelewa kwenye vituo mbalimbali. Wito huo umetolewa jana na mkurugenzi mtendaji wa kituo cha Yatima Group Trust Fund kilichopo Chanika, jijini Dar es Salam,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VE0IQ-XLvdA/Xm28yDNgAOI/AAAAAAALjr0/YBMXt475_UETE10WBkfQQKd0nmFUsO-3QCLcBGAsYHQ/s72-c/34905567-fbab-41c0-82a3-fbe9250fb020.jpg)
MBUNGE MAVUNDE ASAIDIA UPATIKANAJI WA VIFAA TIBA 100 KWA WATU WENYE ULEMAVU JIJINI DODOMA
KATIKA kuhakikisha anatekeleza azma ya Rais Magufuli ya kuwahudumia wananchi wanyonge, Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini, Anthony Mavunde amezindua rasmi kambi ya upimaji wa tiba saidizi vya miguu ya bandia kwa watu wenye ulemavu.
Uzinduzi huo umefanyika katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma na huduma hiyo itakua ikitolewa kwa wananchi wote kutoka sehemu mbalimbali za Mkoa wa Dodoma na maeneo jirani.
Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Mhe Mavunde amesema vifaa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HStS57Z-QdE/XvY3bjj6moI/AAAAAAALvmA/n71c9OyBqZI7e5MOxW-XtndjdDrtq4ExgCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed-9.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FvkvfvDg2TU/VZlsAwjZXhI/AAAAAAAHnJY/4kgrQXD5Ob8/s72-c/IMG-20150705-WA001.jpg)
Watanzania watakiwa kujitolea kusaidia watu wenye uhitaji
![](http://3.bp.blogspot.com/-FvkvfvDg2TU/VZlsAwjZXhI/AAAAAAAHnJY/4kgrQXD5Ob8/s400/IMG-20150705-WA001.jpg)
WITO umetolewa kwa Watanzania nchini kujitolea kwa hali na mali kusaidia watu wenye uhitaji ikiwemo watoto yatima wanaolelewa kwenye vituo mbalimbali.
Wito huo umetolewa leo na mkurugenzi mtendaji wa kituo cha Yatima Group Trust Fund kilichopo Chanika, jijini Dar es Salam, Winfrida Lubanza wakati akizungumza na wanafalia wa Lyalamo.
Alisema jamii inapaswa kuwakumbuka na watoto wakuopo katika vituo hivyo kwani wanastahili kupata mahitaji muhimu ya kibinadamu kama ilivyo kwa...
11 years ago
Michuzi06 Jul
WATU ZAIDI YA 60 WENYE UHITAJI WASAIDIWA NA ASASI YA LADIES CIRCLE
Hayo yalisemwa na Rais wa asasi hiyo hapa Tanzania ,Julieth Anthony wakati akizungumza katika uzinduzi rasmi wa asasi hiyo uliofanyika mjini hapa hivi karibuni.
Alisema kuwa , asasi hiyo ilianza kufanya kazi hapa nchini mwaka 2012 ambapo ina jumla ya matawi matatu kwa nchi nzima ,huku asasi hiyo ikiwa...