MAZIWA YA ASAS DAIRIES LTD NDIO MAZIWA BORA TANZANIA YASHINDA TUZO YA UBORA KWA MIAKA MIWILI MFULULIZO ,MAKAMPUNI 30 YAACHWA MBALI
Afisa masoko wa kampuni ya maziwa ya Asas Dairies Ltd ya mkoani Iringa Bw Jimy Kiwelu akishangilia baada ya kampuni yake kuwa ndio kampuni bora ya uzalishaji maziwa nchini Tanzania katika mashindano yaliyofanyika mkoani mara
Watoto wa mkoa wa Mara wakishangaa ubora wa maziwa ya Asas kutoka Iringa
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dr. Titus Kamani kulia na viongozi wengine wakifuatilia maonyesho hayo huku wakifurahia ubora wa maziwa ya Asas Dairies Ltd.
Picha zaidi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog13 Jun
Kampuni ya Asas Dairies Ltd kwa mwaka wa tatu mfululizo yashikilia tuzo ya ubora, yazibwaga kampuni kongwe
![](http://lh3.googleusercontent.com/-Hu7bI-xcrDI/VXgzNZhV3pI/AAAAAAAB9kk/CP-0xXS3x-w/s640/blogger-image-1808652216.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-fr4V4xm3ZkM/VXgy6EPLKRI/AAAAAAAB9j8/qCw_lVL3whE/s640/blogger-image--1152033488.jpg)
Medali ,vyeti na tuzo ya ushindi ambayo kampuni ya Asas Dairies Ltd imeshinda tena mwaka huu katika maonyesho ya maziwa mkoani Mara.
Vyeti na medali tatu ambazo kampuni ya Asas Dairies Ltd imeshinda tena.
![](http://lh3.googleusercontent.com/-meOkZRHnyBs/VXgX3u_BcOI/AAAAAAAB9jk/HyLEx-Gjc-c/s640/blogger-image--833356817.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://lh3.googleusercontent.com/-NdNgE_w9Ye8/VXgzIrzAgcI/AAAAAAAB9kc/Py8009s04Ko/s72-c/blogger-image--1990319810.jpg)
KAMPUNI YA ASAS DAIRIES LTD KWA MWAKA WA TATU MFULULIZO YASHIKILIA TUZO YA UBORA ,YAZIBWAGA KAMPUNI KONGWE TENA WAZIRI KAMANI APONGEZA
![](http://lh3.googleusercontent.com/-NdNgE_w9Ye8/VXgzIrzAgcI/AAAAAAAB9kc/Py8009s04Ko/s640/blogger-image--1990319810.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-Hu7bI-xcrDI/VXgzNZhV3pI/AAAAAAAB9kk/CP-0xXS3x-w/s640/blogger-image-1808652216.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-fr4V4xm3ZkM/VXgy6EPLKRI/AAAAAAAB9j8/qCw_lVL3whE/s640/blogger-image--1152033488.jpg)
11 years ago
MichuziMAZIWA YA ASAS YASHINDA TUZO MAONYESHO YA NANE NANE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zo8H3O-iTBs/Xkecgx0i--I/AAAAAAALde0/IbiWVLDyw1QZOx7u9YM1af83MQciOBosACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200214_105644.jpg)
BONGOZOZO: KUNYWENI MAZIWA YA ASAS YANA UBORA WA KIMATAIFA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zo8H3O-iTBs/Xkecgx0i--I/AAAAAAALde0/IbiWVLDyw1QZOx7u9YM1af83MQciOBosACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200214_105644.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-QhACOLCi-Qg/Xkaad799OFI/AAAAAAAAHlo/hXv6Sp53-yYT5NW-Tkvz6kvotPsWgnjlQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200214_105906.jpg)
Mkurugenzi wa kampuni ya Maziwa ya Asas, Ahmed Salim Abri akiwa na balozi Maziwa ya AsasNick Reynolds ‘Bongo Zozo’ wakizungumza na wandishi wa habari mkoani Iringa,mara baada ya kumtangaza rasmi Bongozozo kuwa balozi wa kampuni hiyo.
BALOZI wa kampuni ya Maziwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eZvj5_SV0k8/XtPkDSVsHII/AAAAAAALsKg/C6QZwhQDGzAy3gHq1V4ut4P3qHC3fCwiACLcBGAsYHQ/s72-c/eb310d63-56b3-49ac-8c35-84c5f2a0675d.jpg)
DC KATAMBI, BODI YA MAZIWA WAGAWA MAZIWA KWA WATU WENYE UHITAJI JIJINI DODOMA
WATANZANIA wametakiwa kujiwekea Utamaduni wa kunywa maziwa kwa wingi na siyo kusubiri mpaka waandikiwe na Daktari kwani unywaji wa maziwa hujenga afya.
Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi leo wakati wa ziara yake ya kugawa maziwa kwa watu wenye mahitaji kwa kushirikiana na Bodi ya Maziwa ambapo wamegawa maziwa Lita 1650 yenye thamani ya Sh Milioni Nane.
DC Katambi amesema Ofisi yake itaendelea kuhamasisha unywaji wa maziwa pamoja na kutoa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-a0LTFSQKA8Q/XlgtZ6GmuJI/AAAAAAALfvY/xvF1n2dC26QXzs3mvEbW0eRd60GSAtdaACLcBGAsYHQ/s72-c/ahmed-2.jpg)
KAMPUNI YA MAZIWA YA ASAS WAWADHAMINI BAJAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-a0LTFSQKA8Q/XlgtZ6GmuJI/AAAAAAALfvY/xvF1n2dC26QXzs3mvEbW0eRd60GSAtdaACLcBGAsYHQ/s640/ahmed-2.jpg)
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi akikata utepe kuzindua uandikishwaji wa madereva bajaji kuweza kukata bima ya afya ambapo wamedhaminiwa na kampuni ya maziwa ya Asas ambapo mkurugenzi wake Ahmed Salim Abri akiwa pembeni mwa kushoto kwal Lukuvi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/ahmed-3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AKuWgEwnt9c/XrFcnM2u8uI/AAAAAAALpOQ/Xeg_5ZR5tp86Dvb5Y9G_CbHqfuZrZJFWgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-05%2Bat%2B3.20.59%2BPM.jpeg)
KAMPUNI YA MAZIWA YA ASAS YAIPA JOWUTA Barakoa 1,000
![](https://1.bp.blogspot.com/-AKuWgEwnt9c/XrFcnM2u8uI/AAAAAAALpOQ/Xeg_5ZR5tp86Dvb5Y9G_CbHqfuZrZJFWgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-05%2Bat%2B3.20.59%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-LmdvRQ18EN4/XrFcnC_q4gI/AAAAAAALpOU/SzrSLntsAjcTpLsYshsqCAh7KpdjPpLHQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-05%2Bat%2B3.20.58%2BPM.jpeg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SiHdKbL_jnw/U4xG11RWjVI/AAAAAAAFnM0/NQczQCFkT1U/s72-c/unnamed+(17).jpg)
Bodi ya Maziwa na Heifer Internationl wahamasisha unywaji wa maziwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-SiHdKbL_jnw/U4xG11RWjVI/AAAAAAAFnM0/NQczQCFkT1U/s1600/unnamed+(17).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yDc_4X2Zon4/U4xG2z7oonI/AAAAAAAFnM8/khWTVoZxCZM/s1600/unnamed+(18).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jTHF2VJUw7k/U4xG32ev_dI/AAAAAAAFnNE/VvNFQPY4XOM/s1600/unnamed+(19).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-W7ThP0v8F1o/Xs-sqnt2KQI/AAAAAAALr2s/veubRDlc9PUxmHNvh8TZsiP1uj3q4jMHwCLcBGAsYHQ/s72-c/a088403c-00ef-46e8-af77-a8f2fe34bad2.jpg)
NAIBU WAZIRI ULEGA AZINDUA WIKI YA MAZIWA, KUANZISHA KAMPENI YA KUKAGUA WANAOKUNYWA MAZIWA YA UNGA
SERIKALI imesema itaanzisha kampeni ya kukagua Ofisi za Umma na binafsi ambazo zinatumia maziwa ya unga badala ya maziwa halisi yanayotengenezwa nchini.
Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega leo jijini Dodoma wakati akizindua wiki ya maziwa nchini ambayo itafanyika hadi Juni 1.
Naibu Waziri Ulega amesema ni jambo la aibu kuona watanzania wakitumia maziwa ya unga na kuacha yale yanayotengenezwa na watanzania wenzao jambo ambalo amesema...