RC Dodoma ahimiza matumizi ya maktaba
WANAFUNZI nchini wametakiwa kutumia muda mwingi kujisomea katika maktaba ili kuongeza kiwango cha elimu na ufaulu. Rai hiyo ilitolewa mjini hapa juzi na Mkuu wa Mkoa (RC) wa Dodoma, Dk....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo19 Mar
Kikwete ahimiza maktaba kumbukumbu za Marais
MABADILIKO makubwa ya utawala wa kiuchumi yaliyofanywa na serikali ya awamu ya pili ya kuondoa taifa katika uchumi wa kijamaa na kuingiza katika uchumi wa soko, ni miongoni mwa mambo ambayo Watanzania wanatakiwa kuyajua kupitia kuwapo kwa hifadhi za kumbukumbu za Marais na utendaji wao.
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-x-ztBoTMjNQ/Uzwqey87GKI/AAAAAAAAoL0/ea-0EswdmBc/s1600/2.jpg)
MKOA WA DODOMA ASHIRIKI SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA BODI YA HUDUMA ZA MAKTABA NCHINI MKOANI DODOMA
9 years ago
Mwananchi27 Dec
RAINER MWASHU : Mbunifu wa maktaba ya mtandaoni anayehimiza matumizi ya kompyuta kwa watoto
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
Mama Pinda ahimiza matumizi ya maziwa
MKE wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda amezihamasisha familia nchini kuhakikisha watoto wao wanatumia maziwa ili kusaidia ukuaji wao na kuimarisha ustawi mzuri wa afya zao. Wito huo ulitolewa jijini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UGNdznSSQnw/XkluX0Eh_yI/AAAAAAALdmM/5gFm9qVj5LAaiYwQ-weHx5kdNCrVBDTLQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_3946.jpg)
KAIMU DHRA WA TAA AHIMIZA MATUMIZI YA TANEPs
![](https://1.bp.blogspot.com/-UGNdznSSQnw/XkluX0Eh_yI/AAAAAAALdmM/5gFm9qVj5LAaiYwQ-weHx5kdNCrVBDTLQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_3946.jpg)
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi cha Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Josephat Msafiri (wa pili kulia) akiandika mambo mbalimbali yanayofundishwa na Mwezeshaji Kenneth Nnembuka kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA), katika mafunzo ya mfumo wa manunuzi kwa njia ya mtandao (TANePs), yanayoendelea kwenye ukumbi wa Mikutano wa Watu Mashuhuri wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (VIP -JNIA-TB2).
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/DSC_3954.jpg)
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani cha Mamlaka...
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA RAIS,DKT GHARIB BILAL AHIMIZA MATUMIZI BORA YA TEKNOLOJIA YA HABARI KWA WANAFUNZI
Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilali amesema kuwa matumizi bora ya teknolojia ya habari yatawawezesha wanafunzi kupata elimu bora kwa urahisi.
Hayo ameyasema leo katika skuli ya Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi Unguja wakati wa uzinduzi wa darasa la kompyuta ikiwa ni miongoni mwa shamrashamra za kutimiza miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar.Alisema kuwa matumizi bora ya kompyuta yatawafanya wanafunzi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Z123l9ok3so/VX60cKmr77I/AAAAAAAHfiE/eHCmY1HhU28/s72-c/02B.jpg)
WAZIRI LUKUVI AHIMIZA MPANGO SHIRIKISHI KUENDELEZA ARDHI KATA YA MAKONGO KWA MATUMIZI BORA NA ENDELEVU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z123l9ok3so/VX60cKmr77I/AAAAAAAHfiE/eHCmY1HhU28/s640/02B.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4J4Q1y5XcIY/VX60f1mm0HI/AAAAAAAHfiM/JTtVj23YFn8/s640/04.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pemkGiPUZjU/UzwqevwUKcI/AAAAAAAAoLw/45Dz1ruKXfQ/s72-c/3.jpg)
MKOA WA DODOMA WASHIRIKI SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA BODI YA HUDUMA ZA MAKTABA NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-pemkGiPUZjU/UzwqevwUKcI/AAAAAAAAoLw/45Dz1ruKXfQ/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6FuQXhXJDk0/UzwqgRW5BXI/AAAAAAAAoME/wP1iNRYPkBw/s1600/4.jpg)