Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC Dodoma ahimiza matumizi ya maktaba

WANAFUNZI nchini wametakiwa kutumia muda mwingi kujisomea katika maktaba ili kuongeza kiwango cha elimu na ufaulu. Rai hiyo ilitolewa mjini hapa juzi na Mkuu wa Mkoa (RC) wa Dodoma, Dk....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kikwete ahimiza maktaba kumbukumbu za Marais

Rais Jakaya KikweteMABADILIKO makubwa ya utawala wa kiuchumi yaliyofanywa na serikali ya awamu ya pili ya kuondoa taifa katika uchumi wa kijamaa na kuingiza katika uchumi wa soko, ni miongoni mwa mambo ambayo Watanzania wanatakiwa kuyajua kupitia kuwapo kwa hifadhi za kumbukumbu za Marais na utendaji wao.

 

11 years ago

GPL

MKOA WA DODOMA ASHIRIKI SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA BODI YA HUDUMA ZA MAKTABA NCHINI MKOANI DODOMA‏


 
 Mkuu wa Mkoa Dodoma, Dr. Rehema Nchimbi (mwenye kilemba kichwani) akifanya ukaguzi wa vitabu na nyaraka za taarifa mbalimbali kwa ajili ya wasomaji , pembeni yake ni Mkutubi msaidizi wa maktabaa hiyo Ndg. Judith Lugongo, ukaguzi huo ulifanyika mapema Leo hii wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya bodi ya huduma za maktaba mkoa wa Dodoma.…
...

 

9 years ago

Mwananchi

RAINER MWASHU : Mbunifu wa maktaba ya mtandaoni anayehimiza matumizi ya kompyuta kwa watoto

Tafsiri ya maendeleo, kwa mujibu wa wanazuoni mbalimbali, ni ile hali ya kutoka hatua moja ya maisha iliyo chini kwenda hatua nyingine ya juu zaidi. Hili likifanyika katika eneo lolote linalolenga kuboresha maisha, ni maendeleo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mama Pinda ahimiza matumizi ya maziwa

MKE wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda amezihamasisha familia nchini kuhakikisha watoto wao wanatumia maziwa ili kusaidia ukuaji wao na kuimarisha ustawi mzuri wa afya zao. Wito huo ulitolewa jijini...

 

5 years ago

Michuzi

KAIMU DHRA WA TAA AHIMIZA MATUMIZI YA TANEPs


Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi cha Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Josephat Msafiri (wa pili kulia) akiandika mambo mbalimbali yanayofundishwa na Mwezeshaji Kenneth Nnembuka kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA), katika mafunzo ya mfumo wa manunuzi kwa njia ya mtandao (TANePs), yanayoendelea kwenye ukumbi wa Mikutano wa Watu Mashuhuri wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (VIP -JNIA-TB2).
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani cha Mamlaka...

 

10 years ago

Vijimambo

MAKAMU WA RAIS,DKT GHARIB BILAL AHIMIZA MATUMIZI BORA YA TEKNOLOJIA YA HABARI KWA WANAFUNZI


Na Maryam Kidiko/Kijakazi Abdalla Maelezo Zanzibar 
Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilali amesema kuwa matumizi bora ya teknolojia ya habari yatawawezesha wanafunzi kupata elimu bora kwa urahisi.
Hayo ameyasema leo katika skuli ya Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi Unguja wakati wa uzinduzi wa darasa la kompyuta ikiwa ni miongoni mwa shamrashamra za kutimiza miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar.Alisema kuwa matumizi bora ya kompyuta yatawafanya wanafunzi...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI LUKUVI AHIMIZA MPANGO SHIRIKISHI KUENDELEZA ARDHI KATA YA MAKONGO KWA MATUMIZI BORA NA ENDELEVU.

 Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angellah Kairuki akisisitiza namna mabaraza ya ardhi yanavyopaswa kufanya kazi kwa weledi kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa, wakati wa mkutano wa Waziri wa wizara hiyo  na wananchi wa kata ya Makongo leo jijini Dar es salaam. Katikati ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi na wa kwanza kushoto ni Diwani wa Kata ya Makongo Deusdedith Mtiro. Meya wa Manispaa ya Kinondoni Yusuph Mwenda...

 

11 years ago

Michuzi

MKOA WA DODOMA WASHIRIKI SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA BODI YA HUDUMA ZA MAKTABA NCHINI

 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dr. Rehema Nchimbi (mwenye kilemba kichwani) akikagua jengo la maktaba mkoa wa Dodoma kujionea mfumo wa vifaa vinavyotumika kutolea elimu na taarifa mbalimbali kwa njia ya video na sauti,  zoezi hili la ukaguzi lilifanyika mapema leo kwenye viwanja vya maktaba ya Dodoma wakati wa maadhimisho  ya miaka 50 ya bodi ya huduma za maktaba  Watumishi wa maktaba ya mkoa Dodoma wakiwa tayari kupokea wananchi wenye mahitaji mbalimbali ya huduma za maktaba kwa ajili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani