Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAINER MWASHU : Mbunifu wa maktaba ya mtandaoni anayehimiza matumizi ya kompyuta kwa watoto

Tafsiri ya maendeleo, kwa mujibu wa wanazuoni mbalimbali, ni ile hali ya kutoka hatua moja ya maisha iliyo chini kwenda hatua nyingine ya juu zaidi. Hili likifanyika katika eneo lolote linalolenga kuboresha maisha, ni maendeleo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Halahala matumizi ya programu bandia za kompyuta

Kumekuwa na ulanguzi wa programu (software) za kompyuta zinazofanywa na watu mbalimbali hasa katika nchi zisizo na sheria kali kuhusu masuala haya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

RC Dodoma ahimiza matumizi ya maktaba

WANAFUNZI nchini wametakiwa kutumia muda mwingi kujisomea katika maktaba ili kuongeza kiwango cha elimu na ufaulu. Rai hiyo ilitolewa mjini hapa juzi na Mkuu wa Mkoa (RC) wa Dodoma, Dk....

 

10 years ago

Michuzi

Umuhimu wa kudhibiti matumizi ya vyombo vya elektroniki kwa watoto na vijana


Zaidi ya asilimia 60 ya watoto wenye umri wa miaka 13 hadi 17 wanatumia zaidi ya masaa mawili kila siku kuangalia mitandao ya kijamii pamoja na vipindi mbalimbali vya Televisheni. Hii inaweza kuwa njia kubwa ya kuunganisha, lakini pia kuna hatari zinazohusiana na kutumia muda mwingi sana kwenye vyombo vya habari kijamii.
Leo hii ni nadra kukuta familia ambazo watoto na vijana wake hawajaathirika na vyombo vya habari na elektroniki kama vile televisheni, intaneti na michezo mingine tofauti...

 

11 years ago

Michuzi

Mbunge Ndungulile aanika siri mpya za matumizi ya madawa ya kulevya kwa watoto wadogo

Mgeni rasmi ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Kigamboni Ndugu Faustine Ndungulile akifungua rasmi Baraza la kazi la UVCCM (W) Temeke mbele ya Wajumbe (hawapo pichani) lililofanyika kwenye ukumbi wa Malaika uliopo Kata ya vijibweni, Jimbo la Kigamboni. Picha na Emmanuel J. Shilatu --------------------------------------- Na Emmanuel J. Shilatu Mbunge wa Kigamboni Mhe. Faustine Ndungulile ameanika siri na aina mpya ya wauzaji wa madawa ya kulevya wanayoitumia katika kupanua wigo wa...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Dewji Blog

Timu ya Rainer Zietlow wakaribia kuvunja rekodi ya dunia

Dereva kutoka  nchini Ujerumani Rainer Zietlow (katikati) akizungumza na wanahabari kuhusiana na rekodi yake ya kusafiri umbali mrefu Duniani mara baada ya kuwasili nchini Tanzania kwenye Ofisi za Alliance Autos, Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CFAO Motors,  Bw.Wayne McIntosh na kushoto ni Meneja Masoko wa CFAO Motors, Tharaia Ahmed.

Na Mwandishi Wetu

DEREVA raia wa Ujerumani Rainer Zietlof yuko mbioni kuvunja rekodi ya dunia ya kuendesha gari kwa kilometa 17,000 kutoka Ulaya...

 

11 years ago

Michuzi

Airtel yazindua huduma mpya ya mitindo kwa njia ya simu kwa kushirikiana na Mbunifu Mahiri Afrika Mustafa hassanali.

 Mbunifu nguli wa mitindo Afrika, Mustafa Hassanali akizungumza na wageni waalikwa kuhusiana na huduma mpya ya kuwa karibu naye kwa mashabiki wa mitindo kupata taarifa zake kupitia simu zao za  mkononi za Airtel  kwa kupiga *148*82# na moja kwa moja utakuwa umeunganishwa na huduma hiyo na kutozwa shilingi 90 za kitanzania kwa siku.Kampuni ya simu ya mkononi ya Airtel inayotoa huduma nafuu na yenye wigo mpana zaidi wa mawasiliano, imeshirikiana na mbunifu wa mitindo Afrika ,Mustafa Hasanali...

 

10 years ago

Tanzania Daima

TEDDY DAVIS: Mjasiriamali anayehimiza Watanzania kuthamini vya kwao

TEDDY Alban Davis,  ni  mwekezaji  mdogo  na wa kati wa mkoa wa Pwani  hususan Wilaya ya Bagamoyo  kwa kuwekeza kwenye bidhaa mbalimbali  na kinywaji. Davis, Mkurugenzi wa Smoke House Store,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunifu wa mavazi ya watu maarufu aliyejiua kwa madeni

MBUNIFU wa mitindo na mwanamitindo maarufu wa Marekani, L’Wren Scott, alikutwa amefariki dunia nyumbani kwake hivi karibuni. Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi jijini Manhattan, New York, inasema Laura ‘Luann’...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani