DC ahimiza vita dawa za kulevya
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana amezitaka asasi na mashirika yasiyo ya kiserikali kuongeza mapambano dhidi ya dawa za kulevya kwa vijana mkoani Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo04 May
Pinda ahimiza elimu dawa za kulevya
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amewaomba viongozi wa dini nchini, waitumie mikutano yao ya mahubiri kutoa elimu juu ya athari za dawa za kulevya kwa waumini wao na Watanzania wote kwa ujumla.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dI8gMycZHwg/XvbdO0PlWOI/AAAAAAAAW-M/SUyWNXMoyYIGsPMeo32y-5cf6FCH4RrbwCLcBGAsYHQ/s72-c/43d74742625e4e1b76d8c2719613fd88.jpg)
SIKU YA KUPINGA VITA DAWA ZA KULEVYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-dI8gMycZHwg/XvbdO0PlWOI/AAAAAAAAW-M/SUyWNXMoyYIGsPMeo32y-5cf6FCH4RrbwCLcBGAsYHQ/s400/43d74742625e4e1b76d8c2719613fd88.jpg)
Akizungumizia maadhimisho hayo na mafanikio yaliyopatikana Waziri wa nchi ofisi ya waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na wenye ulemavu Jenista Mhagama anasema mafanikio hayo yamepatikana baada ya kubaini na kuvunja mitandao hiyo hapa nchini...
11 years ago
Mwananchi27 Jun
MAONI: Vita dhidi ya dawa za kulevya ni ya ‘kisanii’
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Video: Waziri Kitwanga alivyotangaza vita na wauza dawa za kulevya
Dec 21 2015 Waziri wa Mambo ya ndani Charles Kitwanga amekutana na waandishi wa habari Dar es salaam na kuweka wazi mikakati waliojiwekea kama Wizara pamoja na Jeshi la Polisi katika kupambana na dawa za kulevya, ugaidi na kesi za kubambikiwa. Hii ni baada ya kukamilisha ziara zake alizozifanya katika maeneo mbalimbali ikiwemo ofisi za Jeshi la Polisi. […]
The post Video: Waziri Kitwanga alivyotangaza vita na wauza dawa za kulevya appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
MichuziSERIKALI IMEFANIKIWA KATIKA VITA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA KWA ASILIMIA 90
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu akikata utepe leo kuashiria uzinduzi wa kliniki ya Methadone katika Hospitali ya Bombo jijini Tanga.Kliniki hiyo imejengwa kwa thamani ya Sh milioni 17.Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine Shigela na kushoto kwake ni Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA) James Kaji.
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu akikata utepe leo kuashiria uzinduzi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
Tanzania yashiriki Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) jijini Vienna, Austria
![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s1600/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sm7V8h42M2Y/VY80e5ztAtI/AAAAAAAHkxE/wX0Gr4g1CGc/s72-c/b2.jpg)
MAADHIMISHO YA KITAIFA YA SIKU YA KUPIGA VITA DAWA ZA KULEVYA DUNIANI YALIYOFANYIKA BAGAMOYO, MKOANI PWANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-sm7V8h42M2Y/VY80e5ztAtI/AAAAAAAHkxE/wX0Gr4g1CGc/s640/b2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-f3-m4I5Qjgw/VY8yh3XoEOI/AAAAAAAHkvM/ERCHgPBE-BQ/s640/b15.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Adhabu kali si dawa ya dawa za kulevya