‘Niombeeni’ — asema Chidi Benz, kupanda kizimbani leo
Rapper Rashid Makwiro aka Chid Benz anapanda kizimbani Jumanne hii, November 11 kwenye mahakama ya hakimu mkazi, Kisutu jijini Dar es Salaam. Rapper huyo ambaye yupo nje kwa dhamana kufuatia kukamatwa na madawa ya kulevya hivi karibuni, amewaomba mashabiki wamwombee. “Kesho napanda mahakamani asubuhi pale kwa hakimu mkazi kissutu..niombeeni kheri koz najua wapo wanaonihitaji bado.#vitu […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLCHIDI BENZ APANDISHWA KIZIMBANI KISUTU
10 years ago
Bongo528 Oct
Chidi Benz apanda kizimbani, arejeshwa rumande hadi Nov 11
10 years ago
Mwananchi14 Jan
Dk Slaa kupanda ‘kizimbani’ leo
10 years ago
Bongo504 Dec
Chidi Benz kurudi tena mahakamani January 15
10 years ago
Bongo524 Oct
Chidi Benz akamatwa na dawa za kulevya airport
10 years ago
CloudsFM07 Nov
CHIDI BENZ KUACHIA ALBUM YA PAMOJA NA FID Q
Tasnia ya muziki wa kizazi kipya sasa hivi inasubiria kwa hamu album ya pamoja ya wasanii wakubwa wa hip hop ndani ya Afrika Mashariki, album kati ya Chidi Benz na Fid Q.
Sasa hivi Chidi Benz ana zaidi ya wiki uraiani baada ya kukaa zaidi ya siku nne nyuma ya nondo, alisema kuwa bado hawajaanza kurekodi lakini muda si mrefu wataanza kurekodi na anaamini itakuwa ni bonge la albam mashabiki wakae tayari.
10 years ago
Bongo529 Oct
Chidi Benz apata dhamana baada ya kutimiza masharti
10 years ago
Bongo511 Dec
Huu ni ushauri wa Chidi Benz kuhusiana na suala la Diamond na Davido