Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Slaa kupanda ‘kizimbani’ leo

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibroad Slaa, leo anatarajiwa kupanda kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Hai kutoa ushahidi katika kesi ya jinai inayomkabili kijana aliyejifanya Jaji Mkuu mstaafu Barnabas Samatta.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

‘Niombeeni’ — asema Chidi Benz, kupanda kizimbani leo

Rapper Rashid Makwiro aka Chid Benz anapanda kizimbani Jumanne hii, November 11 kwenye mahakama ya hakimu mkazi, Kisutu jijini Dar es Salaam. Rapper huyo ambaye yupo nje kwa dhamana kufuatia kukamatwa na madawa ya kulevya hivi karibuni, amewaomba mashabiki wamwombee. “Kesho napanda mahakamani asubuhi pale kwa hakimu mkazi kissutu..niombeeni kheri koz najua wapo wanaonihitaji bado.#vitu […]

 

10 years ago

Mwananchi

Mashahidi 15 kupanda kizimbani kumbana Minja

Dodoma. Serikali imeandaa zaidi ya mashahidi 15 kwa ajili ya kutoa ushahidi kwenye kesi ya uchochezi inayomkabili Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania, Johnson Minja.

 

10 years ago

Mtanzania

Dk. Slaa apanda kizimbani

Pg 2Na Mwandishi Wetu, Hai
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbroad Slaa, amepanda kizimbani na kutoa ushahidi katika kesi utapeli dhidi ya mtu aliyetumia jina la Jaji Mkuu Mstaafu, Barnabas Samatta.
Katika kesi hiyo namba 117, Dk. Slaa ni shahidi wa nane na alisema kuwa mke wake, Josephine Mushumbuzi, ndiye aliyemsaidia kumgundua mtu aliyejaribu kumtapeli kwa kutumia jina la Jaji Samatta.
Alikuwa akituoa ushahidi jana katika Mahakama ya Hakimu Mfawidhi wa Wilaya...

 

10 years ago

Habarileo

Mdee, wenzake kizimbani leo

MBUNGE wa Jimbo la Kawe (Chadema), Halima Mdee (35) na wenzake wanane wanaokabiliwa na mashitaka ya kutotii amri halali ya Jeshi la Polisi wanatarajia kusomewa maelezo ya awali leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

 

11 years ago

Mwananchi

Bibi wa ‘unga’ kupandishwa kizimbani leo

Bibi, raia wa Nigeria, Olabisi Ibidun Cole (65) aliyevunja rekodi ya umri wa watu wanaokamatwa wakiwa na dawa za kulevya katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), atafikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu kujibu mashtaka yanayomkabili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watuhumiwa ugaidi Arusha kizimbani leo

WATUHUMIWA 19 waliokamatwa na Jeshi la Polisi jijini Arusha wakihusishwa na matukio mbalimbali yanayoashiria ugaidi, ikiwemo milipuko ya mabomu na umwagiaji tindikali, wanatarajiwa kupanda kizimbani leo katika Mahakama ya Hakimu...

 

10 years ago

Habarileo

Mtuhumiwa sakata la Escrow kizimbani leo

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo inatarajia kumsomea maelezo ya awali Mkurugenzi wa Sheria wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Rugonzibwa Mujunangoma anayekabiliwa na kesi ya kupokea Sh milioni 323.4 ambazo ni sehemu ya fedha zilizokuwa kwenye akaunti ya Tegeta Escrow.

 

10 years ago

Michuzi

PROF. LIPUMBA APANDISHWA KIZIMBANI LEO

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof Ibrahim Haruna Lipumba (katikati) akiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo,alipofikishwa kujibu shitaka la kuhamasisha wanachama wa chama chake kufanya maandamano. Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof Ibrahim Haruna Lipumba akiwatuliza wanachama na wafuasi wa chama hicho kuacha kelele katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam leo.Wanachama na Wafuasi wa CUF wakiimba nje ya Mahakama ya Hakimu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani