Watuhumiwa ugaidi Arusha kizimbani leo
WATUHUMIWA 19 waliokamatwa na Jeshi la Polisi jijini Arusha wakihusishwa na matukio mbalimbali yanayoashiria ugaidi, ikiwemo milipuko ya mabomu na umwagiaji tindikali, wanatarajiwa kupanda kizimbani leo katika Mahakama ya Hakimu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm5XPNW46hzfwV*Vxeu4FsXKb88EO2QwmkeTPvEJU5sTxgBbk-mmddZp*OB9mjIOlVmP9ZqXHmxXU4wD5YCYOov0/IMG20140801WA0008.jpg?width=650)
WATUHUMIWA 19 WA UGAIDI WAPANDISHWA KIZIMBANI JIJINI ARUSHA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HgD4oQp9v00/U8ftRGe2g_I/AAAAAAAF3GQ/EIgRI3kZMKY/s72-c/001.jpg)
WATUHUMIWA 16 WANAODAIWA KUJIHUSISHA NA VITENDO VYA UGAIDI WAPANDISHWA KIZIMBANI LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-HgD4oQp9v00/U8ftRGe2g_I/AAAAAAAF3GQ/EIgRI3kZMKY/s1600/001.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-78yh5oGl4J4/U8ftRa7IBeI/AAAAAAAF3Gc/bxc_2cuRt54/s1600/002.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9LqPSE_qCSE/U8ftRZDmT0I/AAAAAAAF3GU/c-H_iuvAcuY/s1600/003.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fMAZcSp7Kic/U8ftSsd1_kI/AAAAAAAF3Gg/Cgu9RkXdBRk/s1600/004.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5RgMyFN_bxY/U8ftTcKAWLI/AAAAAAAF3Go/ae7HEW5jBgY/s1600/005.jpg)
11 years ago
Mtanzania02 Aug
Watuhumiwa ugaidi Arusha: Askari zaidi ya 100 wamwagwa mahakamani
![Baadhi ya watuhumiwa wa kesi za kujishhughulisha na vitendo vya kigaidi wakishhushwa kwenye magari tayari kwa kusomewa mashitaka yao. Watuhumiwa hao 19 walipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha.](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/ugaidi-arusha2.jpg)
Baadhi ya watuhumiwa wa kesi za kujishhughulisha na vitendo vya kigaidi wakishhushwa kwenye magari tayari kwa kusomewa mashitaka yao. Watuhumiwa hao 19 walipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha.
ELIYA MBONEA NA JANETH MUSHI, ARUSHA
ULINZI mkali jana uliimarishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, wakati watuhumiwa wa vitendo vya ulipuaji mabomu jijini hapa walipofikishwa mahakamani.
Askari wasiopungua 100 wakiwamo wenye mbwa, askari wa usalama wa taifa, magereza,...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NneZHu_kLCY/U4dmmvhQyaI/AAAAAAAFmSU/gAWTSgI4GMU/s72-c/IMG-20140529-WA0001.jpg)
WATUHUMIWA WA MLIPUKO WA MABOMU JIJINI ARUSHA WAPANDISHWA KIZIMBANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-NneZHu_kLCY/U4dmmvhQyaI/AAAAAAAFmSU/gAWTSgI4GMU/s1600/IMG-20140529-WA0001.jpg)
Watu hao walifikishwa mahakamani hapo leo na kusomemewa shitaka hilo mbele ya Hakimu Mkazi Mustafa Siama ambapo hawakutakiwa kujibu chochote kutokana na kile kilichoelezwa kuwa mahakama hiyo haina uwezo wa kusikiliza kesi hiyo.
Watuhumiwa hao wanadaiwa kutenda tukio hilo Aprili...
11 years ago
Dewji Blog01 Aug
Taarifa ya Polisi Arusha ya matukio ya uhalifu na majina ya watuhumiwa wanaopandishwa kizimbani
Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha, SACP, Liberatus Sabas.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI JESHI LA POLISI TANZANIA
Ndugu Wanahabari, Mtakumbuka Kuwa Wiki Moja Iliyopita Jeshi La Polisi Lilitoa Taarifa Kwa Umma Juu Ya Watuhumiwa Sita Waliokamatwa Na Kufikishwa Mahakamani Kuhusiana Na Tukio La Mlipuko Wa Bomu Uliotokea Tarehe 07/07/2014 Katika Mgahawa Wa Vama Uliopo Maeneo Ya Viwanja Vya Gymkana Jijini Arusha.
Taarifa Hiyo Ilizungumzia Pia Tukio La Kukamatwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DXmDe47d_XM/XqLa9O-sjKI/AAAAAAALoDQ/oQZzqU6hEk0Z6c89lfER-lrWsC351SHHwCLcBGAsYHQ/s72-c/0f9044bf-f641-4cb0-a698-3d401ff65aea.jpg)
Watuhumiwa watatu akiwemo raia wa Nigeria wa Dawa za kulevya wapadishwa kizimbani kisutu leo
Mbali na Chukwu washtakiwa wengine ni Isso Lupembe 49 mkazi wa Mbezi Luis na Allistair Mbele 38 anayeishi Mbezi Kibanda cha Mkaa.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo na mawakili wa serikali waandamizi , Veronika Matikila, na...
10 years ago
Habarileo21 May
Watuhumiwa 25 wa ugaidi kortini Moro
WATU 25 wanaotuhumiwa kwa vitendo vya ugaidi katika Tarafa ya Kidatu wilayani Kilombero mkoa wa Morogoro, wamepandishwa kizimbani.
10 years ago
Mtanzania10 Mar
Watuhumiwa wawili wa ugaidi kortini Dar
Waandishi Wetu, Dar na Tanga
WATU wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakidaiwa kutoa mafunzo ya ugaidi kwa vijana wa Tanzania mkoani Tanga.
Mmoja wao anaelezwa kuwa alikuwa pia akitoa mafunzo ya jeshi kwa kundi la Hizbul al lililotaka kuipindua serikali ya Somalia mwaka 2010.
Washtakiwa hao, Ally Nassoro au Dk. Sule na Juma Zuberi au Kitambi, walifikishwa jana katika mahakama hiyo mbele ya Hakimu Mkazi, Hellen Riwa.
Wakili wa Serikali Mwandamizi, Peter Njike akisoma...
11 years ago
Mwananchi28 Jul
Watuhumiwa ugaidi wang’ang’aniwa