WATUHUMIWA 19 WA UGAIDI WAPANDISHWA KIZIMBANI JIJINI ARUSHA
![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm5XPNW46hzfwV*Vxeu4FsXKb88EO2QwmkeTPvEJU5sTxgBbk-mmddZp*OB9mjIOlVmP9ZqXHmxXU4wD5YCYOov0/IMG20140801WA0008.jpg?width=650)
Baadhi ya watuhumiwa wa ugaidi wakiwa chini ya ulinzi katika mahakama ya hakimu mkazi Arusha leo. Ulinzi mkali ukiwa umeimarishwa.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NneZHu_kLCY/U4dmmvhQyaI/AAAAAAAFmSU/gAWTSgI4GMU/s72-c/IMG-20140529-WA0001.jpg)
WATUHUMIWA WA MLIPUKO WA MABOMU JIJINI ARUSHA WAPANDISHWA KIZIMBANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-NneZHu_kLCY/U4dmmvhQyaI/AAAAAAAFmSU/gAWTSgI4GMU/s1600/IMG-20140529-WA0001.jpg)
Watu hao walifikishwa mahakamani hapo leo na kusomemewa shitaka hilo mbele ya Hakimu Mkazi Mustafa Siama ambapo hawakutakiwa kujibu chochote kutokana na kile kilichoelezwa kuwa mahakama hiyo haina uwezo wa kusikiliza kesi hiyo.
Watuhumiwa hao wanadaiwa kutenda tukio hilo Aprili...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HgD4oQp9v00/U8ftRGe2g_I/AAAAAAAF3GQ/EIgRI3kZMKY/s72-c/001.jpg)
WATUHUMIWA 16 WANAODAIWA KUJIHUSISHA NA VITENDO VYA UGAIDI WAPANDISHWA KIZIMBANI LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-HgD4oQp9v00/U8ftRGe2g_I/AAAAAAAF3GQ/EIgRI3kZMKY/s1600/001.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-78yh5oGl4J4/U8ftRa7IBeI/AAAAAAAF3Gc/bxc_2cuRt54/s1600/002.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9LqPSE_qCSE/U8ftRZDmT0I/AAAAAAAF3GU/c-H_iuvAcuY/s1600/003.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fMAZcSp7Kic/U8ftSsd1_kI/AAAAAAAF3Gg/Cgu9RkXdBRk/s1600/004.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5RgMyFN_bxY/U8ftTcKAWLI/AAAAAAAF3Go/ae7HEW5jBgY/s1600/005.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Watuhumiwa ugaidi Arusha kizimbani leo
WATUHUMIWA 19 waliokamatwa na Jeshi la Polisi jijini Arusha wakihusishwa na matukio mbalimbali yanayoashiria ugaidi, ikiwemo milipuko ya mabomu na umwagiaji tindikali, wanatarajiwa kupanda kizimbani leo katika Mahakama ya Hakimu...
11 years ago
Mwananchi24 Jul
SHERIA: Watu sita wapandishwa kizimbani kwa ugaidi
11 years ago
Mtanzania02 Aug
Watuhumiwa ugaidi Arusha: Askari zaidi ya 100 wamwagwa mahakamani
![Baadhi ya watuhumiwa wa kesi za kujishhughulisha na vitendo vya kigaidi wakishhushwa kwenye magari tayari kwa kusomewa mashitaka yao. Watuhumiwa hao 19 walipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha.](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/ugaidi-arusha2.jpg)
Baadhi ya watuhumiwa wa kesi za kujishhughulisha na vitendo vya kigaidi wakishhushwa kwenye magari tayari kwa kusomewa mashitaka yao. Watuhumiwa hao 19 walipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha.
ELIYA MBONEA NA JANETH MUSHI, ARUSHA
ULINZI mkali jana uliimarishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, wakati watuhumiwa wa vitendo vya ulipuaji mabomu jijini hapa walipofikishwa mahakamani.
Askari wasiopungua 100 wakiwamo wenye mbwa, askari wa usalama wa taifa, magereza,...
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Waliosambaza matokeo ya Urais kinyume cha sheria wapandishwa kizimbani Mahakama ya Kisutu jijini Dar
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe...
9 years ago
MichuziWALIOSAMBAZA MATOKEO YA URAIS KINYUME CHA SHERIA WAPANDISHWA KIZIMBANI MAHAKAMA YA KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Dewji Blog01 Aug
Taarifa ya Polisi Arusha ya matukio ya uhalifu na majina ya watuhumiwa wanaopandishwa kizimbani
Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha, SACP, Liberatus Sabas.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI JESHI LA POLISI TANZANIA
Ndugu Wanahabari, Mtakumbuka Kuwa Wiki Moja Iliyopita Jeshi La Polisi Lilitoa Taarifa Kwa Umma Juu Ya Watuhumiwa Sita Waliokamatwa Na Kufikishwa Mahakamani Kuhusiana Na Tukio La Mlipuko Wa Bomu Uliotokea Tarehe 07/07/2014 Katika Mgahawa Wa Vama Uliopo Maeneo Ya Viwanja Vya Gymkana Jijini Arusha.
Taarifa Hiyo Ilizungumzia Pia Tukio La Kukamatwa...
10 years ago
Mtanzania23 Jan
DC, mkurugenzi wapandishwa kizimbani
NA VICTOR BARIETY, GEITA TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imewapandisha kizimbazi katika Mahakama ya Wilaya ya Chato, Mkuu wa Wilaya ya Uvinza, Hadija Nyembo na aliyekuwa Mkurugenzi wa Wilaya ya Chato, Hamida Kwikega, kwa tuhuma za upotevu wa Sh bilioni 1.4 za pembejeo za kilimo zilizotolewa na Serikali kupitia Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika. Mbali na viongozi hao, wengine waliofikishwa mahakamani hapo jana ni Ofisa Kilimo na Mifugo wa Wilaya ya Chato, Phares...