WALIOSAMBAZA MATOKEO YA URAIS KINYUME CHA SHERIA WAPANDISHWA KIZIMBANI MAHAKAMA YA KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe (katikati), akizungumza na mmoja kati ya vijana nane waliofikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam leo, kwa tuhuma za kusambaza matokeo ya kura za mgombea nafasi ya urais wa chama hicho katika mitandao ya kijamii kinyume na utaratibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Imedaiwa vijana zaidi ya 190 walikamatwa kwa kosa hilo.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe (kushoto),...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Waliosambaza matokeo ya Urais kinyume cha sheria wapandishwa kizimbani Mahakama ya Kisutu jijini Dar
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/150.jpg)
WALIOSAMBAZA MATOKEO YA URAIS KINYUME CHA SHERIA WAPANDISHWA KIZIMBANI, DAR
10 years ago
Michuzimtuhumiwa wa mauaji nchini uingereza apandishwa kizimbani mahakama ya kisutu jijini Dar es salaam leo
10 years ago
VijimamboASKOFU GWAJIMA AFIKISHWA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-puGFmGKl0rU/VTE1aFCIl_I/AAAAAAABXSQ/PmMycj947Nw/s1600/Gwajima%2Bna%2BBehagaza.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-715EAFKkA8k/VPGoA1A6PdI/AAAAAAAHGgc/BYlvJ6zvGCI/s72-c/Ardhi%2B-%2B1.jpg)
WAVAMIZI NA WAMILIKI WA ARDHI KINYUME CHA SHERIA JIJINI DAR KUKIONA, KUKUMBWA NA BOMOA BOMOA
![](http://4.bp.blogspot.com/-715EAFKkA8k/VPGoA1A6PdI/AAAAAAAHGgc/BYlvJ6zvGCI/s1600/Ardhi%2B-%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-k3if5dRok50/VPGoBXH9VgI/AAAAAAAHGgg/5Cvo9DB5iAs/s1600/Ardhi%2B-%2B2.jpg)
11 years ago
Mwananchi24 Jul
SHERIA: Watu sita wapandishwa kizimbani kwa ugaidi
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Khsj_zSL8pQ/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FPx4KkWZm7E/XphHaSF-7GI/AAAAAAALnK0/_BeSHkqlvRkAZPNMIm-7htG81m6yXuL5gCLcBGAsYHQ/s72-c/66cdf9a8-ceca-4c57-b1a0-0dc65a88f770.jpg)
WALIOMSHAMBULIA BINTI MWENYE UMRI WA MIAKA 12 WAFIKISHWA MAHAKAMA YA KISUTU JIJINI DAR
WANAWAKE watatu akiwemo mama mlezi wa binti mwenye umri wa miaka 12, Scholastica Charles (34) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shtaka la kumfanyia ukatili binti yake (jina limehifadhiwa) na kumsababishia maumivu makali.
Mbali na Scholastica, washtakiwa wengine ni Salma Hamisi (25) na Happy Joshua (44), ambapo wote ni wafanyabiashara wanaoishi Kitunda jijini Dar es Salaam.
Akisoma hati ya mashtaka leo, Wakili wa Serikali...
9 years ago
MichuziMBUNGE WA JIMBO LA UBUNGO, SAID KUBENEA AFIKISHWA MAHAKAMA YA KISUTU JIJINI DAR LEO.